Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Unajuwa unaweza ukawa hujaandikiwa kupata mtoto Bas kufoc foc nako n kubaya! Its better to stay calm! Nitafanya mpango wa kuwa natembelea vituo vya Watoto yatima ili kumaliza kiu yangu ya Watoto, ila siyo kuzaa nje tena
Mkuu uwe makini on your next attempt mtoto wako ni muhimu sana hutakiwa sitiosha jitihada za kumpata
 
Deception unawapotosha watu
Fuatilia post zangu kwenye uzi huu: JF Doctor


Pia ukiwa na muda fuatilia documentaries zifuatazo kwenye youtube huku ukiwa na open mind;

1.10 scientific arguments why HIV can NOT cause AIDS (dr. Duesberg)

2.Positively False - Birth of a Heresy - HIV AIDS

3.Prof. Luc Montagnier's Extended House of Numbers Interview (1)

4.The Other Side of AIDS

5.Why HIV was never discovered.

6.AIDS TRUTH 2013 Gary Null Exposes The Truth About The HIV=AIDS Lies

7.HIV = AIDS - Fact Or Fraud

8.Peter Duesberg - The Invention of AIDS

9.The Great AIDS Hoax! House of Numbers Movie

10.The HIVAIDS Hoax Explained - Dr. Robert Willner

11.Why I Quit Hiv with Kary Mullis - Rodney Richards - more HoN


Pia kuna scientific papers nyingi sana kuthibitisha hayo utakayoyaona kwenye hizo documentaries.Zaidi ya yote kinachotokea mitaani na kwenye vituo vya afya katika maisha yetu ya kila siku kina akisi moja kwa moja ukweli huo wa kwenye hizo scientific papers na hizo documentaries.

Kazi kwako sasa.
 
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"

Naona bado kuna watu wasiojua ukweli kuhusu HIV/AIDS,mnasimuliana hadithi za kusadikika.Mtu yeyote mwenye akili timamu akiruhusu akili yake ifikirie upande wa pili wa HIV/AIDS basi atauona waziwazi uongo wote kuhusu ugonjwa huu feki katika kila nyanja.

"HIV/AIDS is a mindset disease"

Ukimwi hausababishwi na HIV,hakuna kirusi chenye uwezo wa kushusha kinga ya mtu yeyote.ARVs zikiwemo PEP ndio mpango mzima,ARVs ndio zinazosababisha Ukimwi kwa wale wanaozitumia.

Wanachokifanya hawa jamaa ni kwamba;
-Wanakwambia kwamba ukimwi unasababishwa na HIV kwa kutumia kampeni na matangazo ya kutisha ili kurubuni akili yako.

-Wanakupima na vipimo vyao feki ambavyo si kweli kwamba vinapima HIV,halafu wanakusingizia kwamba una HIV.

-Baada ya hapo wanakwambia utumie madawa feki ya ARVs ambayo hayatibu chochote na hayana faida yoyote mwilini zaidi ya hasara huku ukiamini kwamba yanapunguza makali ya ukimwi kumbe si kweli.

-Halafu ARVs ndizo zinakusababishia ukimwi baada ya kuzitumia kwa muda fulani huku ukimsingizia HIV ambaye ni hewa kwamba ndiye amesababisha.Kumbe mchawi hapa ni ARVs.

Wagonjwa wote wanaotumia ARVs ambao wana hali mbaya kiafya huwa wanakuwa na magonjwa yafuatayo;

1.Matatizo ya MOYO,

2.Matatizo ya INI,ini kufeli

3.Matatizo ya FIGO,figo kufeli

4.Upungufu wa damu,ANAEMIA,

5.CANCER,

6.Kisukari.

Haya ndiyo matatizo yanayowauwa watumiaji wa ARVs.Kama huamini fuatilia kwenye vituo vya afya ujionee mwenyewe.

Swali;

Je,matatizo hayo hapo juu yanasababishwa na HIV?Kama kweli,je ni kivipi?Kama si kweli,je nini husababisha matatizo hayo?

