Havoc
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 242
- 166
Hahaa!!!! Huwezi dhania kwamba ana ukimwiMkuu we acha tu, Mungu anajua kuumba bhana. Nadhani umenielewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa!!!! Huwezi dhania kwamba ana ukimwiMkuu we acha tu, Mungu anajua kuumba bhana. Nadhani umenielewa
JF Raha sana....Asante, sio usiku tu muda wowote ukipitiwa na usingizi unaota unazikwa ukiwa hai
Si kwa kuzuga afuu badae, anatoa visingizio kibaoMtu mwenye ngoma sijui kama atakubali
Mpaka unapasuka hushtuki? We unakata mauno tuu?Bora kupima
Mpira ukipasuka je?
na wewe unawakaanga sana samaki mwisho wa siku utawaunguza mikia [emoji13] [emoji13] [emoji13]Mimi nilimfuma mmoja yaani nilinusurika mpaka Leo najiona mwenye bahati kuliko ya biko.sitoacha kumshukuru MUngu yaani .
Unampima? Kama kaupata jana?Hahaa!!Nimeacha saizi mpenzi wangu ni sigara,ila nyege noma,saizi kila nitakayemgegeda nampima kwanza,kutumia condom sitaki bora nipige puli tu
labda uoga tu mimi nilikuwa naogopa saana kupima.mara ya kwanza niliogopa sana nikaacha na majibu. ex wangu ndo aliyafata .huwa namshukuru sana japo tuliachana alinifanya kujiamini .unajua usipopima unakuwa unaogopa kupima kumbe ndo unajipeleka kwenye matatizo maana hujiaminiAlishanikimbia mmoja tupo kwa Dr..kwa ajili ya kupata vipimo.
Kabla ya kwenda kuangalia afya zetu alikuwa jasiri huyo.
Tuwe makini na hii kitu..
Kama kaupata Jana hawezi kuniambukiza,kipimo nachotumia kina detect hata kama amepata siku kumi zilizopitaUnampima? Kama kaupata jana?
dushe likiingia wengine network inakata .hyo akili ya kufuatilia inakuwa haipoMpaka unapasuka hushtuki? We unakata mauno tuu?
Ukiingia kwenye mamboz unatakiwa machale nayo yakucheze sio unafurahia dushelele tuu...imekula kwako!
Kwahiyo ukaconclude anao?....ukute aliogopa tuuAlishanikimbia mmoja tupo kwa Dr..kwa ajili ya kupata vipimo.
Kabla ya kwenda kuangalia afya zetu alikuwa jasiri huyo.
Tuwe makini na hii kitu..
Hadi condom ikipasuka husikii?dushe likiingia wengine network inakata .hyo akili ya kufuatilia inakuwa haipo
nitasikiaje sasa. tena hapo ndo utamu unazidiHadi condom ikipasuka husikii?
Bora mwanaume avae condom sita sasa hakuna namna
Acha tu ..Nilipata mawazo vipi ningekuwa nshakula vitu bila kujiridhisha..Kwahiyo ukaconclude anao?....ukute aliogopa tuu
hv ni kweli ukiwaambia kuwa ulipga peku hawakupi dawa maana kuna best yangu alipga peku juz ucku then asubuhi kuna watu wawili wakamwambia demu kaungua hvyo yupo hospital kutafuta hzo dawaUkiwaambia umepiga peku hawakupi dawa badala yake watakupa matumaini tu, mwisho wa siku unakuta tayari umethirika
masaa 72 yakishapita haifanyi tena kazi hiyo dawahv ni kweli ukiwaambia kuwa ulipga peku hawakupi dawa maana kuna best yangu alipga peku juz ucku then asubuhi kuna watu wawili wakamwambia demu kaungua hvyo yupo hospital kutafuta hzo dawa
Inaweza kuwa uoga wake ..labda uoga tu mimi nilikuwa naogopa saana kupima.mara ya kwanza niliogopa sana nikaacha na majibu. ex wangu ndo aliyafata .huwa namshukuru sana japo tuliachana alinifanya kujiamini .unajua usipopima unakuwa unaogopa kupima kumbe ndo unajipeleka kwenye matatizo maana hujiamini
kile kipimo hata kama ni bikra unaogopa tuInaweza kuwa uoga wake ..
Au hakuwa mtulivu..
mhhhhhhhhhMpaka unapasuka hushtuki? We unakata mauno tuu?
Ukiingia kwenye mamboz unatakiwa machale nayo yakucheze sio unafurahia dushelele tuu...imekula kwako!
Ni vizuri kupima afya kabla ya mahusiano.kile kipimo hata kama ni bikra unaogopa tu