Fahamu utabiri na utata uliomzunguka TB Joshua

Fahamu utabiri na utata uliomzunguka TB Joshua

Sijajua hayo mengine watu wanasema ila kipindi nafuatilia emmanuel Tv T.b joshua alikua anatoa misaada sana anasaidia sana watu,anatoa misaada kwenye maafa, na watu wenye shida binafsi.
Tofauti na wachungaji wetu maarufu hapa tz.
Usisahau pia kile kipindi cha Libya.vijana wa kiafrika wamefunga minyororo wanauzwa kama watumwa wanauliwa.aliwakomboa vijana kwa mamia wa taifa lake.aliwalipia na akatuma ndege kuwachukua.na akawasitiri na mitaji akawapa
Usisahau zile shehena za mchele kila siku akilisha maskini.now watu wanaona mabaya tu.hawamjui
 
Ngoja nifanye kwanza kazi kidogo huu uzi ntaurudia. Kuna clip inasambaa anasema Angeles wamemnyakua kama roketi akawa anaiangalia dunia kwa chini (means hakufa)

NB: Nachoamini mimi ni kuwa witch doctors wameibukia kwenye upastor so ni mwendo wa kupiga hela. Devil come n collect your people[emoji134]
Nasikia mwezi uliopita mtoto wake wa kike aliolewa Arusha na kijana wa kiarusha
 
Ni heri kukaa kimya kuliko kujifanya unajua kwa kitu usicho kijua.kumnenea mabaya mtu usiemjua au kwa kitu usicho na uhakika nacho ni vibaya sana.

Leo nilikua sehem kuna watu wakawa wanadiliki kusema wana uhakika na kitu kimoja kinachoendelea mtandaoni na wakati mtuhumiwa sio kweli mtendaj na mtendaji mm namjua.

Niliwauliza kwa nn mnamnenea uhongo hyu mtu,je mna uhakika kuwa ni kweli ametenda?

Sisi wanadamu tuna tatzo kubwa la kusingizia watu na kutoa ushahid wa uongo.Uwa nashangaa sana.

Mimi pia yalishawahi kunitokea ndio maana siku zote uwa sim-judge mtu kwa story tu za kusikia kwa watu.

Yte kwa yte,Mungu amuweke mahala pema peponi.
 
Huyu mzee hauzi maji ndugu.tatizo hamfatilii wala hamumjuia Bali mnafatilia wapigaji
Huyu mzee anampa mtu bure halafu mtu anayageuza faida anaenda kuuza
Kosa la nani hapo?
Ifike mda mkae kimya kujiepusha na hatia za ulimi.mmemtukana sana huyu mzee na wala hamumjui Bali mnafuata maneno ya vichochoroni na blog uchwara na wapinga kristo.usiokote maneno ya watu na kuyaendeleza
Hata yeye alikuwa msanii na wajanja wa hapa tz walikuwa wanaenda kwake kuchukua ujanja wa kupiga watu. Mtumishi wa Kweli wa Mungu alisema Mungu amewavumilia sana na sasa wataondoka mfururizo! Kimeanza kisiki sasa matawi worldwide wanafuata. Matapeli mpo si tunawaona tu, mnafikiri wote sisi wajinga! Kama aliyewaumba kawachoka mtakuwa wageni wa nani? Shetani hana mbingu pigeni ujanja tutawaona mwisho wenu!
 
ilo tapeli tuu hakuna Mungu kule wapumbv ndy waliodanganywa kwa miujiza fek
FB_IMG_16231842467743040.jpg
 
yaan kiufup huyo nabii ni muongo,,fuatilien malalamiko ya watu uko nigeria,,fuatilia hata ibada zake,,utapel mwanzo mwisho
Screenshot_2021-06-08_233743.jpg
 
Pamoja na yote hayo tb joshua ndie mtumishi aliekua anasaidia zaidi watu,he had a lot of humanitarian activities nchi nyingi zaidi ndani ya afrika na huko ulaya
At last ungemuappreciate kwa hilo manake hao unaoamini ndio wa Mungu kweli mbona hatuoni charity work zao?hujui amri kuu aliyoiagiza Mungu ni upendo?na upendo si maneno bali matendo,kama tb joshua alionyesha upendo kwa matendo kama ipasavyo bible nadhani he is the best among hao ambao ni wa Mungu kweli na wala hawaonyeshi upendo bali wanajilimbikizia mali wenyewe!
Biblia inasema zaburi ya 82,ninyi ni miungu bali mtakufa kama wanadamu na ndo hiko kimetokea kwake,kama alikua wa shetani au wa Mungu andiko limetimia amekufa kama mwanadamu
Let him go,his legacy will forever live to those he touched!
Kama kuna cha kuchukua kikubwa kwa tb joshua ni kupenda watu,kuwahurumia na kuwa non judgemental!
Let love lead my brother[emoji111][emoji173]
kusaidia sio shida, mbna hata dini ya uislam wanasaidia?? tena wao ndyo wanaongoza kwa kutoa misaada dunia nzma, fuatilia hata hapa bongo kuna misikit kibao imejengwa na waarabu,,lakn roho zao,,,roho zaoo,,uyo unaesema kasaidia watu, swal jee alisaidia kwa lengo lip?? maana kuna kusaidia ili kunikosha ambako ndko uko unaita waandish wa habar na magazet wachukue picha jns unavyotoa thn unapata sifa zakipuuz,,kuna kutoa ili kupata kitu fulan mybe kukubarika, connection ama rushwa,, kutoa hakukupi wew kigezo chakuwa mtu mzur au mtu wa Mungu,kumbuka hata waganga wa kienyej wanatoa, wanaponya na wanagawa kinga kwa wateja wao,,huyo jamaa nashangaa mnaomtetea sjui ni kwamba uvivu wa kusoma bible?, ama vifungo vya akili ama nini shida..he is a fake prophet,,watu wa taifa lake wamekir wazi kuhusu ubaya wa mtu huy, sasa wew ni nan wakumtetea??
 