Jibu la kweli;

Matatizo hayo yote hapo juu hayasababishwi na HIV bali husababishwa ARVs.ARVs zinaleta LACTIC ACIDOSIS kwenye damu ambayo ndio mzizi wa matatizo yote hapo juu.Cell za mwili zinaishi katika hali ya ukosefu wa hewa ya oksijeni kwa muda wote wa matumizi ya ARVs(fermentation),cell hudhoofu na kufa(UKIMWI,KISUKARI) na nyingine hupata mutation na kuanza abnormal division(CANCER),madini kama calcium na magnesium hupotea mwilini ili kubalance alkalinity level ambapo madini haya ni muhimu ktk relaxation na contraction ya misuli ya moyo(matatizo ya moyo),pia madini ya Ca ni muhimu kwa uimara wa mifupa.Sumu hii ya ARVs inadhoofisha bone marrow ambayo ndio mzizi wa kuzalisha damu(ANAEMIA),sumu hii pia inafanya ini lishindwe kufanya kazi yake hivyo pia hupelekea figo kushindwa kufanya kazi.

ARVs ndio ukimwi wenyewe na sio HIV kama wengi wanavyodhani.HIV ni hewa tu,ARVs eg PEP ndio mpango mzima lakini watu bado hawajui na wanazidi kuzipigia debe dawa hizi hadi leo hii.Walioanzisha uongo huu wanajua ukweli wote huu,kazi kwetu sisi watu wa dunia ya tatu kutegua mtego huu.

HIV/AIDS ni biashara ya ARVs tu na si vinginevyo.Siku hizi kampeni za kupima bure zimepamba moto,watu wanadhani wamarekani wanatupenda sana,la hasha,ukweli ni kwamba wanatafuta wateja wa ARVs kwa nguvu zote kwa kutumia vipimo vyao feki vilitengenezwa kwa sayansi ya kijanja ili viwapatie wateja wengi zaidi.

Kampeni dhidi ya ugonjwa huu feki nazo ni feki pia,na ndio maana huwezi kamwe kusikia dawa au kinga ya ugonjwa huu feki imepatikana,hii ni kwa sababu ugonjwa wenyewe ni feki.Kama kuna mtu anadhani kuna swali lolote lenye utata mimi kulijibu ninawaambia kwamba hakuna swali lenye utata hapa.Ila kuna maswali yasiyohesabika ambayo hayawezi kujibika na watu wanaotetea dhana hii ya HIV/AIDS.

AIDS haiambukizwi kwa njia yoyote hata kwa ngono zembe,HIV hasababishi ukimwi,Vipimo vya HIV ni feki,ARVs hazina faida yoyote zaidi ya hasara na hazitibu chochote na ndio hizi zinazosababisha ukimwi kwa wale wanaozitumia.

Fungueni akili mtajua tu,ninaamini mna uwezo mkubwa zaidi ya huo mlionao sasa,jitahidini kufungua akili na kuangilia upande wa pili wa ugonjwa huu feki.

Narudia; "HIV/AIDS IS A MINDSET DISEASE".HIV/AIDS IS NOT REAL.
NENDA KAFANYE MINGONO ZEMBE THEN UTAJUWA HIV IS REAL OR NOT!
 
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"

Naona bado kuna watu wasiojua ukweli kuhusu HIV/AIDS,mnasimuliana hadithi za kusadikika.Mtu yeyote mwenye akili timamu akiruhusu akili yake ifikirie upande wa pili wa HIV/AIDS basi atauona waziwazi uongo wote kuhusu ugonjwa huu feki katika kila nyanja.

"HIV/AIDS is a mindset disease"

Ukimwi hausababishwi na HIV,hakuna kirusi chenye uwezo wa kushusha kinga ya mtu yeyote.ARVs zikiwemo PEP ndio mpango mzima,ARVs ndio zinazosababisha Ukimwi kwa wale wanaozitumia.

