Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Ila we jamaa uliwahi sana kuoa naona hapo wameandika 28yrz na una mke tangu 2010. Anyway hongera sana kwa kusitisha safari ya kutafuta mtoto nje ya ndoa.
Mm msukuma black Marxist, tunaoa mapema mnooo! Kikubwa nimejifunza kwa vitendo! Ivyo sitegemei kukosea tena
 
Hebu tupia kapicha tuzione mkuu!!
6cb4d5b7f725bab16c1ea62caeb3112f.jpg
 
Sasa mkuu... duh!hii pep yako mbona haieleweki!yaani mlikutana kama leo halafu mkapima baada ya muda gani labda...maana usijekuwa umepunguza tu dawa za watu.!![emoji124][emoji124]
 
Sasa mkuu... duh!hii pep yako mbona haieleweki!yaani mlikutana kama leo halafu mkapima baada ya muda gani labda...maana usijekuwa umepunguza tu dawa za watu.!![emoji124][emoji124]
Tulikutana nae asbh yake tukaenda kupima, ndipo alipokutwa na HIV positive, nilianza kutumia ndani ya Massa 24! Nimeponea chupuchupu mzeya! Km huamini bas
 
View attachment 688059

Kama View attachment 688061

Habari zenu wanaJF,

Mwezi mmoja uliopita nilileta uzi kuhusiana na kutembea na binti mwenye VVU,

Lengo kuu la kutembea na huyo binti ilikuwa ni tamaa ya kutaka kupata mtoto hata nje ya ndoa kwani mke wangu hana uwezo wa kupata ujauzito! Nimeishi nae toka 2010 lakini mpaka sasa hajawahi kupata ujauzito.

Tulienda hospital zifuatazo kutaka kupata tiba na suluhisho lakini imeshindikana. Saint Gasper Itigi, Upendo hospital (Dodoma), Agha Khan (Dodoma), General hospital (Dodoma), CF (Mwanza), Kamanga (Mwanza), Sekuture (Mwanza), Bugando (Mwanza) kwa Dkt Mwaka ( mtaalamu wa tiba mbadala- Ilala Bungoni)

Huko kote sio tu alikuwa anapatiwa peke ake matibabu, lah hasha hata mimi nilikuwa napimwa sperm analysis, nakuonekana niko poa.

Kisa cha mke wangu kutopata ujauzito ndio kilichonipelekea kutoka nje ya ndoa.

Mara baada ya kutembea na huyu mdada niliamua kwenda kumpima ili tuanze rasmi safari ya kutafuta mtoto tukiwa tunajiamini sote.

Tulipoenda maabara, huyu binti aligundulika kuwa +, sikuamini, nikamchukua kwenda maabara nyingine, majibu yalikuwa yale yale tu yaani she was HIV positive.

Immediately nikaamua kwenda Angaza, nikapewa hizo (PEP) nikaambiwa nizitumie mwezi mzima kisha nipime tena baada ya kumaliza hiyo dozi.

Kiukweli dawa hizi zinamaudhi sana mwanzoni, ndoto za ajabu, njaa kuumua kupita kiasi na kichefuchefu.

Doz hiyo nimemaliza juzi, so nilikuwa najishauri kwenda kupima huku moyo mwingine ukisita lakini nikaamua bora niende tu liwalo na liwe, maana hakuna kitachobadilika kama nitakuwa nimeathirika ni bora nijijue mapema tu! Basi bwana, nikaenda maabara, nimepimwa na kukutwa mzima (negative), hakika sikuamini ilibidi nimwelezee huyo aliyenipima situation ilivyokuwa, akasema hiyo inawezekana ukatembea na mwenye HIV kama kutakuwa na maandilizi ya kutosha na kusitokee mchubuko basi ni nadra zana kuambukizwa kwa mtu aliye negative.


Napenda kumshukuru mungu kwa kuniepusha na hili janga, na safari yangu ya kutafuta mtoto nje ya ndoa, nimeifuta rasmi.

Najua nawachosha lakini hiyo ndio hali halisi.

Hapa chini ni kopo la hizo dawa na majibu yangu, Mara baada ya kupima Leo.


Onyo! UKIMWI HAUJARIBIWI!KONDOM NI MUHIMU SANA!
Nitafute mimi, nimtibie mke wako ili aweze kushika mimba na kupata mtoto. Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
Sasa wewe ulianzaje kutumia pep...kwan ulikuwa umeshazini nae? Maana nijuavyo pep yakipita masaa 72 baadae ya tukio hatarishi la maambukizi kutokea...uhakika wa kuzuia maambukizi unakuwa negligible! Kwa hiyo nakushauri ukapime tena baada ya miezi mitatu.
 
Sasa wewe ulianzaje kutumia pep...kwan ulikuwa umeshazini nae? Maana nijuavyo pep yakipita masaa 72 baadae ya tukio hatarishi la maambukizi kutokea...uhakika wa kuzuia maambukizi unakuwa negligible! Kwa hiyo nakushauri ukapime tena baada ya miezi mitatu.
Soma vizur Uzi huu, na nilioandika mwez uliopita, nimesema nilizin nae, baada usku, kulipokucha niliamua kwenda kupima ili mimba na HIV ili kuwa na confidence kila napokutana nae! Ndio akakutwa ana HIV positive!

Afu mm sio msiri kiasi hicho mdalavangu, nimekuwa na tabia so hilo halinitishi! Lililokuwa linanitisha ni pale nilikujuwa MTU niliyetembea nae n mhanga! Mengine sihofii
 
Kwa hizo hospitali ulizozitaja hapo nimeshakujua wewe ni nani
 
Mi ningependa kufahamu hali ya binti uliyempima tu akagundua kashawaka
 
Tulikutana nae asbh yake tukaenda kupima, ndipo alipokutwa na HIV positive, nilianza kutumia ndani ya Massa 24! Nimeponea chupuchupu mzeya! Km huamini bas
Kwa hiyo ulikula kwanza mzigo kabla ya kupima sio?
 
Subiri miezi mitatu ipite halafu ndio ukapime tena mkuu,kama uliambukizwa virusi basi vitaanza kuonekana baada ya miezi mitatu ila kuna kipimo kipo muhimbili tu ambacho virusi huonekana baada ya wiki mbili tu tangu kuambukizwa
 
Kuchepuka sio dili, hivi niulize wadau ukipiga finger kwenye papuchi ya binti/mwanamke unaemgegeda unaweza kupata ukimwi? Halafu ile kuvaa kondom na kuvua kisha ukavaa mpya kwa bao la pili na la 3, 4, 5 huwez kupata ukimwi kweli pale!
 
Mkuu mkeo anajua hizi mambo ulimshirikisha kama ni mkristo nenda kanisani katoe shukrani ya pekee
Amshirikishe mke aone moto wake. Wanawake hawajuagi kusahau wala kusamehe siku akikuta message hata ya promotion ya Voda imeanza na neno Dear (atapanik na kudhani ni mchepuko) ataanza kukumbushia makosa ya jamaa, we bro piga kimya asee
 
Back
Top Bottom