BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,458
- 5,352
Dah me ninao wawili
1.Yeye hana mkuu, akishanipa papuchi baac haitaji kingne zaid ya kuwa na mm muda wote.
2.Anapenda kujua namiliki nin, malengo yangu ni yap na huwa anapenda kunambia mipango yake, hatoi papuchi kizembe.
Ni mwaka sasa ila kanipa papuchi mara tatu tu.
Mwalimu ticha hujambo??Kula like hapo
Mimi sijambo mkuu. Habari ya kutwa katika ujenzi wa taifa??Mwalimu ticha hujambo??
Ni kweli hiyo huwa inatokea kuna binti anaweza akakupenda lakini asiwe na malengo na wewe kwa sababu yeye anachotafuta ni mapenzi ya dhati toka kwako uwee na pesa usiwe pesa kwake sawa umuoe usimuoe kwake yeye sawa kwa sababu shida yake sio ndoa yeye shida yake penzi lako kwake.Una manisha kwamba unaweza ukawa na bint akakupenda halafu asiwe na malengo na wew???
Mbaya Mkuu, hakuna nyongeza AiseMimi sijambo mkuu. Habari ya kutwa katika ujenzi wa taifa??
UKIONA MWANAMKE ANATAFUTA MWANAUME AMEWEKA VIGEZO SASA HIVYO VIGEZO WACHAMBUZI WANASEMA HAYO NDIO MALENGO YAKE KWA SABABU KAMA HUNA HIVYO VIGEZO HUWEZI KUTIMIZA MALENGO YAKE.Huu uchambuzi wa kweli.maana 100% ya wanawake wanotafuta waume humu jukwani huwa wanaweka vigezo ambavyo vinaonyesha ni wale wa kundi la pili
Usisehe hivyo mkuu. Tupo katika zama zenye mifumo isiyo rafiki hivyo tunapaswa kujenga misingi itakayojenga jamii tunayoiota (utopialize).Mbaya Mkuu, hakuna nyongeza Aise
Dah me ninao wawili
1.Yeye hana mkuu, akishanipa papuchi baac haitaji kingne zaid ya kuwa na mm muda wote.
2.Anapenda kujua namiliki nin, malengo yangu ni yap na huwa anapenda kunambia mipango yake, hatoi papuchi kizembe.
Ni mwaka sasa ila kanipa papuchi mara tatu tu.
Asubuhi naulizwa uko wapi??
Na mi huwa najibu nipo home naambiwa hivi utafanya kazi gani wewe zaidi ya kukaa tu yaani umiendelea hivo utaishia pabaya amka katafite kazi mara ooh hivi tukioana turaish mkoa gani hivi tukijenga nyumba tutaandika jina lako au langu au mtoto/watoto.
akiomba hela ukizingua hutafutwi hadi umuulize niweke namba ipi?
Anajibu ya voda my
Halafu unanitesaga sana yaani ukininyima hela mi nahisig hunipendi tu. mwisho wa kunukuu.
Bora na dili tu mwenye mtoto ili nilee kamanda akikua niwe huru.
wanaonipenda wapo lakini siwapend yaan naonaga aibu kutembea nao au kuwa nao kiujumla hakuna demu wangu anayejua geto.
YeahWakati nasoma kichwa cha habari nilikielewa tofauti
Sio kweliHilo kundi la kwanza mara nyingi wewe ndo unakuwa uliyeanza nae kwa maana ya kumtoboa na kufungua njia
Na Hilo kundi la pili wengi ndo wanalitaka bila wao kujua, hatar sana.Leo wakati nasikiliza kipindi flani kuna doctor wa kisaikolojia alikuwa akichambua tofauti ya mwanamke aliyekupenda na mwanamke mwenye malengo na wewe kwa kusikiliza kauli zao pale mwanaume unapoingia katika mahusiano.
KAULI ZA MWANAMKE ALIYEKUPENDA KWA DHATI.
1.Hupenda kusex na wewe kila time na full kupeana malavidavii.
2.Hupenda kila saa muwe pamoja popote unapokwenda.
3.Uwee na kitu usiwe na kitu yeye kwake ni sawa.
4.Yupo tayari kukaa na wewe katika mazingira yoyote bila kujali.
5.Hupenda kufata tabia zako mienendo yako kama unapenda mpira, siasa basi na yeye hupenda kufata hivyo.
6.Hupenda kukutafuta kila saa kuonana nae au mchat kila saa.
7.Akigundua umeyumba kiuchumi yupo tayali kumpiga kibomu mwanaume au mtu mwingine cha pesa na kukuletea wewe pesa.
8.Hapendi kukuona umekosa furaha yupo tayari kufanya lolote lile ulipendalo ili mradi uwe na furaha.
MWANAMKE MWENYE MALENGO.
1.Hayupo tayari kufanya mapenzi mpaka mfunge ndoa.
2.Hupenda kukuuuliza maswali kuhusu wewe kutaka kujua unafanya nini.
3.Hupenda kujua malengo yako kwa sasa ni yapi una mipango gani katika maisha.
4.Hupenda kukuuleza malengo yake katika maisha na kupima upepo kama utaweza kumsaidia au una msaada gani kwake.
5.Hupenda kufahamu ni aina gani ya assets au mali unazomiliki.
6.Akiwa na karibu na mwanaume wake huwa sio mzungumzaji sana muda mwingi yupo kimya mpaka wewe umuanze.
7. Ni mvivu kukutafuta pale anapogundua mambo yako hayajakaa sawa mara nyingi ukimtafuta hukupa sababu amebanwa au kuna vitu vina mkeep bize.
8.Na mara nyingi hupenda kujiweka mbali na mwanaume wake pale anapogundua hali yake ya kiuchumi au mambo yake sio nzuri ila akijua upo vizuri hupenda kujiweka karibu na kukutafuta.
SASA ADVANTEGE NA DISADVANTAGE YA AINA HIZI ZA WANAWAKE.
1.MWANAMKE MWENYE MALENGO AKIONA KILA ANACHOKITAFUTA TOKA KWAKO KAMA NI PESA AU MALI TOKA KWAKO ATAKUACHAA ILA MWANAMKE ALIYEKUPENDA HATA UWE NA PESA USIWE NA PESA WALA MALI HAWEZI KUKUACHA.
2.MWANAMKE MWENYE MALENGO NA WEWE HUWA ANA ROHO NGUMU YUPO TAYALI KUKUUWA AU KUKUFANYIA KITU KIBAYA ILI MRADI APATE PESA Au MALI
TOFAUTI NA MWANAMKE ALIYEKUPENDA
3.MWANAMKE MWENYE MALENGO NA WEWE HUKUPA AKILI YA KUTAFUTA PESA NA MALI KWA AJIRI YAKE TOFAUTI NA MWANAMKE ANAYEKUPENDA.
4.MWANAMKE MWENYE MALENGO UKIINGIA NAE KATIKA NDOA HUWA ANA ASILI FLANI YA UBABE NA HUPENDA UISHI APENDAVYO YEYE
HIVYO MNOTAFUTA MKE MWEMA ANZENI KUJIFUNZA TOKEA HUMU