Wanachokifanya hawa jamaa ni kwamba;
-Wanakwambia kwamba ukimwi unasababishwa na HIV kwa kutumia kampeni na matangazo ya kutisha ili kurubuni akili yako.

-Wanakupima na vipimo vyao feki ambavyo si kweli kwamba vinapima HIV,halafu wanakusingizia kwamba una HIV.

-Baada ya hapo wanakwambia utumie madawa feki ya ARVs ambayo hayatibu chochote na hayana faida yoyote mwilini zaidi ya hasara huku ukiamini kwamba yanapunguza makali ya ukimwi kumbe si kweli.

-Halafu ARVs ndizo zinakusababishia ukimwi baada ya kuzitumia kwa muda fulani huku ukimsingizia HIV ambaye ni hewa kwamba ndiye amesababisha.Kumbe mchawi hapa ni ARVs.

Wagonjwa wote wanaotumia ARVs ambao wana hali mbaya kiafya huwa wanakuwa na magonjwa yafuatayo;

1.Matatizo ya MOYO,

2.Matatizo ya INI,ini kufeli

3.Matatizo ya FIGO,figo kufeli

4.Upungufu wa damu,ANAEMIA,

5.CANCER,

6.Kisukari.

Haya ndiyo matatizo yanayowauwa watumiaji wa ARVs.Kama huamini fuatilia kwenye vituo vya afya ujionee mwenyewe.

Swali;

Je,matatizo hayo hapo juu yanasababishwa na HIV?Kama kweli,je ni kivipi?Kama si kweli,je nini husababisha matatizo hayo?

Jibu la kweli;

Matatizo hayo yote hapo juu hayasababishwi na HIV bali husababishwa ARVs.ARVs zinaleta LACTIC ACIDOSIS kwenye damu ambayo ndio mzizi wa matatizo yote hapo juu.Cell za mwili zinaishi katika hali ya ukosefu wa hewa ya oksijeni kwa muda wote wa matumizi ya ARVs(fermentation),cell hudhoofu na kufa(UKIMWI,KISUKARI) na nyingine hupata mutation na kuanza abnormal division(CANCER),madini kama calcium na magnesium hupotea mwilini ili kubalance alkalinity level ambapo madini haya ni muhimu ktk relaxation na contraction ya misuli ya moyo(matatizo ya moyo),pia madini ya Ca ni muhimu kwa uimara wa mifupa.Sumu hii ya ARVs inadhoofisha bone marrow ambayo ndio mzizi wa kuzalisha damu(ANAEMIA),sumu hii pia inafanya ini lishindwe kufanya kazi yake hivyo pia hupelekea figo kushindwa kufanya kazi.

ARVs ndio ukimwi wenyewe na sio HIV kama wengi wanavyodhani.HIV ni hewa tu,ARVs eg PEP ndio mpango mzima lakini watu bado hawajui na wanazidi kuzipigia debe dawa hizi hadi leo hii.Walioanzisha uongo huu wanajua ukweli wote huu,kazi kwetu sisi watu wa dunia ya tatu kutegua mtego huu.

HIV/AIDS ni biashara ya ARVs tu na si vinginevyo.Siku hizi kampeni za kupima bure zimepamba moto,watu wanadhani wamarekani wanatupenda sana,la hasha,ukweli ni kwamba wanatafuta wateja wa ARVs kwa nguvu zote kwa kutumia vipimo vyao feki vilitengenezwa kwa sayansi ya kijanja ili viwapatie wateja wengi zaidi.

Kampeni dhidi ya ugonjwa huu feki nazo ni feki pia,na ndio maana huwezi kamwe kusikia dawa au kinga ya ugonjwa huu feki imepatikana,hii ni kwa sababu ugonjwa wenyewe ni feki.Kama kuna mtu anadhani kuna swali lolote lenye utata mimi kulijibu ninawaambia kwamba hakuna swali lenye utata hapa.Ila kuna maswali yasiyohesabika ambayo hayawezi kujibika na watu wanaotetea dhana hii ya HIV/AIDS.

