sumu-ya-panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 632
- 572
nafanya kila baada ya miezi 3 full bodykapime unamatatzo ya kiafya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nafanya kila baada ya miezi 3 full bodykapime unamatatzo ya kiafya
nimekusistizia kwa sababu mimi pia nilikua kama mifupagood!!! ila umenisimanga,umeniponda na ukanishauri asanteeee!
Kwa umri wako huo wa miaka 40 ni sawa tu mbona.Subiri utanenepa muda ukifika. Wala usiutamani.
Na ukija usije ukalia ukasema unataka kukonda.
Me kabla sijaolewa nilikuwa na kg around 48 to 50. Saivi ninakaribia kg 80. Kupunguza kg 1 tu ishu. Natamani nifike walau 60 kg lkn meshindwa. [emoji26]
[emoji12]Kwa umri wako huo wa miaka 40 ni sawa tu mbona.
Aisee!nimekusistizia kwa sababu mimi pia nilikua kama mifupa
nmekonda kama kitu gani..
hayo ndiyo niloyofanya ndugu
saivi ukiniona
mashallah nmenoga, kishape kizuri
hatari sanaaa[emoji125]
Unatuzingua ujue..uanataka kunenepa na pesa huna? Tafuta pesa kwanza .. Wewe utakuwa huna haja ya kula.. Ww tafuta pesa tafuta pesaa ukipata pesa utanenep.. Mengine unatupotezea tu muda blazaaaumeniona kweli??? alafu pesa khakuna altenative zingine
[emoji106]Unene sio mzuri bwana
Hatakuwa nazoUnapesa?
Ufanye ujinga huo kwa mikono.na kuna madey mitaa fulani kwa jero tuAcha punyeto
DAh!!! sasa nishasema interview naangaliwa tu hata siulizwi maswali na sipi wata to doUnatuzingua ujue..uanataka kunenepa na pesa huna? Tafuta pesa kwanza .. Wewe utakuwa huna haja ya kula.. Ww tafuta pesa tafuta pesaa ukipata pesa utanenep.. Mengine unatupotezea tu muda blazaaa
This is JF home of great thinkers........Ufanye ujinga huo kwa mikono.na kuna madey mitaa fulani kwa jero tu
Kumbe ndoa tamuSubiri utanenepa muda ukifika. Wala usiutamani.
Na ukija usije ukalia ukasema unataka kukonda.
Me kabla sijaolewa nilikuwa na kg around 48 to 50. Saivi ninakaribia kg 80. Kupunguza kg 1 tu ishu. Natamani nifike walau 60 kg lkn meshindwa. [emoji26]
Si zote mkuu wengina wanapigwa vibao na wake zao huko.Kumbe ndoa tamu
Ni pm kapicha please!nimekusistizia kwa sababu mimi pia nilikua kama mifupa
nmekonda kama kitu gani..
hayo ndiyo niloyofanya ndugu
saivi ukiniona
mashallah nmenoga, kishape kizuri
hatari sanaaa[emoji125]
Maji ya uzima hayo mkuu. [emoji12]Kumbe ndoa tamu