Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Vyote sawa tu .unajua cancer wewe. Tena bora ukimwi
Babu yangu anavuta sigara yangu akiwa 17 yrs,saizi ana 80 yrs,ukimwi unaujua/ unausikia??? Stress za ukimwi unazijua???? Sigara there some techniques ukafanya ili zisikuletee madhara
 
Ana roho nzuri saana huyo
Acha tu, maana tayari tulikuwa 6x6 ila yule mdada akawa mgumu kusaua nguo zake, nlpomuuliza kwanini ghafla alibadilika na kuwa na sura ya huruma huku machozi yakimlenga... Akanambia ameathirika, hivyo hatakiwi kufanya mara kwa mara... Daaah nilitamani kuzima palepale
 
Acha tu, maana tayari tulikuwa 6x6 ila yule mdada akawa mgumu kusaua nguo zake, nlpomuuliza kwanini ghafla alibadilika na kuwa na sura ya huruma huku machozi yakimlenga... Akanambia ameathirika, hivyo hatakiwi kufanya mara kwa mara... Daaah nilitamani kuzima palepale
Ameolewa au bado kijana?
 
Acha tu, maana tayari tulikuwa 6x6 ila yule mdada akawa mgumu kusaua nguo zake, nlpomuuliza kwanini ghafla alibadilika na kuwa na sura ya huruma huku machozi yakimlenga... Akanambia ameathirika, hivyo hatakiwi kufanya mara kwa mara... Daaah nilitamani kuzima palepale
Na ndo ukamuacha hadi Leo!!!! Vipi muonekano wake upoje?
 
Ndio, vidonge vitatu kwa siku asubuhi na usiku mwezi mzima vidonge 90 ,vinachosha mwili mzima unakuwa kama unapigwa marungu yaani ukitaka kuamini onja hata siku tatu tu uone shughuli yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duuuuuuuuuuh
alikuwa jirani yetu ananitongoza kila siku kuna siku alisafiri akaniomba nikamsaidie kitu nyumbani kwake nilivoenda nikakuta vichupa vya madawa .sema aligoma sio zake ni za mtu alimchukulia ila na mimi nilikata mguu .
 
alikuwa jirani yetu ananitongoza kila siku kuna siku alisafiri akaniomba nikamsaidie kitu nyumbani kwake nilivoenda nikakuta vichupa vya madawa .sema aligoma sio zake ni za mtu alimchukulia ila na mimi nilikata mguu .
Vitumieni tu vichupa hivyooo
 
Hahahahaha mkuu hao waliopata pia walikuwa wanasema wako makini, kipimo cha umakini ni nini boss wangu?
ni kweli kupata sio kwamba hukuwa makini ila inatakiwa uwe makini na mtu unaelala nae . tuache kugegedana
 
Back
Top Bottom