TB Joshua alipata umaarufu pengine ni kweli alikuwa anatumia NGUVU ZA MUNGU au nguvu za giza, sijui.

Watu walipona, viwete walitembea na wengi wenye shida walifunguliwa, kwa vile hakuna aliyekiri kuponywa naye tuyaache hivyo hivyo, labda atokee wa kutoa ushughuda.

Mbinu zake alizotumia sijui kama zipo kwenye Biblia, labda from those pages removed from the Bible. Upo wakati alikuja bongo peku, just imagine

Na iwapo alitumia nguvu za giza huwa zina malipo pia, waulize waliotupa punje kule tunduma au wale wa wahunzi huru, lazima ulipia mwisho wanataka kutoka kwako sadaka yenye uchungu na ukishindwa ipo adhabu pia muulize Mshana Jr kilichomfanya auze kilinge.

So this man of god alijua yake na yakamkuta hivyo.

Nilikuwa mfuatiliaji wa mafundisho yake sometimes nikaja kuachana nayo pia.

All in all let TB JOSHUA be where our God will like him to be.
hata waganga, na wachaw wnaponya, tena wanatoa tiba nzur kulko hata hawa madactar wetu wa mahospitali,,waganga nao huliliwa na wateja zao, nao hutibu maradhi, utoa utajir,utoa kinga za ushirikina, swal jee? kutbu watu kupitia nguvu negative ndyo kunakupa uharal wa kukubaliwa na Mungu???.... jibu ni hapana,,that prophet tb joshua was foolish and fake
FB_IMG_16227172053256991.jpg
 
Kuna sauti niliisikia ya balozi wetu nchini Nigeria mzee Ben Bana anasema, lazima wampeleke kwenye sehemu aliyozaliwa ili mkuu wa Kimila wa Igbo ndio athibitishe kifo chake autangazie umma.


Sasa nikajiuliza, huyu mtu wa kiroho na mambo ya kimila wapi na wapiii!!!!!?
Halafu tangu afe kupo kimyaaa,haieleweki what next?Ila mwamba ametoka mbali sn na kanisa lake aisee.Nimeona documentary yake daaaah anastahili pongezi
 
kusaidia sio shida, mbna hata dini ya uislam wanasaidia?? tena wao ndyo wanaongoza kwa kutoa misaada dunia nzma, fuatilia hata hapa bongo kuna misikit kibao imejengwa na waarabu,,lakn roho zao,,,roho zaoo,,uyo unaesema kasaidia watu, swal jee alisaidia kwa lengo lip?? maana kuna kusaidia ili kunikosha ambako ndko uko unaita waandish wa habar na magazet wachukue picha jns unavyotoa thn unapata sifa zakipuuz,,kuna kutoa ili kupata kitu fulan mybe kukubarika, connection ama rushwa,, kutoa hakukupi wew kigezo chakuwa mtu mzur au mtu wa Mungu,kumbuka hata waganga wa kienyej wanatoa, wanaponya na wanagawa kinga kwa wateja wao,,huyo jamaa nashangaa mnaomtetea sjui ni kwamba uvivu wa kusoma bible?, ama vifungo vya akili ama nini shida..he is a fake prophet,,watu wa taifa lake wamekir wazi kuhusu ubaya wa mtu huy, sasa wew ni nan wakumtetea??
Ukisema hivyo unakosea sana tena sana,hao hao watu wa taifa lake unaosema wanasema ni fake prophets ndo hao hao toka msiba utangazwe wako scoan pale hawajaondoka,wanalala na kuamkia hapo,hao hujacheki youtube?kuna wanaosema wanaamin atafufuka kwahiyo hawaondoki adi afufuke?hao unaoongelea wewe ni watu wapi?na just because baadhi wamesema hawamkubali hainipi mimi na wewe uhalali wa kusema ni fake prophet unless kama nawe ni fake prophet so huwa mnakutana kwa lucifer,ukinambia hivo then i might think about believing you,but untill then i consider him innocent untill proven guilty!
LET LOVE LEAD✌
 
