Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Unajuwa unaweza ukawa hujaandikiwa kupata mtoto Bas kufoc foc nako n kubaya! Its better to stay calm! Nitafanya mpango wa kuwa natembelea vituo vya Watoto yatima ili kumaliza kiu yangu ya Watoto, ila siyo kuzaa nje tena
Mkuu uwe makini on your next attempt mtoto wako ni muhimu sana hutakiwa sitiosha jitihada za kumpata
 
Deception unawapotosha watu
 
NENDA KAFANYE MINGONO ZEMBE THEN UTAJUWA HIV IS REAL OR NOT!
 
Mkuu Shukran sana Nimegain kitu hapa kwny hili Bandiko kuna kitu Fikirishi kwa sisi wenye Asili ya Kuchunguza vitu kwa Undani wake.

Kuna haja ya Kufanya deep research juu ya hili suala!
 
UKIMWI upo tena sana asikudanganye mtu ,kuhusu PEP nafikiri aim ni wameweka kwa wafanyakazi wa afya sababu wanakuwa exposed sna yan mfano hapa m nimeanza dose week iliyopita baada ya kumwagikiwa na damu pia wanapewa wanawake waliobakwa.

Mind you PEP ni Arvs so tunapewa msaada la sivyo hatuwez kuafford na ARVs zimeletwa ili kupunguza maambukizi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwingine kwa kufatilia wingi wa virusi vyake(viral load counts) sasa ukisema wapewe kila mtu hizi gharama sisi hatuwez

Antiretroviral therapy cost an average of$9360 per year for each patient with a CD4 cell count below 50 cells/mm3. This compared to average annual costs of between$11,800 and $12,313 for those with higher CD4 cell counts. Antiretroviral therapy was most expensive for those with the highest CD4 cell counts.

Angalia gharama hyo alafu jifikirie marambili
Mwaka jana ilizinduliwa research baadhi ya mikoa ambazo zimelewa pep za unakunywa siku7 ndo unaenda kudinyana sijajua research kama imeisha
 
Sorry sio pep ni pre
 
Mkuu hebu teremsha nondo zaidi hapa naona point zina mantiki tupu kabisa
 
Deception unawapotosha watu

Mjitahidi kujifunza jinsi ya kujadili kwa hoja...wenzetu wazungu wametuacha mbali sana kimaendeleo kwasababu wanafanya mambo kwa kutumia mantiki,wakiona/kusikia jambo jipya huwa hawapingi tu hovyo,kwanza wanafuatilia,kisha wakishaelewa ndio wanaanza kujadili,tena wanajadili si kwa lengo la kupinga,bali kwa lengo la kuelewa...sisi hatuko hivyo.
 

Ulivyoanza tu kwa kusema 'ukimwi upo',tayari nimekuweka kwenye kundi la wasioelewa wanajadili kitu gani...kwani wapi nimesema hakuna ukimwi?

Kuna watu unatakiwa kuwa makini sana kama unajadiliana nao,mimi ni mmojawapo.Hivyo kuwa makini....onesha sehemu ambayo mimi nimesema hakuna ukimwi.
 
Deception uliadimika sana aisee
 
Upo deep sana, endelea kutuelimisha aseee,much respect
 
Deception uliadimika sana aisee
Ni kweli aliadimika, kiukweli mkuu deception naweza sema Ni moja ya watu walionifanya nijiunge rasmi jf.
Na kauli yake anayoitumia ya "usibishe Jambo jipya Ila lijadili ukiwa open minded imenisaidia sana"
Jf idumuuuuuu🙏🙏🙏🙏
 
Mtu kama deception inabidi tumtumie sana??
 
UKIMWI mnavyouchukulia sivyo ulivyo, huu ni mradi kama BRT tu, by the way huwezi jua km umeathirika within 72 hours unless otherwise uwe unafahamu kama uliyefanya nae mapenzi ni muathirka. is ol I knw
Pamoja na HIV AIDS kuwa mradi; ukweli ni kuwa UPO uwezekano wa kujua kama una HIV ndani ya masaa 72, hata chini ya masaa hayo ! Changamoto ni kuwa watu hawaambiwi kipimo hicho sababu ni vichache na gharama kubwa sana! Nchini hupatikani hospital ya Taifa na BMC!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…