sumu-ya-panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 632
- 572
niko size hii, ila huyu mnene kidogo, jamani nachekwa na watu mpaka napungua nusu kilo 1 kwa sikuha ha ha ha hebu tupiamo kapicha tuone kibodi cha 1GB kilivyo mkuu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niko size hii, ila huyu mnene kidogo, jamani nachekwa na watu mpaka napungua nusu kilo 1 kwa sikuha ha ha ha hebu tupiamo kapicha tuone kibodi cha 1GB kilivyo mkuu..
sasa unanisaidiaje mi strees hazzitaacha coz kila saa nachekwa mi mwembamba,hata mi najichekaga sai ingineMimi kwa upande wangu hata kama niwe nakula sana lakini nikiwa na stress siongezeki hata kilo moja,lakini nikiwa stress free hata kama nikila kidogo tu nanenepa......
Ila kwa skinny people unene ni mbaya.. Skinny ni shida sana usiombeAcha masihara wewe
pesa nikose,na mwili nao nikose..... guy kwani Tanzania ikojeCase closed!!
Jamani mi mtanzania mwenzenu au nikaombe uraia somaliaIla kwa skinny people unene ni mbaya.. Skinny ni shida sana usiombe
Kaka ngoja nikupe tips:sasa unanisaidiaje mi strees hazzitaacha coz kila saa nachekwa mi mwembamba,hata mi najichekaga sai ingine
tobaaa!!! na haka kamwili hakana hata maji unataka niarishe upepoUsile tena wewe nunua mafuta ya veg ya kupikia kunywa hata lita tano kwa siku...huku ukijipima uzito toka siku unaanza...halafu lwta mrejesho baada ya wiki mbili umefikia wapi...kumbuka ukifata ushauri huu ni uamuzi wako sijakulazimisha...eeeh
Nashukuru sananitazingatiaKaka ngoja nikupe tips:
Kwanza kula vyakula kama wali ndizi mbivu parachichi supu .. Una uwe unakula kila baada ya masaa matatu Usingoja hadi usikie njaa ndio ule.. Wewe kula tu muda wote.. Kula each after three hours.. Usiwe unakula mara tatu kwa siku.. Kula tende sana.. Cc mzizimkavu
Hahaha dahBadikisha ID yako utanenepa
Utawezaaaa?Nashukuru sananitazingatia
pesa ya mchele ndo tatizo lingine ata nilikua nafiria iyo supu nitachemsha niniUtawezaaaa?
Hayaeeee!!!! Hata kama ningekula ile mikate na samaki sijui ka ningenenepaDah, hii ni matatizo mkuu...Fanya sana maombi Yesu atajibu!
umeniona kweli??? alafu pesa khakuna altenative zingineAsubuhi
Supu Chapat 2 na Juice
Mchana
ugali nyamachoma +Grand Malta
Usiku
Kuku Nusu wa Kienyeji + Matunda
Jikubali vile ulivyo, usijali jinsi watu wanvyokucheka au wanavyokuchukulia.sasa unanisaidiaje mi strees hazzitaacha coz kila saa nachekwa mi mwembamba,hata mi najichekaga sai ingine
we naona unataka mishipa itoke njee ngozi iende ndaniShabikia YANGA
Labda unakonda kwa mawazo.sina