Fahamu tofauti ya kauli kati ya mwanamke aliyekupenda na mwanamke mwenye malengo na wewe

Fahamu tofauti ya kauli kati ya mwanamke aliyekupenda na mwanamke mwenye malengo na wewe

Kifaru86

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2017
Posts
1,734
Reaction score
3,822
Leo wakati nasikiliza kipindi flani kuna doctor wa kisaikolojia alikuwa akichambua tofauti ya mwanamke aliyekupenda na mwanamke mwenye malengo na wewe kwa kusikiliza kauli zao pale mwanaume unapoingia katika mahusiano.

KAULI ZA MWANAMKE ALIYEKUPENDA KWA DHATI.

1.Hupenda kusex na wewe kila time na full kupeana malavidavii.

2.Hupenda kila saa muwe pamoja popote unapokwenda.

3.Uwee na kitu usiwe na kitu yeye kwake ni sawa.

4.Yupo tayari kukaa na wewe katika mazingira yoyote bila kujali.

5.Hupenda kufata tabia zako mienendo yako kama unapenda mpira, siasa basi na yeye hupenda kufata hivyo.

6.Hupenda kukutafuta kila saa kuonana nae au mchat kila saa.

7.Akigundua umeyumba kiuchumi yupo tayali kumpiga kibomu mwanaume au mtu mwingine cha pesa na kukuletea wewe pesa.

8.Hapendi kukuona umekosa furaha yupo tayari kufanya lolote lile ulipendalo ili mradi uwe na furaha.

MWANAMKE MWENYE MALENGO.

1.Hayupo tayari kufanya mapenzi mpaka mfunge ndoa.

2.Hupenda kukuuuliza maswali kuhusu wewe kutaka kujua unafanya nini.

3.Hupenda kujua malengo yako kwa sasa ni yapi una mipango gani katika maisha.

4.Hupenda kukuuleza malengo yake katika maisha na kupima upepo kama utaweza kumsaidia au una msaada gani kwake.

5.Hupenda kufahamu ni aina gani ya assets au mali unazomiliki.

6.Akiwa na karibu na mwanaume wake huwa sio mzungumzaji sana muda mwingi yupo kimya mpaka wewe umuanze.

7. Ni mvivu kukutafuta pale anapogundua mambo yako hayajakaa sawa mara nyingi ukimtafuta hukupa sababu amebanwa au kuna vitu vina mkeep bize.

8.Na mara nyingi hupenda kujiweka mbali na mwanaume wake pale anapogundua hali yake ya kiuchumi au mambo yake sio nzuri ila akijua upo vizuri hupenda kujiweka karibu na kukutafuta.

SASA ADVANTEGE NA DISADVANTAGE YA AINA HIZI ZA WANAWAKE.

1.MWANAMKE MWENYE MALENGO AKIONA KILA ANACHOKITAFUTA TOKA KWAKO KAMA NI PESA AU MALI TOKA KWAKO ATAKUACHAA ILA MWANAMKE ALIYEKUPENDA HATA UWE NA PESA USIWE NA PESA WALA MALI HAWEZI KUKUACHA.

2.MWANAMKE MWENYE MALENGO NA WEWE HUWA ANA ROHO NGUMU YUPO TAYALI KUKUUWA AU KUKUFANYIA KITU KIBAYA ILI MRADI APATE PESA Au MALI
TOFAUTI NA MWANAMKE ALIYEKUPENDA

3.MWANAMKE MWENYE MALENGO NA WEWE HUKUPA AKILI YA KUTAFUTA PESA NA MALI KWA AJIRI YAKE TOFAUTI NA MWANAMKE ANAYEKUPENDA.