AIDS haiambukizwi kwa njia yoyote hata kwa ngono zembe,HIV hasababishi ukimwi,Vipimo vya HIV ni feki,ARVs hazina faida yoyote zaidi ya hasara na hazitibu chochote na ndio hizi zinazosababisha ukimwi kwa wale wanaozitumia.

Fungueni akili mtajua tu,ninaamini mna uwezo mkubwa zaidi ya huo mlionao sasa,jitahidini kufungua akili na kuangilia upande wa pili wa ugonjwa huu feki.

Narudia; "HIV/AIDS IS A MINDSET DISEASE".HIV/AIDS IS NOT REAL.
Mkuu Shukran sana Nimegain kitu hapa kwny hili Bandiko kuna kitu Fikirishi kwa sisi wenye Asili ya Kuchunguza vitu kwa Undani wake.

Kuna haja ya Kufanya deep research juu ya hili suala!
 
UKIMWI upo tena sana asikudanganye mtu ,kuhusu PEP nafikiri aim ni wameweka kwa wafanyakazi wa afya sababu wanakuwa exposed sna yan mfano hapa m nimeanza dose week iliyopita baada ya kumwagikiwa na damu pia wanapewa wanawake waliobakwa.

Mind you PEP ni Arvs so tunapewa msaada la sivyo hatuwez kuafford na ARVs zimeletwa ili kupunguza maambukizi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwingine kwa kufatilia wingi wa virusi vyake(viral load counts) sasa ukisema wapewe kila mtu hizi gharama sisi hatuwez

Antiretroviral therapy cost an average of$9360 per year for each patient with a CD4 cell count below 50 cells/mm3. This compared to average annual costs of between$11,800 and $12,313 for those with higher CD4 cell counts. Antiretroviral therapy was most expensive for those with the highest CD4 cell counts.

Angalia gharama hyo alafu jifikirie marambili
Mwaka jana ilizinduliwa research baadhi ya mikoa ambazo zimelewa pep za unakunywa siku7 ndo unaenda kudinyana sijajua research kama imeisha
 
UKIMWI upo tena sana asikudanganye mtu ,kuhusu PEP nafikiri aim ni wameweka kwa wafanyakazi wa afya sababu wanakuwa exposed sna yan mfano hapa m nimeanza dose week iliyopita baada ya kumwagikiwa na damu pia wanapewa wanawake waliobakwa,Mind you PEP ni Arvs so tunapewa msaada la sivyo hatuwez kuafford na ARVs zimeletwa ili kupunguza maambukizi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwingine kwa kufatilia wingi wa virusi vyake(viral load counts) sasa ukisema wapewe kila mtu hizi gharama sisi hatuwez
Antiretroviral therapy cost an average of$9360 per year for each patient with a CD4 cell count below 50 cells/mm3. This compared to average annual costs of between$11,800 and $12,313 for those with higher CD4 cell counts. Antiretroviral therapy was most expensive for those with the highest CD4 cell counts.
Angalia gharama hyo alafu jifikirie marambili
Mwaka jana ilizinduliwa research baadhi ya mikoa ambazo zimelewa pep za unakunywa siku7 ndo unaenda kudinyana sijajua research kama imeisha
Sorry sio pep ni pre
 
Hizi ndizo basics/misingi ambayo watu kama ninyi hawana.Ili uelewe kwamba HIV/AIDS ni feki inabidi kwanza uwe na basic knowledge ya vitu kama hivi.

Watu wengi ukiwemo na wewe hamuwezi kutofautisha kati ya VVU na UKIMWI.Kwenye akili zenu mmeshajiwekea kasumba kwamba VVU ndio UKIMWI na UKIMWI ndio VVU.Ni vigumu sana kuelewa kile ninachozungumzia mimi kama huna uelewa wa mambo madogo kama haya.

