Jan-uary
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 984
- 1,058
Urudi hospital ukapime kuona kama dozi imefanya kazi effectively
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urudi hospital ukapime kuona kama dozi imefanya kazi effectively
kwani jipu makalioni ndo kuwa na ngoma?Tulipima mwezi wa 8 mwaka jana, wote wawili negative, mwezi wa tisa nikawa nimesafiri nikarudi mwezi wa 12 ,kwakuwa tulishapima miezi minne iliyopita sikuwa na shaka yoyote 30-31/12 tukacheza game kavu, kilichonistua sana mpaka nikamshawishi tukapime tena ni baada ya kuona jibu makalioni.
Nimecheka kama mazuri eti aonje atazipatia wapi aonje?Ndio, vidonge vitatu kwa siku asubuhi na usiku mwezi mzima vidonge 90 ,vinachosha mwili mzima unakuwa kama unapigwa marungu yaani ukitaka kuamini onja hata siku tatu tu uone shughuli yake
unatakiwa upime baada ya miezi sitaTulipima mwezi wa 8 mwaka jana, wote wawili negative, mwezi wa tisa nikawa nimesafiri nikarudi mwezi wa 12 ,kwakuwa tulishapima miezi minne iliyopita sikuwa na shaka yoyote 30-31/12 tukacheza game kavu, kilichonistua sana mpaka nikamshawishi tukapime tena ni baada ya kuona jibu makalioni.
hichi kinaitwa unigold eeh nasikia hakidanganyi . mchepuko wangu ananipima navo kila siku akitaka gemu.ila mungu anamuona
Sio kuwa na ngoma, ila yeye alionekana na ngoma,baada ya kwenda kupimakwani jipu makalioni ndo kuwa na ngoma?
Jipu makalioni ukahisi kaathirika au?Tulipima mwezi wa 8 mwaka jana, wote wawili negative, mwezi wa tisa nikawa nimesafiri nikarudi mwezi wa 12 ,kwakuwa tulishapima miezi minne iliyopita sikuwa na shaka yoyote 30-31/12 tukacheza game kavu, kilichonistua sana mpaka nikamshawishi tukapime tena ni baada ya kuona jibu makalioni.
Ngono uzembeUlifanyaje mpaka unakunywa pep?
Si aende ANGAZA akawaambie kakutana na majanga, watampaNimecheka kama mazuri eti aonje atazipatia wapi aonje?
Sio kweli, niliambiwa nipime baada ya kumaliza dozi siku 30 na sio miezi sitaunatakiwa upime baada ya miezi sita
mwili unakuwa hauna kinga damu inakuwa chafuJipu makalioni ukahisi kaathirika au?
Halaf kwanini watu wengine wanaugua sana majipu ?
yaani mmeachana tu miezi sita mtu keshapata ngoma? jamani ni mkeo au mchepuko?Sio kuwa na ngoma, ila yeye alionekana na ngoma,baada ya kwenda kupima
Inawezekana kimedanganya ngoja nisubiri hiyo miezi sitahichi kinaitwa unigold eeh nasikia hakidanganyi . mchepuko wangu ananipima navo kila siku akitaka gemu.ila mungu anamuona
Nikahisi kaathirika na ikawa kweliJipu makalioni ukahisi kaathirika au?
Halaf kwanini watu wengine wanaugua sana majipu ?
nimesema hakidanganyi mkuuInawezekana kimedanganya ngoja nisubiri hiyo miezi sita
Hahahahahaa, wewe dada unavituko sana aiseee. I wish nikuone siku moja.hichi kinaitwa unigold eeh nasikia hakidanganyi . mchepuko wangu ananipima navo kila siku akitaka gemu.ila mungu anamuona
Miezi minne sio sita, ni mchepukoyaani mmeachana tu miezi sita mtu keshapata ngoma? jamani ni mkeo au mchepuko?
sijui ananionaga mimi malaya yaani haniamini kabisa ila kuniacha hawezi . ipo siku tu nitamuacha maana atanimaliza damu mwenzangu maana hata hela ya maini hanipiHahahahahaa, wewe dada unavituko sana aiseee. I wish nikuone siku moja.
Yupo aliyesema ngoma inaonekana baada ya miezi sita, namimi nimepima baada ya wiki 6 tunimesema hakidanganyi mkuu
Miezi minne sio sita, ni mchepuko