Havoc
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 242
- 166
Natumia chewing gum,bora sigara kuliko ukimwiSigara?utakuwa unanuka balaa.sigara mbaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natumia chewing gum,bora sigara kuliko ukimwiSigara?utakuwa unanuka balaa.sigara mbaya sana
Vyote sawa tu .unajua cancer wewe. Tena bora ukimwiNatumia chewing gum,bora sigara kuliko ukimwi
Babu yangu anavuta sigara yangu akiwa 17 yrs,saizi ana 80 yrs,ukimwi unaujua/ unausikia??? Stress za ukimwi unazijua???? Sigara there some techniques ukafanya ili zisikuletee madharaVyote sawa tu .unajua cancer wewe. Tena bora ukimwi
Acha tu, maana tayari tulikuwa 6x6 ila yule mdada akawa mgumu kusaua nguo zake, nlpomuuliza kwanini ghafla alibadilika na kuwa na sura ya huruma huku machozi yakimlenga... Akanambia ameathirika, hivyo hatakiwi kufanya mara kwa mara... Daaah nilitamani kuzima palepaleAna roho nzuri saana huyo
Ameolewa au bado kijana?Acha tu, maana tayari tulikuwa 6x6 ila yule mdada akawa mgumu kusaua nguo zake, nlpomuuliza kwanini ghafla alibadilika na kuwa na sura ya huruma huku machozi yakimlenga... Akanambia ameathirika, hivyo hatakiwi kufanya mara kwa mara... Daaah nilitamani kuzima palepale
Na ndo ukamuacha hadi Leo!!!! Vipi muonekano wake upoje?Acha tu, maana tayari tulikuwa 6x6 ila yule mdada akawa mgumu kusaua nguo zake, nlpomuuliza kwanini ghafla alibadilika na kuwa na sura ya huruma huku machozi yakimlenga... Akanambia ameathirika, hivyo hatakiwi kufanya mara kwa mara... Daaah nilitamani kuzima palepale
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio, vidonge vitatu kwa siku asubuhi na usiku mwezi mzima vidonge 90 ,vinachosha mwili mzima unakuwa kama unapigwa marungu yaani ukitaka kuamini onja hata siku tatu tu uone shughuli yake
MMhhhhhh!jamani kuweni mnapima kabla ya kugegedana
DuuuuuuuuuuhMimi nilimfuma mmoja yaani nilinusurika mpaka Leo najiona mwenye bahati kuliko ya biko.sitoacha kumshukuru MUngu yaani .
Afu unarudi kupima unakuta ngoma ipo? Maana kumeza hayo ma PEP ni probability unaweza kuwa nayo or usiwe nayo....Urudi hospital ukapime kuona kama dozi imefanya kazi effectively
DaaaaaaaaaaaahMpira unafangasi
alikuwa jirani yetu ananitongoza kila siku kuna siku alisafiri akaniomba nikamsaidie kitu nyumbani kwake nilivoenda nikakuta vichupa vya madawa .sema aligoma sio zake ni za mtu alimchukulia ila na mimi nilikata mguu .Duuuuuuuuuuh
ahaaa umetumwa au nini?Daaaaaaaaaaaah
Mkuu we acha tu, Mungu anajua kuumba bhana. Nadhani umenielewaNa ndo ukamuacha hadi Leo!!!! Vipi muonekano wake upoje?
Vitumieni tu vichupa hivyoooalikuwa jirani yetu ananitongoza kila siku kuna siku alisafiri akaniomba nikamsaidie kitu nyumbani kwake nilivoenda nikakuta vichupa vya madawa .sema aligoma sio zake ni za mtu alimchukulia ila na mimi nilikata mguu .
nitumie kwani naumwa? mi kila siku napima mkuu. halafu zinaa sipendi nipo makini sana.Vitumieni tu vichupa hivyooo
Hahahahaha mkuu hao waliopata pia walikuwa wanasema wako makini, kipimo cha umakini ni nini boss wangu?nitumie kwani naumwa? mi kila siku napima mkuu. halafu zinaa sipendi nipo makini sana.
ni kweli kupata sio kwamba hukuwa makini ila inatakiwa uwe makini na mtu unaelala nae . tuache kugegedanaHahahahaha mkuu hao waliopata pia walikuwa wanasema wako makini, kipimo cha umakini ni nini boss wangu?
Mkuu sikuelewi, tuache kugegedana au tugegedane kwa kuwa makini unayegegedana naye?ni kweli kupata sio kwamba hukuwa makini ila inatakiwa uwe makini na mtu unaelala nae . tuache kugegedana