Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

We angalia afya yako, mambo ya kushangaa atajijua mwenyewe!

Uso mkavu avae sita tena ikibidi unamvalisha! Starehe ya dk 5 iniharibie life kisa?
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Mimi niliwahi pewa hio Pep baada ya ndom kupasuka kwenye game. Nilikunywa siku mbili mateso niliyopata niliona nakua chizi maana nikaanza kuhisi kizunguzungu muda wote. Nikasema liwalo na liwe nikazitupa mbali. Kuja kupima baadae nikawa salama
 
Mimi niliwahi pewa hio Pep baada ya ndom kupasuka kwenye game. Nilikunywa siku mbili mateso niliyopata niliona nakua chizi maana nikaanza kuhisi kizunguzungu muda wote. Nikasema liwalo na liwe nikazitupa mbali. Kuja kupima baadae nikawa salama
Ungepata maambukizi ungejuta sana
 
 
Ukipiga dawa hii unaruhusiwa kula papuchi kama kawa..??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…