1.VVU na UKIMWI ni vitu viwili tofauti
2.Hukuna mtu aliyepinga kwamba UKIMWI haupo.UKIMWI upo ila hausababishwi na VVU.
3.UKIMWI=Upungufu wa Kinga Mwilini,Kumbe kama hiki ndicho kirefu cha Ukimwi,basi kila mtu aliwahi na anaweza kuwa na ukimwi katika maisha yake bila ya kuwa na huyo VVU(feki),kama hali vizuri,hanywi maji safi na salama,anakunywa sana pombe bila kula vizuri,anatumia sana madawa ya hospitali mara kwa mara,anatumia sana madawa ya kulevya,anatumia sana madawa ya kuhamasisha kujamiiana,ana msongo mkali wa mawazo nk.Na specifically kile tunachokiona kwa watu wanaoumwa sana mitaani/mahospitalini ambao wanatumia ARVs ni wazi kwamba kimesababishwa na ARVs na si VVU kama wengi wanavyodhani.

4.UKIMWI unapona tena wakati mwingine hata bila muathirika kujijua.Kama muathirika atabadili style yake ya maisha na kuepukana na mambo tajwa hapo juu basi kinga yake itapanda na kurudi katika hali ya kawaida.Watu huumwa mara nyingi kwa kuwa kinga zao huwa zimeshuka,yaani wana UKIMWI,lakini hawana VVU.Ndio maana ukisambaza vijidudu vya TB hewani kwenye kundi la watu 10,pengine 2 au 3 ndio watapata TB,hii ni kwa sababu kinga zao ziko chini,yaani wana UKIMWI(lakini hawana VVU),na wale 7 au 8 hawajapata TB kwa kuwa kinga zao ziko juu.Ukiwatibia watu hawa 2 au 3 wanapona kabisa TB na wanarudi katika hali yao ya kawaida bila ya kutumia ARVs.

5.UKIMWI hauui,kinachoua ni ugonjwa ambao unajulikana kama vile malaria au TB ambao unamwingia mtu kama mtu huyo kinga yake iko chini,yaani ana UKIMWI(lakini hana VVU).Watu wengi wamejazwa kasumba hii kwenye bongo zao kwa kusikia au kuona matangazo mbalimbali mara kwa mara bila ya hata kujiuliza,ndio maana sasa hivi nikisema UKIMWI hauui watu wanashangaa.

Hebu jiulize kidogo tu.Kama kinga yako imeshuka,yaani una UKIMWI(huna VVU).Halafu ukawekwa kwenye mazingira ambayo ni 'disease free',Je, UKIMWI(upungufu wa kinga) utakuua?

Si mantiki kusema timu ya mpira wa miguu haitafanikiwa kunyakua kombe kwa kuwa beki wake mmoja amepewa kadi nyekundu.Ili timu isinyakue kombe lazima ifungwe/ishindwe/ipoteze mchezo,kupoteza beki mmoja kwa kadi nyekundu si kigezo pekee cha kufungwa.

Hivyo basi,ni mantiki kusema kwamba,timu haitafanikiwa kunyakua kombe kama itafungwa/itashindwa/itapoteza mchezo.

Siku utakaporuhusu akili yako ianze kutumika ndipo utakapokuwa huru kutoka kwenye kifungo hiki cha muda mrefu cha VVU/UKIMWI.
Mkuu hebu teremsha nondo zaidi hapa naona point zina mantiki tupu kabisa
 
Deception unawapotosha watu

Mjitahidi kujifunza jinsi ya kujadili kwa hoja...wenzetu wazungu wametuacha mbali sana kimaendeleo kwasababu wanafanya mambo kwa kutumia mantiki,wakiona/kusikia jambo jipya huwa hawapingi tu hovyo,kwanza wanafuatilia,kisha wakishaelewa ndio wanaanza kujadili,tena wanajadili si kwa lengo la kupinga,bali kwa lengo la kuelewa...sisi hatuko hivyo.
 
