Fahamu sifa kubwa ya Infinix Hot 10 PLAY zaidi ya Samsung A02S

Inafutwaje
 
Redmi 9i ya India , haina band 7, hivyo ukinunua utakosa 4G ya Halotel chukua tahadhari.
 
Uongo infinix inafast charge ya 10w, na hiyo 6000 mha inakuwa full charge in 2 hrs...
 
Infinix Hot 10 Play haijawahi kuwa high End .

High end ni kina Sam S21 &Co.. (Flagship)
Mimi nimeshatumia hizo Infnix, Tecno vizuri kabisa lakini amini amini nakwambia hizo ni upupu tu ndio mana nikahama na sina mpango wa kurudi huko
Huo ni mtazamo wako hot play ni simu za high end low budget phone wewe kama kutoa 3M ndo unaoan high end ni sawa lakini both phone run android q...na ndo kitu kizuri kwenye open operating system, tutanyanyapiana kwenye hardware features.. lakini tunatumia the same operating system
 
Android 10 Go edition ni ya hot 10 lite na play ya 32gb na 2gb ram pia ina cpu tofauti na 64gb
 
Mkuu nisaidie jinsi ya kujua original charger ya 15w.
 
Mkuu nisaidie jinsi ya kujua original charger ya 15w.
1. Angalia kwenye charger yenyewe kwanza Wana andika.

2. Download app inaitwa Accubattery hii ni nzuri kutestia fast charging, Iache kwa muda ichaji Kisha fungua app kuangalia. Volt x ampere ndio unapata idadi ya hizo watts.

3. Android versions baadhi huandika pia kama simu ina charge slow, kawaida ama faster.

Sema kama simu haisupport 15w fast charging, hata kama charger inasupport haisaidii.
 
Thanks mkuu
 
Kuna vtu vinashangaza sana mfano mtu anasema tecno au inifinx sio sim bila ata kuelezea vzur maana kuna ifininx nyng au tecno nyng zimezd ayo wanayosema masim mtu ananunua samsung kwa lak tano alaf anataka kushindanisha na tecno au infinx ya lak moja na nusu iv samsung mfano a10 ikaizd ubora tecno camon 16 au samsung s2 ikaizid uwezo infinix note 7 ,mwingne anakuambia tecno na inifinx sio sim alaf anaisifia oppo wakat karbu kila ktu wanashea ,kuna aja kuanza kufanisha bei kwanza sio kusema tu aina fulan sio sim na kingne kimpendacho mtu na ndio maana pamoja na sifa na ubora wa iphone lkn badp weng wao wanazikataa sima za china wanatumia samsung na nyngne kutoka uko uko china
 
Infinix Hot 10 Play haijawahi kuwa high End .

High end ni kina Sam S21 &Co.. (Flagship)
Mimi nimeshatumia hizo Infnix, Tecno vizuri kabisa lakini amini amini nakwambia hizo ni upupu tu ndio mana nikahama na sina mpango wa kurudi huko
we jamaa nikitaka kununua simu nitakutafuta unipipe ushauri unaonekana uko nondo kiaina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…