4.MWANAMKE MWENYE MALENGO UKIINGIA NAE KATIKA NDOA HUWA ANA ASILI FLANI YA UBABE NA HUPENDA UISHI APENDAVYO YEYE

HIVYO MNOTAFUTA MKE MWEMA ANZENI KUJIFUNZA TOKEA HUMU
 
Kundi la pili ni mwanamke aliyekomaa kifikra na kiakili na mara nyingi anakuwa juu ya miaka 25, ila kundi la kwanza ni mwanamke ambaye hajakomaa kiakili na mara nyingi anakuwa chini ya miaka 20. Takribani wanawake wote wakifikisha zaidi ya miaka 25 hubadilika na kuwa na malengo. Kwa maoni yangu sioni tatizo kuwa na mwanamke mwenye malengo, jambo la msingi kufahamu ni aina ya malengo yanakusudia kumnufaisha nani? Kama yanakusudia kuwanufaisha wote, basi huyo ni mwanamke mzuri na kama yanakusudia kumnufaisha yeye peke yake, basi huyo hakufai.

Kwa ujumla wake, mahusiano ya ndoa yanapaswa kujengwa katika msingi mkuu na imara wa UPENDO, kisha muweke malengo yenu pamoja. Huo ni uchambuzi wangu
 
Wachache wapo kwenye kundi la kwanza.. Kundi la pili si rafiki kuwa nalo maana mwisho wa siku ni umauti unamkuta wa kiuchumi, kimwili na mwishoe kiroho.
 
Wachache wapo kwenye kundi la kwanza.. Kundi la pili si rafiki kuwa nalo maana mwisho wa siku ni umauti unamkuta wa kiuchumi, kimwili na mwishoe kiroho.
Umeonah eheeee
 
naona mzuri ni huyo wa kundi la kwanza. hawa wa malengo mara nyingi ni hatari kweli. wako Tayari kuchukuwa uhai wako wakigundua unawachirt ! Kifupi wako kimaslahi no Mapenzi.
 
naona mzuri ni huyo wa kundi la kwanza. hawa wa malengo mara nyingi ni hatari kweli. wako Tayari kuchukuwa uhai wako wakigundua unawachirt ! Kifupi wako kimaslahi no Mapenzi.
Yaaani akishatoa uhai mali zako zote zinahamia kwakeeee
 
Leo wakati nasikiliza kipindi flani kuna doctor wa kisaikolojia alikuwa akichambua tofauti ya mwanamke aliyekupenda na mwanamke mwenye malengo na wewe kwa kusikiliza kauli zao pale mwanaume unapoingia katika mahusiano.

KAULI ZA MWANAMKE ALIYEKUPENDA KWA DHATI.

1.Hupenda kusex na wewe kila time na full kupeana malavidavii.

2.Hupenda kila saa muwe pamoja popote unapokwenda.

3.Uwee na kitu usiwe na kitu yeye kwake ni sawa.

4.Yupo tayari kukaa na wewe katika mazingira yoyote bila kujali.

5.Hupenda kufata tabia zako mienendo yako kama unapenda mpira, siasa basi na yeye hupenda kufata hivyo.

6.Hupenda kukutafuta kila saa kuonana nae au mchat kila saa.

7.Akigundua umeyumba kiuchumi yupo tayali kumpiga kibomu mwanaume au mtu mwingine cha pesa na kukuletea wewe pesa.

8.Hapendi kukuona umekosa furaha yupo tayari kufanya lolote lile ulipendalo ili mradi uwe na furaha.

MWANAMKE MWENYE MALENGO.

1.Hayupo tayari kufanya mapenzi mpaka mfunge ndoa.

2.Hupenda kukuuuliza maswali kuhusu wewe kutaka kujua unafanya nini.

3.Hupenda kujua malengo yako kwa sasa ni yapi una mipango gani katika maisha.

4.Hupenda kukuuleza malengo yake katika maisha na kupima upepo kama utaweza kumsaidia au una msaada gani kwake.

5.Hupenda kufahamu ni aina gani ya assets au mali unazomiliki.

6.Akiwa na karibu na mwanaume wake huwa sio mzungumzaji sana muda mwingi yupo kimya mpaka wewe umuanze.

7. Ni mvivu kukutafuta pale anapogundua mambo yako hayajakaa sawa mara nyingi ukimtafuta hukupa sababu amebanwa au kuna vitu vina mkeep bize.

