Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

We angalia afya yako, mambo ya kushangaa atajijua mwenyewe!

Uso mkavu avae sita tena ikibidi unamvalisha! Starehe ya dk 5 iniharibie life kisa?
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Mimi niliwahi pewa hio Pep baada ya ndom kupasuka kwenye game. Nilikunywa siku mbili mateso niliyopata niliona nakua chizi maana nikaanza kuhisi kizunguzungu muda wote. Nikasema liwalo na liwe nikazitupa mbali. Kuja kupima baadae nikawa salama
 
Mimi niliwahi pewa hio Pep baada ya ndom kupasuka kwenye game. Nilikunywa siku mbili mateso niliyopata niliona nakua chizi maana nikaanza kuhisi kizunguzungu muda wote. Nikasema liwalo na liwe nikazitupa mbali. Kuja kupima baadae nikawa salama
Ungepata maambukizi ungejuta sana
 
Hongera na pole bwana!

Bwana hii !mambo we acha Tuy! Inakera mno! We vidonge ngani vikubwa ivyo? Aiseee afu vina harufu kinoma, mbaya zaidi usku vinaleta ndoto za ajabu ajabu mno, kila kwa sasa nimejifunza, siwezi enda peku peku, NITAKULA PIPI NA GANDA LAKE!

Mm mwenzio nilipomaliza tu nilikaa kama siku tatu adi NNE nikawa fureshi!
 
Ukipiga dawa hii unaruhusiwa kula papuchi kama kawa..??
 
Nilimaliza dozi 31/01/18 lakini mpaka leo hii najisikia kichefuchefu, nitumie dawa gani itakayoondoa hii hali?
TANGAWIZI TIBA YA KICHEFUCHEFU (1).jpg

Kunywa chai ya Tangawizi kichefuchefu kitakwenda zake.
 
Back
Top Bottom