GUI
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 1,847
- 1,300
Mm nagegeda ipasavyo kabisa hata kama kuna mtu anakusumbua unaweza kunishituaKwa hiyo hata wewe umeshindwa kugegeda effectively???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm nagegeda ipasavyo kabisa hata kama kuna mtu anakusumbua unaweza kunishituaKwa hiyo hata wewe umeshindwa kugegeda effectively???
Mtu Kashatendwa hapa [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] Ukome Kuonga ..Siku nyingine pesa yako Ipeleke kwenye kununua hisa.. Anza Na Dangote Cement Mapema..Usijidanganye mwanamme mwenzangu kuwa kuna siku utamridhisha mwanamke kwa lolote,kuanzia kwenye kumgegeda mpaka masuala ya kawaida,
wanawake wengi wao akili yao kama kuku,ukimpa mchele juu atapekua na chini zaidi.
Kwa hiyo mwanamme mwenzangu penda 45 tu,zingine jipende mwenyewe au wapende wanao,kama hayajakukuta siku yakikukuta ndio utajua.
Usione baadhi ya watu wanaishi single man ukawaona wajinga,waulize wakwambie.
Na nyie wanawake mnahangaika nini? Ona sasa mnafanywa incubator,mnazalishwa mtu anasepa,wewe unalea mtoto akifika miaka saba baba mtoto anabeba mwanae,utazalishwa na wangapi?
Alivyokua mjinga na roho mbaya yule mwanamke akawa anarudi rudi kunitest imani. Akakutana na mi chuma cha Reli...mbishi nikisha kataa nimekataa.....sigeuki nyuma.Nawakubali watu kama wewe, mapenzi haya takiwi kutunyima raha kiasi cha kuatamani kufa
Nna jamaa angu kajenga nyumba yake ya kuishi na mkewe, gorofa 4 kila kitu ndani mazee.Ila kweli hawaridhiki Hawa watu
Utotoni tungejifunzia wap mapenzi wakati tulikuwa shule.. vp mwenzetu ful migegedo toka nurseryWanaolalamika hawajui mapenzi.au wamejifunzia ukubwani.
Rafiki yule jamaa anaetumia avatar yako tumfanyeje?Pole sana kwa yaliyokukuta
Safi sanaaa!!! Ukirudi nyuma atakuona huna futureAlivyokua mjinga na roho mbaya yule mwanamke akawa anarudi rudi kunitest imani. Akakutana na mi chuma cha Reli...mbishi nikisha kataa nimekataa.....sigeuki nyuma.
Namuona anatanga tanga tu huko na mm niko na dem mwingine mrembo mwenye standards anayeni heshimu na kuni value sana (ananijua fika character yangu ilivyo ndio maana na yeye haniletei ujinga). Just cz dem mzuri ana standards na kwenu mko vizuri isiwe shida na kuleteana dharau (hata kwetu tuko vizuri sana tu).
![]()
nilimuona juzi ametoa yangu ameweka ya Ngabu niliongea nimechoka mpk nikamsemea kwa modsRafiki yule jamaa anaetumia avatar yako tumfanyeje?