Haya masuala ni ya kiimani zaidi, ni vizuri kumuacha kila mtu akaamini kile anachotaka,kuna watu ninawafahamu wamelala hospitali miaka na miaka kwa stroke lakini walipona with a single touch from TB Joshua na mpaka sasa wanaendelea na maisha vizuri, kuna mwingine nilisoma nae alipata kichaa ghafla tulipokua chuo mwaka wa pili, na amepelekwa kwa wataalamu wa afya ya akili mpaka nje ya nchi hakupona, familia ilirudi nyuma wakaamua kuwa wanamfungia ndani tu for more than 4years, baadae watu wakawashauri wamuhangaikie kiroho, walipita makanisa mengi hapa TZ hakupona, mama yake akatuomba tumsaidie kufanya fund raising aende kwa TB Joshua, tulichangishana kila kona wakaenda, with a single touch the lady is doing great na anafanya kazi UN kwa sasa wala huwezi jua kama aliwahi kuwa kichaa

Mfano wa mwisho ni dada mmoja jirani na ninapoishi alijifungua mtoto mwenye matatizo ya akili, wanaita mtindio wa ubongo, huyu dada amehangaika na mtoto mpaka India, mwisho wa siku alikata tamaa, last year mtoto wake alitimiza umri wa miaka saba, akaaamua kumpeleka kwa TB Joshua,hivi tunavyoongea yule mtoto anasoma shule moja na wanangu tena huwezi jua kama alizaliwa na matatizo, very intelligent boy

Mimi niseme tu swala la imani huwa sizungumzi kwa sababu kila mtu huwa anaguswa kwa namna yake, na pengine huwezi kuamini mpaka upitie situation fulani itakayokufanya uamini

Sio wajinga, kuna watu wanapitia mapito mengi sana na wamehangaika kila kona ila wamepata msaada kwa huyu mtumishi. Mshukuru Mungu hujawahi kupitia mapito au mahangaiko ya namna hiyo na muombe Mungu pia akuepushie
Ni kweli hata Mungu anaweza kukusaidia kupitia mganga wa kienyeji na ukamsifia mganga kumbe ni Mungu ameona mahangaiko yako akakuponya.

Inatakiwa ukifikia hali ya kupona Umshukuru Mungu siyo hao akina TB Joshua
 
Ni kweli hata Mungu anaweza kukusaidia kupitia mganga wa kienyeji na ukamsifia mganga kumbe ni Mungu ameona mahangaiko yako akakuponya.

Inatakiwa ukifikia hali ya kupona Umshukuru Mungu siyo hao akina TB Joshua
Hata Yesu wakati anawaombea wanafunzi wake aliwaambia imani yako imekuponya lakini hawa manabii wetu hawasemi hivyo
 
Pamoja na yote hayo tb joshua ndie mtumishi aliekua anasaidia zaidi watu,he had a lot of humanitarian activities nchi nyingi zaidi ndani ya afrika na huko ulaya
At last ungemuappreciate kwa hilo manake hao unaoamini ndio wa Mungu kweli mbona hatuoni charity work zao?hujui amri kuu aliyoiagiza Mungu ni upendo?na upendo si maneno bali matendo,kama tb joshua alionyesha upendo kwa matendo kama ipasavyo bible nadhani he is the best among hao ambao ni wa Mungu kweli na wala hawaonyeshi upendo bali wanajilimbikizia mali wenyewe!
Biblia inasema zaburi ya 82,ninyi ni miungu bali mtakufa kama wanadamu na ndo hiko kimetokea kwake,kama alikua wa shetani au wa Mungu andiko limetimia amekufa kama mwanadamu
Let him go,his legacy will forever live to those he touched!
Kama kuna cha kuchukua kikubwa kwa tb joshua ni kupenda watu,kuwahurumia na kuwa non judgemental!
Let love lead my brother✌❤
Mkuu nakubaliana nawe, alikuwa mtoaji wa misaada kwa wenye uhitaji Duniani dhidi ya mchungaji yeyote ule hapa Duniani. Karma ya misaada aliitenda pasa na shaka, bila ubaguzi wa kabila wala DINI. Anasitahili utukufu kwa hilo. Hata kama alihitaji fedha kwa ajili ya familia yake, lakini alIonyesha upendo wa wahitaji. Yeyote ambaye atakuwa against TB Joshua, huyo ana lake JAMBO.
 
Halafu tangu afe kupo kimyaaa,haieleweki what next?Ila mwamba ametoka mbali sn na kanisa lake aisee.Nimeona documentary yake daaaah anastahili pongezi
😂😂😂jamaa kapambana katoboa ndio unaona hasira za watu,oooh freemason,mara miujiza fake hawajui jamaa alianzia kanisa lake kwenye makuti na nyasi juu.
Teseka mwenyewe,alafu fanikiwa uone hata ambao hawakujui watakujadili kama wanakufahamu kiundani.

Mwacheni mwamba apumzike katoka mbali sana
Kama ni fake wajaribu na wao waone kama watapata wafuasi watatu tu😂😂
 
Back
Top Bottom