Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
- Thread starter
- #21
Mkuu mimi binafsi nipo kwenye namba 1
[emoji39][emoji39][emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mimi binafsi nipo kwenye namba 1
Hizo mara nyingi ukichungulia ndani utamuona mzungu,hiyo ni90%
Tako la sokweHiyo harrier ni harrier tako la nyani au harrier ipi??[emoji41]
Huyu ana mazda demio tu sio vinginevyoWewe unaendesha gari gani?
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Nilikoswa koswa sana kumiliki mazda demio...lakini nashukuru kikombe kile kiliniepuka.[emoji39][emoji39]Huyu ana mazda demio tu sio vinginevyo
Wamiliki wa hivi vyombo wanaishi kule ulimwenguni...hawakai huku duniani tulipokaririshwa toyota ndiyo gariVipi madereva wa Ford Raptor, Lincoln Navigator, Ford Explorel na Chevrolet Trailbrazer.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3] naona swali limekuwa gumu kwakeHuyu ana mazda demio tu sio vinginevyo
Mkuu hata hapa yapo ila wachache wanayo. Kama Ford Exporel zipo sana model ya zamani.Wamiliki wa hivi vyombo wanaishi kule ulimwenguni...hawakai huku duniani tulipokaririshwa toyota ndiyo gari
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona nilishajibu swali tangu huko mwanzo?[emoji849][emoji3] naona swali limekuwa gumu kwake
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kuna kagari kanaitwa Mazda Verisa, kamekaa utamu sana kwakweli. Katika gari za Mazda zile economical nilikuwa naiona demio ina shape nzuri ila baada ya kuiona ile Verisa moyo wangu umeangukia pale. Sitamani tena kibebiwoka chochote zaidi ya mazda Verisa!Nilikoswa koswa sana kumiliki mazda demio...lakini nashukuru kikombe kile kiliniepuka.[emoji39][emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app