Haina maana...Ni UJINGA wa fikra tu...6bn unafanya mengi hapa hapa TZ...Paris,Rome,London,Venice,LA panakua vacation sites zako tu kipind upo likizoinaonekana kama ina maana ila kwa sisi watanzania huo ni ujinga.. Yaani bilioni 6 za kktanzania una haja gani ya kwenda uko?