Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Tujitahidi kutumia mipira tu,wanaeneza maksudi anajua anao anakubali kirahisi sana na hakwambii uvae mpira, na akishajua hutavaa mpira anaikausha kwelikweli ili upate michubuko
Hiyo inawezekana anaikaushaje kwa makusudi?
 
kutokana wao wenyew waliupata kwa kuingizwa chaka na ndo maana wengi wao wanalipa kisasi kwa kuambukiza wenzao na akikuonea huruma kama ni mdada basi atakuzungusha ili mradi ukate tamaa
 
hv ni kweli ukiwaambia kuwa ulipga peku hawakupi dawa maana kuna best yangu alipga peku juz ucku then asubuhi kuna watu wawili wakamwambia demu kaungua hvyo yupo hospital kutafuta hzo dawa
Watampa akajieleze vizuri, vinginevyo watamwambia awe na amani hajapata maambukizi
 
Acha tu, maana tayari tulikuwa 6x6 ila yule mdada akawa mgumu kusaua nguo zake, nlpomuuliza kwanini ghafla alibadilika na kuwa na sura ya huruma huku machozi yakimlenga... Akanambia ameathirika, hivyo hatakiwi kufanya mara kwa mara... Daaah nilitamani kuzima palepale
Mpende sana kwakuwa naye anakupenda, walio wengi hovyo kabisa
 
Babu yangu anavuta sigara yangu akiwa 17 yrs,saizi ana 80 yrs,ukimwi unaujua/ unausikia??? Stress za ukimwi unazijua???? Sigara there some techniques ukafanya ili zisikuletee madhara
Yah ukimwi unataka moyo
 
Mimi nilimfuma mmoja yaani nilinusurika mpaka Leo najiona mwenye bahati kuliko ya biko.sitoacha kumshukuru MUngu yaani .
Mimi hata sina cha kumpa Mungu, kaninusuru kwa watatu ambao nina uhakika, sijui wengine ambao sikuwahi kupima nao
 
Wakuu,hv kondomu ni sawa tu na kilo moja ya sukari uidumbukize baharini kwamba itakolea?
Maana kuna kupima oil kwa kidole,kunyonya chuchu,kuzama chumvini,kupapasa na kote huku huvai gloves.Mi naona tuletewe condomu za mwili mzima tu
 
Tulipima mwezi wa 8 mwaka jana, wote wawili negative, mwezi wa tisa nikawa nimesafiri nikarudi mwezi wa 12 ,kwakuwa tulishapima miezi minne iliyopita sikuwa na shaka yoyote 30-31/12 tukacheza game kavu, kilichonistua sana mpaka nikamshawishi tukapime tena ni baada ya kuona jibu makalioni.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hofu hiyo
 
Back
Top Bottom