Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

Hakuna ramani ya fundi ambae hajui darasa inaweza kua proper na Haina vigezo vya kupitishwa na watu wa mipango miji unless unajenga kwenye squatters
Na lazima itakua mbaya au photo copy ya raman za zamani
 
Ahsante kwa mawazo
Hakuna ramani ya fundi ambae hajui darasa inaweza kua proper na Haina vigezo vya kupitishwa na watu wa mipango miji unless unajenga kwenye squatters
Na lazima itakua mbaya au photo copy ya raman za zamani
Ahsante Sana mtalamu, tunajenga kulingana na uwezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi unatufungua wengi. Nimependa ufasaha katika uandishi wake, kichwa chako kimetulia. Mungu akijaalia nitakutafuta hivi karibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru nimekukuta online mtoa mada.
Natarajia kuanza ujenzi lakini nilitaka msingi wa jamvi, msingi ni wa nawe na fundi kaniambia zinahitajika trip 10 za mawe kwa ajili ya msingi huo.

Naomba msaada wa kujua je huu mzingi wa jamvi ya mawe, kokoto, molarm, mchanga na cement hautasababisha kupata mpasuko??

Udongo wa eneo ni mfinyanzi na ni eneo lililokuwa likitumiwa kwa kilimo cha mpunga.

Kiwanja hicho kiko Musoma na ukubwa wake ni sqm 1023.

Naomba ushauri wako mkuu. Nifanyeje au nijengeje msingi ambao hautasababisha nyumba kupata mipasuko??

Ahsante sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Building materials used pia huleta tofauti.
YUpo ambae atatumia bati la mchina au nondo za kichina
Yupo ambae atatumia vigae mwengine bati hawa ni tofauti.
YUpo ambae atatumia tiles from spain while mwengine zile za chalinze pale hawa hawatafanana.
Ni hayo tuu kwa kuongezea
 
Baada ya kuchimba msingi amwage mchanga nchi saba . Then suka chuma ( U bar) kisha mwaga zege .baada ya hapo anza kujenga msingi wako.

Udongo utakaotokana na kuchimba msingi usiutumie kama kifusi, tafuta kifusi kingine jaza then compact ...panga mawe...then mwaga jamvi....
 
Ahsante sana mkuu kwa msaada wako mzuri.

Be blessed

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila nadhani tunahitaji vifaa rahisishi vya kutindua sio hivi ambavyo tumevizoea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…