Fahamu Tabia 15 za Wanaotafuta Utajiri

Yuko sahihi ingawa 1 na 13 zina maana sawa yaani wanajisimamia... 12 wanautayari wa kutumia muda wa ziada bila malalamiko.
Mkuu,nilishafafanua 1 na 12 sasa naona 1 na 13.All in all ukisoma hili andiko kama ulivolisoma uataona kwamba zinafanana ila kimsingi hazifanani ila zinaongezeana nguvu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…