Havoc
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 242
- 166
Hahaa!!!!! Vipi ilikuwaje tupe story kidogo, samahani lakini!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] huyo changudoa utamkuta wapi mpaka ukapime ngoma naye?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa!!!!! Vipi ilikuwaje tupe story kidogo, samahani lakini!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] huyo changudoa utamkuta wapi mpaka ukapime ngoma naye?
Hicho cha bioline kinauzwa???? Matumizi yake yapoje??? Naomba unipe elimu mkuuLakini kina detect antibody za mwili baada ya mwili kushambuliwa na virus, so bado kina mapungufu yake kipo kimoja ni bioline kina detect antigen kabisa hicho hata maambukizo ya siku 10 cha detect, hii unigold ni kuanzia siku 90
Weka picha tuoneLakini kina detect antibody za mwili baada ya mwili kushambuliwa na virus, so bado kina mapungufu yake kipo kimoja ni bioline kina detect antigen kabisa hicho hata maambukizo ya siku 10 cha detect, hii unigold ni kuanzia siku 90
Hahaa!!!! Mkuu iliikuwaje hadi ukahisi huyo mtu uliyelala naye ana ngoma?Hongera na pole bwana!
Bwana hii !mambo we acha Tuy! Inakera mno! We vidonge ngani vikubwa ivyo? Aiseee afu vina harufu kinoma, mbaya zaidi usku vinaleta ndoto za ajabu ajabu mno, kila kwa sasa nimejifunza, siwezi enda peku peku, NITAKULA PIPI NA GANDA LAKE!
Mm mwenzio nilipomaliza tu nilikaa kama siku tatu adi NNE nikawa fureshi!
Hata Mimi kuna mshkaji wangu alijiipua na changudoa usiku wa mwaka mpya,akapewa dose kama yakoLabda vinatofautiana, lakini km ni vile nilivyokuwa nameza Mimi,dozi Yake n kimoja kwa siku moja tena nilishauriwa kumeza wakati wa usku ninapotaka kulala tu
Siku hizi wanakupima kwanza,wasije wakakupa dawa kumbe ulishapata ukimwi miaka 2 iliyopitaHpn wanakupa buana, labda sijui uko uliko Ndg, mm mwenyewe nilishawah kuleta Uzi humu unaohusiana na hizo dawa, and now I'm good
Hizo pep utakuwa unakunywa kila siku???Kwanini ujisumbue kupima wakati pep zipo
Papason umepata album mpya ya wu tang???? Unamuelewa killa priest?Urudi hospital ukapime kuona kama dozi imefanya kazi effectively
Vyote vinauzwa unatakiwa utumie vyoteHicho cha bioline kinauzwa???? Matumizi yake yapoje??? Naomba unipe elimu mkuu
Mtu mwenye ngoma sijui kama atakubaliHaa haa ilishawahi kukutokea mkuu? Kwamba mkapime akakubali?
Bora kupimaBora fangasi kuliko nyenyere
Shukran mkuu,itabidi nikavitafuteVyote vinauzwa unatakiwa utumie vyote
Kuna mmoja aliniambia ukweli kuwa ashaungua, nilimshukuru Sana... Daaah tangu siku hiyo simuamini yeyoteIla hata mwenyewe simuamini bora tupimane tu
Unajua kupata ugonjwa rahisi sana
Ila watu wenye huo ugonjwa sisemi kwa ubaya wana roho mbaya.kama unajua una ugonjwa kwanini umuambukize mwingine?
Ila sio kiholela vinauzwa nenda hospital watakuuzia kimagendoShukran mkuu,itabidi nikavitafute
Ok,shukran sanaIla sio kiholela vinauzwa nenda hospital watakuuzia kimagendo
Mimi nilimfuma mmoja yaani nilinusurika mpaka Leo najiona mwenye bahati kuliko ya biko.sitoacha kumshukuru MUngu yaani .Kuna mmoja aliniambia ukweli kuwa ashaungua, nilimshukuru Sana... Daaah tangu siku hiyo simuamini yeyote
Ila cha muhimu acha zinaa mkuuOk,shukran sana
Hahaa!!Nimeacha saizi mpenzi wangu ni sigara,ila nyege noma,saizi kila nitakayemgegeda nampima kwanza,kutumia condom sitaki bora nipige puli tuIla cha muhimu acha zinaa mkuu
Ana roho nzuri saana huyoKuna mmoja aliniambia ukweli kuwa ashaungua, nilimshukuru Sana... Daaah tangu siku hiyo simuamini yeyote
Sigara?utakuwa unanuka balaa.sigara mbaya sanaHahaa!!Nimeacha saizi mpenzi wangu ni sigara,ila nyege noma,saizi kila nitakayemgegeda nampima kwanza,kutumia condom sitaki bora nipige puli tu