Fahamu utabiri na utata uliomzunguka TB Joshua

Fahamu utabiri na utata uliomzunguka TB Joshua

Mkuu nakubaliana nawe, alikuwa mtoaji wa misaada kwa wenye uhitaji Duniani dhidi ya mchungaji yeyote ule hapa Duniani. Karma ya misaada aliitenda pasa na shaka, bila ubaguzi wa kabila wala DINI. Anasitahili utukufu kwa hilo. Hata kama alihitaji fedha kwa ajili ya familia yake, lakini alIonyesha upendo wa wahitaji. Yeyote ambaye atakuwa against TB Joshua, huyo ana lake JAMBO.
Ana lake tena kubwa sana
 
Haya masuala ni ya kiimani zaidi, ni vizuri kumuacha kila mtu akaamini kile anachotaka,kuna watu ninawafahamu wamelala hospitali miaka na miaka kwa stroke lakini walipona with a single touch from TB Joshua na mpaka sasa wanaendelea na maisha vizuri, kuna mwingine nilisoma nae alipata kichaa ghafla tulipokua chuo mwaka wa pili, na amepelekwa kwa wataalamu wa afya ya akili mpaka nje ya nchi hakupona, familia ilirudi nyuma wakaamua kuwa wanamfungia ndani tu for more than 4years, baadae watu wakawashauri wamuhangaikie kiroho, walipita makanisa mengi hapa TZ hakupona, mama yake akatuomba tumsaidie kufanya fund raising aende kwa TB Joshua, tulichangishana kila kona wakaenda, with a single touch the lady is doing great na anafanya kazi UN kwa sasa wala huwezi jua kama aliwahi kuwa kichaa

Mfano wa mwisho ni dada mmoja jirani na ninapoishi alijifungua mtoto mwenye matatizo ya akili, wanaita mtindio wa ubongo, huyu dada amehangaika na mtoto mpaka India, mwisho wa siku alikata tamaa, last year mtoto wake alitimiza umri wa miaka saba, akaaamua kumpeleka kwa TB Joshua,hivi tunavyoongea yule mtoto anasoma shule moja na wanangu tena huwezi jua kama alizaliwa na matatizo, very intelligent boy

Mimi niseme tu swala la imani huwa sizungumzi kwa sababu kila mtu huwa anaguswa kwa namna yake, na pengine huwezi kuamini mpaka upitie situation fulani itakayokufanya uamini

Sio wajinga, kuna watu wanapitia mapito mengi sana na wamehangaika kila kona ila wamepata msaada kwa huyu mtumishi. Mshukuru Mungu hujawahi kupitia mapito au mahangaiko ya namna hiyo na muombe Mungu pia akuepushie
Wew tu ndiye unashuhudia hao watu,
 
he is just a fake prophet according to scriptures in the bible, so many miracles are from satan, he sells water which called anointing water, also olive oil for a lot of money, but No one in the bible whether Jesus or apostles do things like that,
Scriptures give us mandatory to suspect this kind of prophets

apostle john said

1 John 4
4 Beloved, believe not every spirit, but try the spirits whether they are of God: because many false prophets are gone out into the world.​

 
he is just a fake prophet according to scriptures in the bible, so many miracles are from satan, he sells water which called anointing water, also olive oil for a lot of money, but No one in the bible whether Jesus or apostles do things like that,
Scriptures give us mandatory to suspect this kind of prophets

apostle john said

1 John 4​

4 Beloved, believe not every spirit, but try the spirits whether they are of God: because many false prophets are gone out into the world.​

Ungemtafuta umuombee kama ni fake.
 
Kuna sauti niliisikia ya balozi wetu nchini Nigeria mzee Ben Bana anasema, lazima wampeleke kwenye sehemu aliyozaliwa ili mkuu wa Kimila wa Igbo ndio athibitishe kifo chake autangazie umma.


Sasa nikajiuliza, huyu mtu wa kiroho na mambo ya kimila wapi na wapiii!!!!!?
Sio igbo ni yoruba
 
Wajinga ndiyo waliwao. Tizama kanisa la Gwajiboy Mzee wa viuno.
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji28][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji28][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji28]
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Back
Top Bottom