Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
hujapata nakuambiaUnanitia moyo, yote yanawezekana lakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hujapata nakuambiaUnanitia moyo, yote yanawezekana lakini
Tuwe tunachangiana damu maana tupo few in numberMe ni O Rhesus factor -
Hayakupita, nilianza dozi baada ya masaa 64 ni baada ya kushauriwaKwa hio mlkutana kimwili kisha mkaenda kupima? ASA hapo huoni Ka hayo masaa 72 yalipita au mlpma SKU hyohyo mlokutana kimwili?
NimeshajibuJanu-ary jbu
Kwa binti: Ukibakwa, ukitoa mzigo kwa ridhaa yako nyama kwa nyama harafu ukapata fahamu baada ya kuliwa etc - unaweza pia kuomba msaada upewe PEPIkitokea umejichoma na kitu chenye ncha kali ambacho kina damu ya mwenye HIV, unapewa hiyo dawa kabla ya masaa 72 ili kuzuia maambukizi.
yeye anadai alichepuka kweli?Nimeshajibu
Kwa kijana je?Kwa binti: Ukibakwa, ukitoa mzigo kwa ridhaa yako nyama kwa nyama harafu ukapata fahamu baada ya kuliwa etc - unaweza pia kuomba msaada upewe PEP
Hongera na pole bwana!Nilimaliza dozi 31/01/18 lakini mpaka leo hii najisikia kichefuchefu, nitumie dawa gani itakayoondoa hii hali?
Asante, sio usiku tu muda wowote ukipitiwa na usingizi unaota unazikwa ukiwa haiHongera na pole bwana!
Bwana hii !mambo we acha Tuy! Inakera mno! We vidonge ngani vikubwa ivyo? Aiseee afu vina harufu kinoma, mbaya zaidi usku vinaleta ndoto za ajabu ajabu mno, kila kwa sasa nimejifunza, siwezi enda peku peku, NITAKULA PIPI NA GANDA LAKE!
Mm mwenzio nilipomaliza tu nilikaa kama siku tatu adi NNE nikawa fureshi!
Same applies.Kwa kijana je?
Hakukuta bikra ndio maana hakuaminisijui ananionaga mimi malaya yaani haniamini kabisa ila kuniacha hawezi . ipo siku tu nitamuacha maana atanimaliza damu mwenzangu maana hata hela ya maini hanipi
Labda vinatofautiana, lakini km ni vile nilivyokuwa nameza Mimi,dozi Yake n kimoja kwa siku moja tena nilishauriwa kumeza wakati wa usku ninapotaka kulala tuNdio, vidonge vitatu kwa siku asubuhi na usiku mwezi mzima vidonge 90 ,vinachosha mwili mzima unakuwa kama unapigwa marungu yaani ukitaka kuamini onja hata siku tatu tu uone shughuli yake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] huyo changudoa utamkuta wapi mpaka ukapime ngoma naye?Pole sana mkuu,vipi ulilala na changudoa nini?
Hpn wanakupa buana, labda sijui uko uliko Ndg, mm mwenyewe nilishawah kuleta Uzi humu unaohusiana na hizo dawa, and now I'm goodUkiwaambia umepiga peku hawakupi dawa badala yake watakupa matumaini tu, mwisho wa siku unakuta tayari umethirika
Mimi nilipewa 30 vya usiku tu,pia nikapewa 60 mchana na usikuLabda vinatofautiana, lakini km ni vile nilivyokuwa nameza Mimi,dozi Yake n kimoja kwa siku moja tena nilishauriwa kumeza wakati wa usku ninapotaka kulala tu
Ila hata mwenyewe simuamini bora tupimane tuHakukuta bikra ndio maana hakuamini
Hata wakikupa hawawezi kujali sanaHpn wanakupa buana, labda sijui uko uliko Ndg, mm mwenyewe nilishawah kuleta Uzi humu unaohusiana na hizo dawa, and now I'm good
[emoji24] [emoji24] [emoji24] hujakosea hata kidogo Miss Natafuta, walio wengi sana roho mbaya sana ila si wote, 99.9% wana roho mbayaIla hata mwenyewe simuamini bora tupimane tu
Unajua kupata ugonjwa rahisi sana
Ila watu wenye huo ugonjwa sisemi kwa ubaya wana roho mbaya.kama unajua una ugonjwa kwanini umuambukize mwingine?