Fahamu Tier 1 entrepreneur Visa in the UK

inaonekana kama ina maana ila kwa sisi watanzania huo ni ujinga.. Yaani bilioni 6 za kktanzania una haja gani ya kwenda uko?
Haina maana...Ni UJINGA wa fikra tu...6bn unafanya mengi hapa hapa TZ...Paris,Rome,London,Venice,LA panakua vacation sites zako tu kipind upo likizo
 
How old are You?
 
Life expectancy yetu ni 55 wakati ya Wazungu ni 75
Wakati Zimbabwe imewekewa vikwazo vya uchumi, kikichowaokoa ni Wazimbabwe walio Ulaya na Marekani walikuwa wanatuma cash nyumbani kwa ndugu zao na mzunguko wa hela ukaweza kuendelea.

Philippines ilipopata tetemeko la ardhi ilipata msaada mkubwa kutoka nje kwakuwa wa Phillipino wengi ndiyo walimu na manesi Ulaya na Marekani.

Tupanue fikra zetu ili tuzidi kuinua uchumi wa nchi yetu.
 
Hahahaha!mkuu hayo mawazo uliyonayo ndio yanayochelewesha kuuondoa umaskini kwa watanzania wengi.
Walio wengi huwa wamekariri kwamba kuanzisha kampuni ni hadi uwe mzungu au mtu mweupe.
Hayo yote yametoka wapi mimi naongelea mitaji na naongelea kitu ninachofahamu na kuishi nao na ku experience ujanja ujanja wao.
 
Ni kweli hata hapo tu kwa majirani Kenya, top forex earner yao ni remittance ya wakenya walio nje ikifuatiwa na utalii, Uganda pia.

Kwahiyo sisemi hakuna umuhimu wa kuwa na raia nje kwakuwa huwa wanaleta pesa nyingi sana za kigeni ambazo ni muhimu kiuchumi...lakini ninacho sema bado mindset ni tofauti na haiwezi kuwa sawa na nigeria kuwa wao hawana chaguo ni lazima waende tu. Hapa kwetu kuna machaguo, wanaopata nafasi ambazo ni nzuri waende... ila ni poor decision kurisk katika mazingira magumu sana kwa ujira mdogo kisa tu upo nje( unakuta mtu amekaa 20 years lakini hana mafanikio yanayoonekana)..lazima ulinganishe na fursa zilizomo nchini uone pro &cons. Ila kama huna cha maana cha kufanya nchini basi bora ukapate hizo £/€/$ hata kama ni kazi zisizo na staha....mwisho wa siku ni kazi na inaingiza pesa.
Pia life expectancy ya tz kwa mujibu wa gugo ni 65.8 years.
 
Mfano wako ni irrelevant lkn
 
this sound very good indeed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…