Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Ila hata mwenyewe simuamini bora tupimane tu
Unajua kupata ugonjwa rahisi sana
Ila watu wenye huo ugonjwa sisemi kwa ubaya wana roho mbaya.kama unajua una ugonjwa kwanini umuambukize mwingine?
We acha tu
Wenye HIV + wana roho ngumu sana, yaani unakuta anapretend na unamwambia twende tukapima linakubali tu, cjui linakuwa linajuwa unalitania, mm sijuagi yanafikiriaga nini hiyo mijitu! Mishenzi mnoooo!
 
[emoji24] [emoji24] [emoji24] hujakosea hata kidogo Miss Natafuta, walio wengi sana roho mbaya sana ila si wote, 99.9% wana roho mbaya
Au dawa zinawaharibu maana kweli kabisa unajua una ugonjwa unamuambukizaje mwenzio?
 
We acha tu
Wenye HIV + wana roho ngumu sana, yaani unakuta anapretend na unamwambia twende tukapima linakubali tu, cjui linakuwa linajuwa unalitania, mm sijuagi yanafikiriaga nini hiyo mijitu! Mishenzi mnoooo!
Haa haa ilishawahi kukutokea mkuu? Kwamba mkapime akakubali?
 
Au dawa zinawaharibu maana kweli kabisa unajua una ugonjwa unamuambukizaje mwenzio?
Kuna jamaa kitaa ana mihela ila ndo hivyo ....jamaa ana roho mbaya mnoo kwa watu anaodhani ni wazima, ndugu zake sasa wanakoma hataree, anawanyanyasa huyoo
 
Tujitahidi kutumia mipira tu,wanaeneza maksudi anajua anao anakubali kirahisi sana na hakwambii uvae mpira, na akishajua hutavaa mpira anaikausha kwelikweli ili upate michubuko
Kuliwa/ kula kavukavu ni sawa na kujivalisha mabomu mda wowote linalipuka!
 
Ndio, vidonge vitatu kwa siku asubuhi na usiku mwezi mzima vidonge 90 ,vinachosha mwili mzima unakuwa kama unapigwa marungu yaani ukitaka kuamini onja hata siku tatu tu uone shughuli yake
Bas hukunjwa ile twaita 1g, kidonge kimoja daily ile ina efaveranz hii kitu sio mchezo yaweza kukufanya ukakosa usingiz kwa kuogopa ota ndoto mbaya sana
 
hichi kinaitwa unigold eeh nasikia hakidanganyi . mchepuko wangu ananipima navo kila siku akitaka gemu.ila mungu anamuona
Lakini kina detect antibody za mwili baada ya mwili kushambuliwa na virus, so bado kina mapungufu yake kipo kimoja ni bioline kina detect antigen kabisa hicho hata maambukizo ya siku 10 cha detect, hii unigold ni kuanzia siku 90
 
Back
Top Bottom