Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

Kinachokuchosha nn? Bei ya ramani ni 10% ya gharama za mrado
Ndio Maana huwa tunamchukua Fundi mchundo unampeleka site Na powder anachora kulingana na maelekezo yako. Ili kuepuka hizi gharama zenu.


Mfano, Mimi ninawakubali Sana Themibuider kwa Ramani nzuri na muonekano WA kuvutia WA Jengo, Ila bei yao Sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…