Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Hiki ni kitambi kabisakkunywa castle lager 3 na kitimito nusu kila siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki ni kitambi kabisakkunywa castle lager 3 na kitimito nusu kila siku
Hii kunenepa ama kukonda?Hakikisha kila asubui kabla hujala chochote mile, kunywa Lita moja ya maji ya moto. Na usiku kabla hujalala. Kwenye Yale maji usiweke chochote kile...
Haha'Mzig'o ukiongezeka hata wanawake wenzako watakusengenya kwa kukuonea gere.
Utashiba kwa masaa mawili tu huko mbele njaa kama kawaidaMkuu inategemeana na viungo vilivyochanganywa hayo makande. Makande waweza shiba kabisa.
Hii sikuiona 😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi soap dish Zina muda na muda.
Nikiwa na stress zinakuja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukinipea nitawezana.... Emu jaribu kunipea tips
Hahah same to me ila mie na miguu plus kalio vyote vinaendagaHahah!
Mimi nikiona tu soap dish shingoni najua kabisa Ni stress.
Stress zikiniisha nazo zinaisha.
Ila ubaya nakonda tu shingo na tumbo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena mule kwa kujitahidi kabisaDah 😂😂😂 we mwanamke ni mgovi sana ujue naona unapiga campaign kabisa simiss Saint Anne wanangu tule naona huyu bibie atatufanya tuwe mabalozi muda sio mrefu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Saint Anne
Mtag na yule dada mwingine. Mesahau ID yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii sikuiona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hadi wewe mpwa ake Yesu unakuwaga na stress?!
Mimi ukiniona ninavyokonda shingo yaani utanihurumia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahah same to me ila mie na miguu plus kalio vyote vinaendaga
Hahaha bora sehemu nyingine asee, shingoni jau sanaMimi ukiniona ninavyokonda shingo yaani utanihurumia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha Yesu alisema tu ila ilikuwa ni lazima mapenzi yatimizwe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yesu mwenyewe msalabani alitamani kikombe kimuepuke
Mimi ni Nani hata nisipate stress??[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia uwanja wa vitaEti waliokauka[emoji23][emoji23] ila duniani kuna mambo, wanene wanatamani kupungua, na wembamba wanatamani kunenepa basi tabu tupu
Ukinipea nitawezana.... Emu jaribu kunipea tips
Watoto wa siku hizi... Yan kabisa unamcheka dada yako?
Mtindi ule wa azamu au mtindi wa man made?[emoji23][emoji23][emoji23] aisee embu ridhika shoga angu au try kuwa unakunywa smoothie ya maziwa mtindi na ndizi za kuiva na asali kidogo inaongeza mwili.. maybe utawezana
Sent using Jamii Forums mobile app