Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,991
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeandika ngonjera tu. Mwanamke anayenipenda ni yule ninayempa HELA tu...inaweza kuwa ni kumfanyia shopping, kumsaidia kodi ya pango, kumtumia M-pesa etc. mengine ni mashudu tu. Kwanzan utakuwaje romantic na kupendwa kama huna kitu? mkuu acha kujitoa akili
Duuu!!!Wakati nasoma kichwa cha habari nilikielewa tofauti
HujakoseaKwenye mapenzi pasipokuwa na upendo hakuna malengo. Upendo wa kweli ndio unaojenga na utakaojenga hata malengo yenu ya baadae. Ni muhimu sana kwa mwanaume kuwa kwenye mahusiano na mwanamke anayekupenda.
Kiongozi ni lazima uelewee ipo tofauti kubwaa kati ya mwanamke anayekupenda na mwanamke mwenye malengo na weweKwenye mapenzi pasipokuwa na upendo hakuna malengo. Upendo wa kweli ndio unaojenga na utakaojenga hata malengo yenu ya baadae. Ni muhimu sana kwa mwanaume kuwa kwenye mahusiano na mwanamke anayekupenda.
Usisahau kuleta mrejeshongoja niwachambue hawa wachumba wangu wa wawili.
Sasa hapo kiongozi ile formula yetu ina apply ambayo inasemaaaa.Kundi la pili huwa nawahisi kutoka mbali kabisa. Na ile mwanaume umefulia, mapenz,njonjo za mapenz zinaisha hapo hapo... unaona hakutafuti. Ukimtafuta anakwambia yuko busy, ukimtumia pesa asante hakuna.
Ukiona hizi dalili, unamuacha akiwa akiwa hajui yaani kimya kimya
Una manisha kwamba unaweza ukawa na bint akakupenda halafu asiwe na malengo na wew???Kiongozi ni lazima uelewee ipo tofauti kubwaa kati ya mwanamke anayekupenda na mwanamke mwenye malengo na wewe
Mwanamke mwenye malengo na wewe always kuna kitu anachokitafuta kutoka kwakoo au kupitia wewe au kuna kitu anakitaka kutoka kwako na ikitokea kupitia wewe anaamini malengo yake yatatimia basi yupo tayali uwe mpenzi wake lakini akishatimiza malengo yake atakuacha.
Ndo maana humu jf kuna masela wamesomesha mademu zao, kuna masela wamewajengea nyumba mademu zao, kuna masela waliwatafutia kazi mademu zao ila baada ya mademu wao kutimiza ndoto zao waliamua kuwakimbiaa na kuwaacha.
Halafu mwisho wa game demu anakuja kuolewa na msela mwingineeee
Kula like hapoHilo kundi la kwanza nawaona sana kwenye movies na kuwasoma kwenye stories kama hivi lakini kundi la pili tupo nao sana mtaani kila siku!