Fahamu mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia ili kunenepa au kuongeza uzito wa mwili (Kilo)

Fahamu mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia ili kunenepa au kuongeza uzito wa mwili (Kilo)

Zawadi gani mbaya bhanaa
Wakutumishe Wewe Meseji PM kwng hiy ndio itakua zawad[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unajua kuzawadiwa zawadi ya uzi ni bahati ambayo Ni watu wawili tu mmewahi kuipata humu.
Wewe na ZoΓ«

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unajua kuzawadiwa zawadi ya uzi ni bahati ambayo Ni watu wawili tu mmewahi kuipata humu.
Wewe na ZoΓ«

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hata yeye amewahi fanyiwa hivyo kumbe!!
Me sioni kama ni zawadi hiy, zawad uifirahie bwana eeeh
Nidondokewe tuu na li-PM nikachinje Jogoo mie [emoji38][emoji38][emoji38]
 
We una kisanga
Sasa mtu hata kama ana kipato fulani and then. Asubuhi mchana yuko ofisn au kwenye inshu zake then home ni jioni tu huoni hata akikwambia haitosaidia?

Vipato vina budget zake sio hela yote utamalizia kwenye msosi. Usiwe kama hukusoma hesabu za makadirio ....we kadiria mfano kwa siku maximum 10k etc
Sawa nitaweka maelezo.
 
Huyu Depal anatamani sana kuwa na visoap dish lakini haez. Kashatumia chia seeds na mazoez lakini bado anaumuka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.. tatizo anapenda vinono Depal hii timu huingii miaka elfu..tuache na Saint Anne
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimekunywa hadi soup ya konokono lakini hali bado ngumu..
 
Back
Top Bottom