Fahamu tabia za watu kulingana na magari wanayomiliki

halafu wanapenda ugomvi kuliko kula...nadhani ufupi wao unachangia

Sent using Jamii Forums mobile app
We hujakutanna na sisi wenye Landrover 109 AKA Mando!! Pembeni ya engine unaweka vidumu vyako viwili vya petrol na siti ya pembeni naweka gobole langu!! Sipakii abiria kabisa nyuma naweka Jiko langu dogo la gas vichane kadhaa vya ndizi! Hapo safari ni Mwanza to moshi non stop! Disemba ndiyo mwezi wake!!
 
[emoji1787][emoji1787]hizi nimepanda sana nikiwa naenda shule utotoni.... in fact ni gari roho ya paka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa kuwa serious kidogo unachanganya unachanganya Mercedes benz na Toyota crown au Mark X sehemu moja..Benz umeichukulia poa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa kuwa serious kidogo unachanganya unachanganya Mercedes benz na Toyota crown au Mark X sehemu moja..Benz umeichukulia poa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Zinaangukia kundi moja...kwa sababu ukifuatilia Mark x,Athlete crown, Nissan fuga au Skyline haya n magari ya kijapan ambayo yana hadhi inayokaribia Mercedes-Benz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Apo kwenye PRADO,HARRIER NA V8 umesahau sifa moja hawa wamiliki huwa ukiwatizama kwa njee wakiwa wanaendesha utaona simu iko sikioni sasa nashindwa kuelewa huwa wanaongea na simu mda wote au ndio mapozi ya kuendesha gari..siwaelewagi au wanakua wameshikilia tama kwa kutumia Simu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa wanapretend kuwa wao ni wazee wa madili makubwa makubwa kuliko hata MO[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi Wa landrover TDI tunakuaga kipande ya wapi hapo?

"ishi ulaumiwe, kufa usifiwe"
 
Sisi Wa landrover TDI tunakuaga kipande ya wapi hapo?

"ishi ulaumiwe, kufa usifiwe"
Nyie wa TDI rejea wamiliki wa VX na Nissan Patrol...
Lakini zaidi Wamiliki wengi wa TDI ni wakazi wa manyara, huko landanai kubeba wamasai kupeleka mnadani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Yallaah! Maskin gari yangu ndio inasifa hizo?
Samahan mdau naomba kujua Source ya Taarifa yako umeitoa wapi?
Ni timu ipi ya wataalam ilifanya utafit ikaprovide those RESULTS.
Failure to do that.
NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK............
 
Yallaah! Maskin gari yangu ndio inasifa hizo?
Samahan mdau naomba kujua Source ya Taarifa yako umeitoa wapi?
Ni timu ipi ya wataalam ilifanya utafit ikaprovide those RESULTS.
Failure to do that.
NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK............
Kwanza ningependa kujua gari yako inaangukia kwenye kundi namba ngapi.

Pili hii ni research halali niliyoifanya mimi
Methodology iliyotumika ilikuwa observation...

Nimefanya uchunguzi kwa muda mrefu ikiwa ni pamoja na kukaa karibu na watu wenye magari tofauti tofauti...nilipojaribu kuoanisha tabia za watu kadhaa wanomiliki aina fulani ya gari, nilibaini wanafanana.
So research hii kwa hapa Tz haijafanywa na mtu mwingine ila mimi tu Boeing 747.
Mtu mwingine akija na utafiti kama huu atanitumia mimi kama Reference.

Boeing 747, (2019). Fahamu Tabia za Watu Kulingana na Aina ya Gari Analomiliki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…