Fahamu mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia ili kunenepa au kuongeza uzito wa mwili (Kilo)

Fahamu mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia ili kunenepa au kuongeza uzito wa mwili (Kilo)

Hata mimi ningecheka.
Sasa nguo inakudondoshaje jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah[emoji1787]
Nguo ndefu tuachieni wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo mengine ni ajali kazini 😂😂😂 nina gauni refu la kitenge, nilivaa siku hiyo limetoka kwa fundi nikasalia christmas ya mwaka 2018 hadi leo sijalirudia. Na nilipendeza sema ndio vile tu sina mood na nguo ndefu.
Navaaga najicheck kwa kioo kisha navua
 
Mambo mengine ni ajali kazini [emoji23][emoji23][emoji23] nina gauni refu la kitenge, nilivaa siku hiyo limetoka kwa fundi nikasalia christmas ya mwaka 2018 hadi leo sijalirudia. Na nilipendeza sema ndio vile tu sina mood na nguo ndefu.
Navaaga najicheck kwa kioo kisha navua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi Mimi nguo fupi siwezi kuvaa..

Nina magauni ya vitenge..hizi nguo sizizo za vitenge za kuhesabika tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
daah...mimi ndo ata sijui nifanyeje...hakuna chochote kinachoonesha kuwa mm ni mtu mzima...imagine ni mfupi, mwembamba, sura ya kitoto...umri wenyew umesonga ila akija mtoto ww 2004 ananizid na ajui kama mimi ni kaka uke...nina dogo tumepishana miaka miwili ila kashaniacha mbali sana...nikifata na bro watu wanahisi ndo baba yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
daah...mimi ndo ata sijui nifanyeje...hakuna chochote kinachoonesha kuwa mm ni mtu mzima...imagine ni mfupi, mwembamba, sura ya kitoto...umri wenyew umesonga ila akija mtoto ww 2004 ananizid na ajui kama mimi ni kaka uke...nina dogo tumepishana miaka miwili ila kashaniacha mbali sana...nikifata na bro watu wanahisi ndo baba yangu

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji1][emoji38][emoji38][emoji38]
Daah vitu vingine ujue ni Genetic Make Up ni ngumu Sana kubadiri Mfano Albinism
Life isn't fair, hapo kuna watu wadogo tuu Lkn wana miili kama watu wazima
Fairness haip cha huyu kimeenda kule cha kule kimerudi huku [emoji28][emoji28][emoji28]
 
daah...mimi ndo ata sijui nifanyeje...hakuna chochote kinachoonesha kuwa mm ni mtu mzima...imagine ni mfupi, mwembamba, sura ya kitoto...umri wenyew umesonga ila akija mtoto ww 2004 ananizid na ajui kama mimi ni kaka uke...nina dogo tumepishana miaka miwili ila kashaniacha mbali sana...nikifata na bro watu wanahisi ndo baba yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Jikubali tu mkuu.

Mwili ukizidi pia Ni changamoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume hutakiwi kunenepa,bali unatakiwa uwe na mwili wenye afya; chukulia mfano umenenepa sana ukawa unavaa suruali ya kitambaa.

Kwamba utakuwa na hipsi sio? 😂 I wish i could be IGP
 
Back
Top Bottom