Fahamu tofauti ya kauli kati ya mwanamke aliyekupenda na mwanamke mwenye malengo na wewe

Fahamu tofauti ya kauli kati ya mwanamke aliyekupenda na mwanamke mwenye malengo na wewe

Yani mwaka mzima unakula mara tatu tu, then unahonga mara ngap?
Dah me ninao wawili
1.Yeye hana mkuu, akishanipa papuchi baac haitaji kingne zaid ya kuwa na mm muda wote.
2.Anapenda kujua namiliki nin, malengo yangu ni yap na huwa anapenda kunambia mipango yake, hatoi papuchi kizembe.
Ni mwaka sasa ila kanipa papuchi mara tatu tu.
 
Huu uchambuzi wa kweli.maana 100% ya wanawake wanotafuta waume humu jukwani huwa wanaweka vigezo ambavyo vinaonyesha ni wale wa kundi la pili
 
Una manisha kwamba unaweza ukawa na bint akakupenda halafu asiwe na malengo na wew???
Ni kweli hiyo huwa inatokea kuna binti anaweza akakupenda lakini asiwe na malengo na wewe kwa sababu yeye anachotafuta ni mapenzi ya dhati toka kwako uwee na pesa usiwe pesa kwake sawa umuoe usimuoe kwake yeye sawa kwa sababu shida yake sio ndoa yeye shida yake penzi lako kwake.

Ndo maana unaweza kukuta kuna watu hawajafunga ndoa lakini tayali wanaishi pamoja na wana watoto hii ni tofauti kuna wengine hayupo tayali kwa lolote mpka ndoa ifugweeeee
 
Huu uchambuzi wa kweli.maana 100% ya wanawake wanotafuta waume humu jukwani huwa wanaweka vigezo ambavyo vinaonyesha ni wale wa kundi la pili
UKIONA MWANAMKE ANATAFUTA MWANAUME AMEWEKA VIGEZO SASA HIVYO VIGEZO WACHAMBUZI WANASEMA HAYO NDIO MALENGO YAKE KWA SABABU KAMA HUNA HIVYO VIGEZO HUWEZI KUTIMIZA MALENGO YAKE.

MKUU UKO VIZULI SANA
 
Ndoa nyingi za siku zinatokana na sababu namba (1) hawa wa pili ni Miyeyusho wana Masharti mengi mno!
 
Sema kwako ndo hatoi kizembe, unaweza kuta kuna mtu haipiti week anaweka
Dah me ninao wawili
1.Yeye hana mkuu, akishanipa papuchi baac haitaji kingne zaid ya kuwa na mm muda wote.
2.Anapenda kujua namiliki nin, malengo yangu ni yap na huwa anapenda kunambia mipango yake, hatoi papuchi kizembe.
Ni mwaka sasa ila kanipa papuchi mara tatu tu.
 
Kuna ujinga flani hivi mtoa mada unawajaza watu na umeharibu jamii yetu sana

Kinachofanya jamii iharibike ni Ile dhana ya Wanawake nao kutaka kuchagua mtu ata Kama Hana nyuma Wala mbele, matokeo yake mwanamke anazaa na wanaume wa ajabu ajabu hawana malengo na kupelekea kuwepo kwa single mother wengi, unavyombebea mimba mwanaume kwa kigezo Cha moyo unampenda ni uzwazwa

Mwanamke anatakiwa kumheshimu mme wake na sio kumpenda in first place, swala la kumpenda mwanaume linakuja through learning. Lakin Leo hii Wanawake wanataka kupenda in first-place Kama wanaume kitu ambacho sio sahii, mwanamke anatakiwa aridhike na mwanamme atakama hajampenda mwanaume, kumpenda kutakuja mbele ya safari.

Mwanaume ndo mjenzi wa familia imara na jamii imara, ni ngumu sana kwa mwanaume kukaa na mwanaume ambaye hampendi na hata akizaa nae hiyo familia ataitelekeza ndo kinachotea sahivi.

Ni rahis Sana kwa mwanamke akiamua kuishi na mwanaume hata akiwa hajampenda kwa Mara ya kwanza kwa sababu mwanamke anachohitaji ni affection.

Dhana ya Wanawake kutaka kupenda Kama wanaume liliivuruga Western countries, na Sasa hivi limehamia uku kwetu na litaendelea kutuvuruga sana
 
Asubuhi naulizwa uko wapi??

Na mi huwa najibu nipo home naambiwa hivi utafanya kazi gani wewe zaidi ya kukaa tu yaani umiendelea hivo utaishia pabaya amka katafite kazi mara ooh hivi tukioana turaish mkoa gani hivi tukijenga nyumba tutaandika jina lako au langu au mtoto/watoto.

akiomba hela ukizingua hutafutwi hadi umuulize niweke namba ipi?
Anajibu ya voda my
emoji1.png
emoji1.png
emoji1.png


Halafu unanitesaga sana yaani ukininyima hela mi nahisig hunipendi tu. mwisho wa kunukuu.