UKIMWI upo tena sana asikudanganye mtu ,kuhusu PEP nafikiri aim ni wameweka kwa wafanyakazi wa afya sababu wanakuwa exposed sna yan mfano hapa m nimeanza dose week iliyopita baada ya kumwagikiwa na damu pia wanapewa wanawake waliobakwa,Mind you PEP ni Arvs so tunapewa msaada la sivyo hatuwez kuafford na ARVs zimeletwa ili kupunguza maambukizi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwingine kwa kufatilia wingi wa virusi vyake(viral load counts) sasa ukisema wapewe kila mtu hizi gharama sisi hatuwez
Antiretroviral therapy cost an average of$9360 per year for each patient with a CD4 cell count below 50 cells/mm3. This compared to average annual costs of between$11,800 and $12,313 for those with higher CD4 cell counts. Antiretroviral therapy was most expensive for those with the highest CD4 cell counts.
Angalia gharama hyo alafu jifikirie marambili
Mwaka jana ilizinduliwa research baadhi ya mikoa ambazo zimelewa pep za unakunywa siku7 ndo unaenda kudinyana sijajua research kama imeisha

Ulivyoanza tu kwa kusema 'ukimwi upo',tayari nimekuweka kwenye kundi la wasioelewa wanajadili kitu gani...kwani wapi nimesema hakuna ukimwi?

Kuna watu unatakiwa kuwa makini sana kama unajadiliana nao,mimi ni mmojawapo.Hivyo kuwa makini....onesha sehemu ambayo mimi nimesema hakuna ukimwi.
 
Mjitahidi kujifunza jinsi ya kujadili kwa hoja...wenzetu wazungu wametuacha mbali sana kimaendeleo kwasababu wanafanya mambo kwa kutumia mantiki,wakiona/kusikia jambo jipya huwa hawapingi tu hovyo,kwanza wanafuatilia,kisha wakishaelewa ndio wanaanza kujadili,tena wanajadili si kwa lengo la kupinga,bali kwa lengo la kuelewa...sisi hatuko hivyo.
Deception uliadimika sana aisee
 
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"

Naona bado kuna watu wasiojua ukweli kuhusu HIV/AIDS,mnasimuliana hadithi za kusadikika.Mtu yeyote mwenye akili timamu akiruhusu akili yake ifikirie upande wa pili wa HIV/AIDS basi atauona waziwazi uongo wote kuhusu ugonjwa huu feki katika kila nyanja.

"HIV/AIDS is a mindset disease"

Ukimwi hausababishwi na HIV,hakuna kirusi chenye uwezo wa kushusha kinga ya mtu yeyote.ARVs zikiwemo PEP ndio mpango mzima,ARVs ndio zinazosababisha Ukimwi kwa wale wanaozitumia.

Wanachokifanya hawa jamaa ni kwamba;
-Wanakwambia kwamba ukimwi unasababishwa na HIV kwa kutumia kampeni na matangazo ya kutisha ili kurubuni akili yako.

-Wanakupima na vipimo vyao feki ambavyo si kweli kwamba vinapima HIV,halafu wanakusingizia kwamba una HIV.

-Baada ya hapo wanakwambia utumie madawa feki ya ARVs ambayo hayatibu chochote na hayana faida yoyote mwilini zaidi ya hasara huku ukiamini kwamba yanapunguza makali ya ukimwi kumbe si kweli.

-Halafu ARVs ndizo zinakusababishia ukimwi baada ya kuzitumia kwa muda fulani huku ukimsingizia HIV ambaye ni hewa kwamba ndiye amesababisha.Kumbe mchawi hapa ni ARVs.

Wagonjwa wote wanaotumia ARVs ambao wana hali mbaya kiafya huwa wanakuwa na magonjwa yafuatayo;

1.Matatizo ya MOYO,

2.Matatizo ya INI,ini kufeli

3.Matatizo ya FIGO,figo kufeli

4.Upungufu wa damu,ANAEMIA,

5.CANCER,

6.Kisukari.

Haya ndiyo matatizo yanayowauwa watumiaji wa ARVs.Kama huamini fuatilia kwenye vituo vya afya ujionee mwenyewe.

Swali;

Je,matatizo hayo hapo juu yanasababishwa na HIV?Kama kweli,je ni kivipi?Kama si kweli,je nini husababisha matatizo hayo?

