MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
[emoji23] [emoji23] [emoji23] naona unavyonienjoy wakati sivyo hivyo.
hahah hamna sikuenjoy !unaniongelea mle mle
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] naona unavyonienjoy wakati sivyo hivyo.
Siyo mzima wewe, watu wanavyoangaika kupunguza mwili wewe eti uongeze??Habarini JF Doctors!
Husika na kichwa cha habari hapo juu..
Mimi ni msichana wa miaka 24! Ila mwili wangu hausadifu miaka yangu!
Yaani ni mwembamba mno.
Na hata kilo zangu ni utata jamani nina kilo 40!
Nilishawahi kutumia vidonge vya kuongeza kilo na hamu ya kula but haijasaidia kitu!
Honestly, sina stress, sina roho mbaya na wala sio mvivu kula!
Naomba nielezwe kama kuna dawa ya uhakika ya kuongeza mwili na kilo!
Nitashukuru sana!
Kwenda zako huko unataka kila mtu awe na mawazo ya kuwa mwembamba??Siyo mzima wewe, watu wanavyoangaika kupunguza mwili wewe eti uongeze??
Mwenyewe niko na 50kgs, natafuta namna ya kuongeza akili zaidi na zaidi siyo mwili
Sasa ulivyonenepa na chura umepata pia?Kwenda zako huko unataka kila mtu awe na mawazo ya kuwa mwembamba??
Na ndo Nishanenepa sasa unatakaje??
Mwanamke hataishi kwa kuwa chura tuu!Sasa ulivyonenepa na chura umepata pia?
Basi pambana ba hali yako, utakuwa ulikuwa huna chura..[emoji3][emoji3][emoji3] shida chura ya kulazimisha huwa inakuwa proportional na tumbo hahahah utakuwa km kiboko sasa..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125]Kwenda zako huko unataka kila mtu awe na mawazo ya kuwa mwembamba??
Na ndo Nishanenepa sasa unatakaje??
[emoji12] [emoji12] [emoji12]Basi pambana ba hali yako, utakuwa ulikuwa huna chura..[emoji3][emoji3][emoji3] shida chura ya kulazimisha huwa inakuwa proportional na tumbo hahahah utakuwa km kiboko sasa..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125]
Keep it up..! Understanding tuu ndiyo shida.[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kwani kipi kitaharibika hata nikiwa kama nyumbu!
Yo soo petty[emoji3] [emoji3]Keep it up..! Understanding tuu ndiyo shida.
umenifanya nicheke...kasoro kanzu tu...hahahaaajaman una raha !mbona huo mwili ingawa sijakuona mtamu sana tu !unajua wembamba mnapendeza sana kimavazi kasoro madera tu ? dah i wish jaman niwe chembambaaaaaaaaaaa
teh teh !nautaman huo mwili kiaina ! nitakuwa nalipuka na vivazi jaman uwii ! mtu mnene ukivaa gauni mbano ukikaa mapaja yote nje !macho kodo !mwembamba akuumenifanya nicheke...kasoro kanzu tu...hahahaaa
we njoo kwangu wiki si nyingi jinsi nilivyo mtaalamu wa kupika kitimoto rostHabarini JF Doctors!
Husika na kichwa cha habari hapo juu..
Mimi ni msichana wa miaka 24! Ila mwili wangu hausadifu miaka yangu!
Yaani ni mwembamba mno.
Na hata kilo zangu ni utata jamani nina kilo 40!
Nilishawahi kutumia vidonge vya kuongeza kilo na hamu ya kula but haijasaidia kitu!
Honestly, sina stress, sina roho mbaya na wala sio mvivu kula!
Naomba nielezwe kama kuna dawa ya uhakika ya kuongeza mwili na kilo!
Nitashukuru sana!
Ukishapika unauza huwa unagawa bure?we njoo kwangu wiki si nyingi jinsi nilivyo mtaalamu wa kupika kitimoto rost
mazingira na upikaji pia unaweza kuto kufanya kulizika na chakura au hata watu wanao kuzunguka.sifanyi biashara ila ndo chakula kinacho nenepesha fastaUkishapika unauza huwa unagawa bure?
Haya uwe unanitumia ukimaliza kupika[emoji12] [emoji12]mazingira na upikaji pia unaweza kuto kufanya kulizika na chakura au hata watu wanao kuzunguka.sifanyi biashara ila ndo chakula kinacho nenepesha fasta
Umetumia nn mkuu nami nataka kunenepaKwenda zako huko unataka kila mtu awe na mawazo ya kuwa mwembamba??
Na ndo Nishanenepa sasa unatakaje??