Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

kuchepuka sio dili, hivi niulize wadau ukipiga finger kwenye papuchi ya binti/mwanamke unaemgegeda unaweza kupata ukimwi? Halafu ile kuvaa kondom na kuvua kisha ukavaa mpya kwa bao la pili na la 3, 4, 5 huwez kupata ukimwi kweli pale!
Itategemea km huna mchubuko mikononi huwezi pata ila kumbuka ajali na bahat mbaya hutokea
 
View attachment 688059

Kama View attachment 688061

Habari zenu wanaJF,

Mwezi mmoja uliopita nilileta uzi kuhusiana na kutembea na binti mwenye VVU,

Lengo kuu la kutembea na huyo binti ilikuwa ni tamaa ya kutaka kupata mtoto hata nje ya ndoa kwani mke wangu hana uwezo wa kupata ujauzito! Nimeishi nae toka 2010 lakini mpaka sasa hajawahi kupata ujauzito.

Tulienda hospital zifuatazo kutaka kupata tiba na suluhisho lakini imeshindikana. Saint Gasper Itigi, Upendo hospital (Dodoma), Agha Khan (Dodoma), General hospital (Dodoma), CF (Mwanza), Kamanga (Mwanza), Sekuture (Mwanza), Bugando (Mwanza) kwa Dkt Mwaka ( mtaalamu wa tiba mbadala- Ilala Bungoni)

Huko kote sio tu alikuwa anapatiwa peke ake matibabu, lah hasha hata mimi nilikuwa napimwa sperm analysis, nakuonekana niko poa.

Kisa cha mke wangu kutopata ujauzito ndio kilichonipelekea kutoka nje ya ndoa.

Mara baada ya kutembea na huyu mdada niliamua kwenda kumpima ili tuanze rasmi safari ya kutafuta mtoto tukiwa tunajiamini sote.

Tulipoenda maabara, huyu binti aligundulika kuwa +, sikuamini, nikamchukua kwenda maabara nyingine, majibu yalikuwa yale yale tu yaani she was HIV positive.

Immediately nikaamua kwenda Angaza, nikapewa hizo (PEP) nikaambiwa nizitumie mwezi mzima kisha nipime tena baada ya kumaliza hiyo dozi.

Kiukweli dawa hizi zinamaudhi sana mwanzoni, ndoto za ajabu, njaa kuumua kupita kiasi na kichefuchefu.

Doz hiyo nimemaliza juzi, so nilikuwa najishauri kwenda kupima huku moyo mwingine ukisita lakini nikaamua bora niende tu liwalo na liwe, maana hakuna kitachobadilika kama nitakuwa nimeathirika ni bora nijijue mapema tu! Basi bwana, nikaenda maabara, nimepimwa na kukutwa mzima (negative), hakika sikuamini ilibidi nimwelezee huyo aliyenipima situation ilivyokuwa, akasema hiyo inawezekana ukatembea na mwenye HIV kama kutakuwa na maandilizi ya kutosha na kusitokee mchubuko basi ni nadra zana kuambukizwa kwa mtu aliye negative.


Napenda kumshukuru mungu kwa kuniepusha na hili janga, na safari yangu ya kutafuta mtoto nje ya ndoa, nimeifuta rasmi.

Najua nawachosha lakini hiyo ndio hali halisi.

Hapa chini ni kopo la hizo dawa na majibu yangu, Mara baada ya kupima Leo.


Onyo! UKIMWI HAUJARIBIWI!KONDOM NI MUHIMU SANA!
PEP inatolewa kabla ya masaa 72 tangu umetembea na mtu ambaye ameathirika au kujichoma sindano au vifaa vya ncha kali toka kwa mtu ambaye ameathirika sasa kwa story yako hujatuambia ulipewa PEP ulishatembea na huyo mtu je kama ulishatembea nae unauhakika mpk unapewa PEP masaa 72 yalikua hayajaisha kama yalishaisha posibility yako yakupona inategemea haukupata mchubuko wowote na si vinginevyo so please ukimaliza PEP unatakiwa upime palepale na utakaa muda kidogo urudie tena lakini masaa 72 ndio mwongozo wako muhimu hapo
 
Aisee kondom ni muhum sana maishan,askwambie mtu,..hii zana nmeshaizoea kias kwamba nisipokua nayo mashine hugoma kusimama.
 
Mchukue mkeo muanze klinik ya maombi hapo nyumbani Mungu atawajibu, kwa msaada wa maombi unaweza ukanicheki mkuu
 
kuchepuka sio dili, hivi niulize wadau ukipiga finger kwenye papuchi ya binti/mwanamke unaemgegeda unaweza kupata ukimwi? Halafu ile kuvaa kondom na kuvua kisha ukavaa mpya kwa bao la pili na la 3, 4, 5 huwez kupata ukimwi kweli pale!
ukishapiga bao ni vyema demu ndo aitoe condom au akiitoa mwanamme anatakiwa atumie tissue
 
Sasa mkuu... duh!hii pep yako mbona haieleweki!yaani mlikutana kama leo halafu mkapima baada ya muda gani labda...maana usijekuwa umepunguza tu dawa za watu.!![emoji124][emoji124]
Hahahaaa,, asante sana mkuu kwa kuuliza hilo swali ,na mimi nilitaka nimuulize isijekuwa wame kwichi kwichi kwa mwezi mzima halafu ndio akaenda kutumia PEP,,, hapo atakua anaongeza ukosefu wa dawa kwa wahitaji tu bure
 
Nilimaliza dozi 31/01/18 lakini mpaka leo hii najisikia kichefuchefu, nitumie dawa gani itakayoondoa hii hali?
 
Back
Top Bottom