8.Na mara nyingi hupenda kujiweka mbali na mwanaume wake pale anapogundua hali yake ya kiuchumi au mambo yake sio nzuri ila akijua upo vizuri hupenda kujiweka karibu na kukutafuta.

SASA ADVANTEGE NA DISADVANTAGE YA AINA HIZI ZA WANAWAKE.

1.MWANAMKE MWENYE MALENGO AKIONA KILA ANACHOKITAFUTA TOKA KWAKO KAMA NI PESA AU MALI TOKA KWAKO ATAKUACHAA ILA MWANAMKE ALIYEKUPENDA HATA UWE NA PESA USIWE NA PESA WALA MALI HAWEZI KUKUACHA.

2.MWANAMKE MWENYE MALENGO NA WEWE HUWA ANA ROHO NGUMU YUPO TAYALI KUKUUWA AU KUKUFANYIA KITU KIBAYA ILI MRADI APATE PESA Au MALI
TOFAUTI NA MWANAMKE ALIYEKUPENDA

3.MWANAMKE MWENYE MALENGO NA WEWE HUKUPA AKILI YA KUTAFUTA PESA NA MALI KWA AJIRI YAKE TOFAUTI NA MWANAMKE ANAYEKUPENDA.

4.MWANAMKE MWENYE MALENGO UKIINGIA NAE KATIKA NDOA HUWA ANA ASILI FLANI YA UBABE NA HUPENDA UISHI APENDAVYO YEYE

HIVYO MNOTAFUTA MKE MWEMA ANZENI KUJIFUNZA TOKEA HUMU
Nina mademu wawili wote wana malengo na mimi hakuna anayenipenda nimejua sasa tena mmoja nina mtoto nae.[emoji1] [emoji1]
 
Nina mademu wawili wote wana malengo na mimi hakuna anayenipenda nimejua sasa tena mmoja nina mtoto nae.[emoji1] [emoji1]
Hahaaa aiseeee nakuonea huruma sana mademu wawili wana malengo na wewe ila hakuna anayekupenda

Hebu tuelezee kidogo malengo yao
 
Ndomana mim skuhiz wanasemaga ni katil,maana hao wa malengo hua nikishawala tuu namii ndo huyooooo nasepa..kama mbwai naiwe mbwai
 
Hahaaa aiseeee nakuonea huruma sana mademu wawili wana malengo na wewe ila hakuna anayekupenda

Hebu tuelezee kidogo malengo yao
Asubuhi naulizwa uko wapi??

Na mi huwa najibu nipo home naambiwa hivi utafanya kazi gani wewe zaidi ya kukaa tu yaani umiendelea hivo utaishia pabaya amka katafite kazi mara ooh hivi tukioana turaish mkoa gani hivi tukijenga nyumba tutaandika jina lako au langu au mtoto/watoto.

akiomba hela ukizingua hutafutwi hadi umuulize niweke namba ipi?
Anajibu ya voda my[emoji1] [emoji1] [emoji1]

Halafu unanitesaga sana yaani ukininyima hela mi nahisig hunipendi tu. mwisho wa kunukuu.

Bora na dili tu mwenye mtoto ili nilee kamanda akikua niwe huru.

wanaonipenda wapo lakini siwapend yaan naonaga aibu kutembea nao au kuwa nao kiujumla hakuna demu wangu anayejua geto.
 
Aisee hii kitu imenigusa,mi hawa wanawake onnao wote wawili ila huyu Wa pili ndo nampenda zaidi na ndo nitamzungumzia hapa,toka mwez Wa kwanza mwaka huu mpaka Leo hataki tufanye sex eti mpaka Tulane,simu nkimpigia Mara hapokei SMS hajib,anajibu Mara chache sana,ukimuuliza kwann unafanya hvo anasema alkuwa busy au alikuwa amelala,ila sasa nshaanza kumchoka sumtime na Mimi huwa simtafut,akiona nmekaa kimya muda mrefu ananitafuta mwenyew,ila ni mzuri kuliko huyo anaenipenda
 
Back
Top Bottom