Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

Yaah n kwel kabisa, hapo kwenye kumwaga zege chini wakat wa kuanza msingi huwa mafund wengi wamekariri tu ila ukwel ni,kuwa kutanguliza mchanga angalau inch 3 hv ni bora zaid kulko hyo zege.

Mafundi wanaongezaga garama tu il wanufaike, ila profeessionally hamna mantik yoyote
 
Kuongezea nyama hapo( kwa idhini ya mleta mada) hiyo issue huja kutokana na type ya udongo wa eneo husika. Bila shaka akifika kwenye kipengele hicho ataelezea kwa undani, naamin huwezi mwaga mchanga 75mm sehem yenye mchanga ili uanze ujenzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemeana na tabia ya Udongo husika. Si hivyo tu kuna Sehemu tunalazimika kusuka nondo
 
Yaa ni sawa, huwez mwaga mchanga sehem yenye mchanga na ndomana nimeeleza kuwa cha kutangulia chini kabla ya kuanza kujenga tofal ni mchanga na sio zege..

ufund wa kuanza na zege chini hauna mantik katka uimara ws nyumba regardless type of soil
 
Yaa ni sawa, huwez mwaga mchanga sehem yenye mchanga na ndomana nimeeleza kuwa cha kutangulia chini kabla ya kuanza kujenga tofal ni mchanga na sio zege..

ufund wa kuanza na zege chini hauna mantik katka uimara ws nyumba regardless type of soil
Unaelewa nini juu ya "U bar" ?
 
Inategemeana na tabia ya Udongo husika. Si hivyo tu kuna Sehemu tunalazimika kusuka nondo
Sawa, ila naomba Nieleweke kuwa ninachokikataa ni Zege la chin kabda ya kuanza kujenga tofali/mawe ya msingi na SIO Beam ya zege inayofungwa na nondo ambayo inamalizia level ya msingi
 
Hilo la matoleo ya vitu vya maji machafu, ni kweli wamekalili, wanasubiri zege limwagwe ndio waanze kubomoa.
 
Mkuu inasemekana msingi unaojengwa kipindi cha mvua huwa imara sana, kuna ukweli ktk hilo?
 
Sawa, ila naomba Nieleweke kuwa ninachokikataa ni Zege la chin kabda ya kuanza kujenga tofali/mawe ya msingi na SIO Beam ya zege inayofungwa na nondo ambayo inamalizia level ya msingi
Mkuu naomba ujibu swali langu nililokuuliza hapo juu
 
mkuu naomba kuuliza...hapa site kwangu tofari moja linauzwa buku na usafiri juu..kuna unafuu wowote nitaupata nikisema nifyatue tofari mwenyewe?
 
Mkuu Pmoses95
ebu naomba tips ya kujenga msingi kwenye ardhi yenye udongo wa mfinyanzi na kichanga, vile vile naomba unieleweshe umuhimu wa kuweka nylon? kwenye msingi wa nyumba, wengine tupo kijijini na tuna tamani kujenga imara
 
Mkuu Pmoses95
ebu naomba tips ya kujenga msingi kwenye ardhi yenye udongo wa mfinyanzi na kichanga, vile vile naomba unieleweshe umuhimu wa kuweka nylon? kwenye msingi wa nyumba, wengine tupo kijijini na tuna tamani kujenga imara
Nylon ni kwaajili ya kuzuia unyevunyevu.

Kujenga sehemu yenye mfinyanzi yahitaji umakini sana. Ogopa sana ule Udongo unaopasuka ukiwa mkavu, ndiyo chanzo cha nyufa.

Kichanga ni udongo ambao hauna madhara na unaweza hata usiweke beam
 
Asante. Nimejifunza mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…