Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

Mkuu nina kiwanja kigamboni kibada
Papo tambarale nataka nijenge kagorofa flani kadogo dogo hivi niandae ngapi
Chini iwe vyumba vitatu vya kulala sebule kila kitu alf juu niweke kachumba master tuu
 
Mkuu nina kiwanja kigamboni kibada
Papo tambarale nataka nijenge kagorofa flani kadogo dogo hivi niandae ngapi
Chini iwe vyumba vitatu vya kulala sebule kila kitu alf juu niweke kachumba master tuu
Bila mchoro nitakupa gharama ambazo sio sahihi.
Hivyo basi inaweza kuwa 110m - 180
 
Kwahitaji la Fundi mzuri wa tiles
,0693179844
IMG_20190720_151605_550.jpg
 
Nashukuru nimekukuta online mtoa mada.
Natarajia kuanza ujenzi lakini nilitaka msingi wa jamvi, msingi ni wa nawe na fundi kaniambia zinahitajika trip 10 za mawe kwa ajili ya msingi huo.

Naomba msaada wa kujua je huu mzingi wa jamvi ya mawe, kokoto, molarm, mchanga na cement hautasababisha kupata mpasuko??

Udongo wa eneo ni mfinyanzi na ni eneo lililokuwa likitumiwa kwa kilimo cha mpunga.

Kiwanja hicho kiko Musoma na ukubwa wake ni sqm 1023.

Naomba ushauri wako mkuu. Nifanyeje au nijengeje msingi ambao hautasababisha nyumba kupata mipasuko??

Ahsante sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna alternative nyingi utashauriwa ikiwa ni pamoja na kufunga underground beam lakini mimi nashauri chimba msingi eneo lote ambalo utaweka kuta tafuta kifusi kizuri kama kile wanatumia kwenye barabara shundilia vizuri kama CM 15-20 mwagia maji kiloe kitasettle baada ya siku mbili shindilia vizuri upàte level anza kujenga msingi nyumba ila udongo utakaochimba utupe kabisa
 
Back
Top Bottom