Jan-uary
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 984
- 1,058
Hofu ikawa kweli[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hofu hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hofu ikawa kweli[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hofu hiyo
Ulipokuwa na mimba ulikuwa unajisikia kichefuchefu?Labda una mimba mkuu
Wakati unasubiri condom ya mwili mzima endelea kupiga kavukavuWakuu,hv kondomu ni sawa tu na kilo moja ya sukari uidumbukize baharini kwamba itakolea?
Maana kuna kupima oil kwa kidole,kunyonya chuchu,kuzama chumvini,kupapasa na kote huku huvai gloves.Mi naona tuletewe condomu za mwili mzima tu
Hata gongo ruksaLkn mbona wenyewe wanasema kuwa wako normal tuu, kufata masharti tu
Eti bia wanaruhusiwa kunywa?
HazipatikaniKumbe Angaza PEP zinapatikana?
Hazipatikani
Tujitahidi kutumia mipira tu,wanaeneza maksudi anajua anao anakubali kirahisi sana na hakwambii uvae mpira, na akishajua hutavaa mpira anaikausha kwelikweli ili upate michubuko
Kivipi?Hata gongo ruksa
Hadi condom ikipasuka husikii?
Bora mwanaume avae condom sita sasa hakuna namna
kutokana wao wenyew waliupata kwa kuingizwa chaka na ndo maana wengi wao wanalipa kisasi kwa kuambukiza wenzao na akikuonea huruma kama ni mdada basi atakuzungusha ili mradi ukate tamaa
Ndio mkuuMh sita kuvaa sita inawezekana?
Ndio mkuu
Ndio mkuu
Dawa ni kuacha tu,mnapima leo yeye kaambukizwa wiki moja iliyopita vitaonekana? Jibu ni hapana, mwezi mmoja baadaye anakuambukizaMh wengine wanapasua condom, solution ni kupima tu
FamasiZinapatikana wapi?
Hapana wangu...zinajitoshelezasi atabanwa sana
Hapana wangu...zinajitosheleza
Hapana wangu...zinajitosheleza
Dawa ni kuacha tu,mnapima leo yeye kaambukizwa wiki moja iliyopita vitaonekana? Jibu ni hapana, mwezi mmoja baadaye anakuambukiza
We angalia afya yako, mambo ya kushangaa atajijua mwenyewe!Ukimwambia avae 6 si atakushangaa, utaanzaje sasa kumwambia avae 6 ?