Bora na dili tu mwenye mtoto ili nilee kamanda akikua niwe huru.

wanaonipenda wapo lakini siwapend yaan naonaga aibu kutembea nao au kuwa nao kiujumla hakuna demu wangu anayejua geto.

Wakati nasoma kichwa cha habari nilikielewa tofauti
Yeah
 
Mwanamke hawezi kukupenda kama Hana malengo na wewe. Malengo huja baada ya upendo kuwa juu..malengo ni nguzo katika kukupenda.

Huwezi kupendwa na mtu Ambae Hana malengo na wewe wither utakuwa main provider ili upendwe hivyo basi

Lazima upendwe alafu malengo yawe juuu.
Msingi wa mwananke kukupenda kweli ni matokeo ya upendo wa kweli yaaani kukupenda.

Binafsi kwa faida yenu.
Mpenzi wangu kwanza ananipenda then anamalengo na Mimi.
 
Leo wakati nasikiliza kipindi flani kuna doctor wa kisaikolojia alikuwa akichambua tofauti ya mwanamke aliyekupenda na mwanamke mwenye malengo na wewe kwa kusikiliza kauli zao pale mwanaume unapoingia katika mahusiano.

KAULI ZA MWANAMKE ALIYEKUPENDA KWA DHATI.

1.Hupenda kusex na wewe kila time na full kupeana malavidavii.

2.Hupenda kila saa muwe pamoja popote unapokwenda.

3.Uwee na kitu usiwe na kitu yeye kwake ni sawa.

4.Yupo tayari kukaa na wewe katika mazingira yoyote bila kujali.

5.Hupenda kufata tabia zako mienendo yako kama unapenda mpira, siasa basi na yeye hupenda kufata hivyo.

6.Hupenda kukutafuta kila saa kuonana nae au mchat kila saa.

7.Akigundua umeyumba kiuchumi yupo tayali kumpiga kibomu mwanaume au mtu mwingine cha pesa na kukuletea wewe pesa.

8.Hapendi kukuona umekosa furaha yupo tayari kufanya lolote lile ulipendalo ili mradi uwe na furaha.

MWANAMKE MWENYE MALENGO.

1.Hayupo tayari kufanya mapenzi mpaka mfunge ndoa.

2.Hupenda kukuuuliza maswali kuhusu wewe kutaka kujua unafanya nini.

3.Hupenda kujua malengo yako kwa sasa ni yapi una mipango gani katika maisha.

4.Hupenda kukuuleza malengo yake katika maisha na kupima upepo kama utaweza kumsaidia au una msaada gani kwake.

5.Hupenda kufahamu ni aina gani ya assets au mali unazomiliki.

6.Akiwa na karibu na mwanaume wake huwa sio mzungumzaji sana muda mwingi yupo kimya mpaka wewe umuanze.

7. Ni mvivu kukutafuta pale anapogundua mambo yako hayajakaa sawa mara nyingi ukimtafuta hukupa sababu amebanwa au kuna vitu vina mkeep bize.

8.Na mara nyingi hupenda kujiweka mbali na mwanaume wake pale anapogundua hali yake ya kiuchumi au mambo yake sio nzuri ila akijua upo vizuri hupenda kujiweka karibu na kukutafuta.

SASA ADVANTEGE NA DISADVANTAGE YA AINA HIZI ZA WANAWAKE.

1.MWANAMKE MWENYE MALENGO AKIONA KILA ANACHOKITAFUTA TOKA KWAKO KAMA NI PESA AU MALI TOKA KWAKO ATAKUACHAA ILA MWANAMKE ALIYEKUPENDA HATA UWE NA PESA USIWE NA PESA WALA MALI HAWEZI KUKUACHA.

2.MWANAMKE MWENYE MALENGO NA WEWE HUWA ANA ROHO NGUMU YUPO TAYALI KUKUUWA AU KUKUFANYIA KITU KIBAYA ILI MRADI APATE PESA Au MALI
TOFAUTI NA MWANAMKE ALIYEKUPENDA

3.MWANAMKE MWENYE MALENGO NA WEWE HUKUPA AKILI YA KUTAFUTA PESA NA MALI KWA AJIRI YAKE TOFAUTI NA MWANAMKE ANAYEKUPENDA.

4.MWANAMKE MWENYE MALENGO UKIINGIA NAE KATIKA NDOA HUWA ANA ASILI FLANI YA UBABE NA HUPENDA UISHI APENDAVYO YEYE

HIVYO MNOTAFUTA MKE MWEMA ANZENI KUJIFUNZA TOKEA HUMU
Na Hilo kundi la pili wengi ndo wanalitaka bila wao kujua, hatar sana.
 
Back
Top Bottom