Jibu la kweli;

Matatizo hayo yote hapo juu hayasababishwi na HIV bali husababishwa ARVs.ARVs zinaleta LACTIC ACIDOSIS kwenye damu ambayo ndio mzizi wa matatizo yote hapo juu.Cell za mwili zinaishi katika hali ya ukosefu wa hewa ya oksijeni kwa muda wote wa matumizi ya ARVs(fermentation),cell hudhoofu na kufa(UKIMWI,KISUKARI) na nyingine hupata mutation na kuanza abnormal division(CANCER),madini kama calcium na magnesium hupotea mwilini ili kubalance alkalinity level ambapo madini haya ni muhimu ktk relaxation na contraction ya misuli ya moyo(matatizo ya moyo),pia madini ya Ca ni muhimu kwa uimara wa mifupa.Sumu hii ya ARVs inadhoofisha bone marrow ambayo ndio mzizi wa kuzalisha damu(ANAEMIA),sumu hii pia inafanya ini lishindwe kufanya kazi yake hivyo pia hupelekea figo kushindwa kufanya kazi.

ARVs ndio ukimwi wenyewe na sio HIV kama wengi wanavyodhani.HIV ni hewa tu,ARVs eg PEP ndio mpango mzima lakini watu bado hawajui na wanazidi kuzipigia debe dawa hizi hadi leo hii.Walioanzisha uongo huu wanajua ukweli wote huu,kazi kwetu sisi watu wa dunia ya tatu kutegua mtego huu.

HIV/AIDS ni biashara ya ARVs tu na si vinginevyo.Siku hizi kampeni za kupima bure zimepamba moto,watu wanadhani wamarekani wanatupenda sana,la hasha,ukweli ni kwamba wanatafuta wateja wa ARVs kwa nguvu zote kwa kutumia vipimo vyao feki vilitengenezwa kwa sayansi ya kijanja ili viwapatie wateja wengi zaidi.

Kampeni dhidi ya ugonjwa huu feki nazo ni feki pia,na ndio maana huwezi kamwe kusikia dawa au kinga ya ugonjwa huu feki imepatikana,hii ni kwa sababu ugonjwa wenyewe ni feki.Kama kuna mtu anadhani kuna swali lolote lenye utata mimi kulijibu ninawaambia kwamba hakuna swali lenye utata hapa.Ila kuna maswali yasiyohesabika ambayo hayawezi kujibika na watu wanaotetea dhana hii ya HIV/AIDS.

AIDS haiambukizwi kwa njia yoyote hata kwa ngono zembe,HIV hasababishi ukimwi,Vipimo vya HIV ni feki,ARVs hazina faida yoyote zaidi ya hasara na hazitibu chochote na ndio hizi zinazosababisha ukimwi kwa wale wanaozitumia.

Fungueni akili mtajua tu,ninaamini mna uwezo mkubwa zaidi ya huo mlionao sasa,jitahidini kufungua akili na kuangilia upande wa pili wa ugonjwa huu feki.

Narudia; "HIV/AIDS IS A MINDSET DISEASE".HIV/AIDS IS NOT REAL.
Upo deep sana, endelea kutuelimisha aseee,much respect
 
Deception uliadimika sana aisee
Ni kweli aliadimika, kiukweli mkuu deception naweza sema Ni moja ya watu walionifanya nijiunge rasmi jf.
Na kauli yake anayoitumia ya "usibishe Jambo jipya Ila lijadili ukiwa open minded imenisaidia sana"
Jf idumuuuuuu🙏🙏🙏🙏
 
Ni kweli aliadimika, kiukweli mkuu deception naweza sema Ni moja ya watu walionifanya nijiunge rasmi jf.
Na kauli yake anayoitumia ya "usibishe Jambo jipya Ila lijadili ukiwa open minded imenisaidia sana"
Jf idumuuuuuu[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Mtu kama deception inabidi tumtumie sana??
 
UKIMWI mnavyouchukulia sivyo ulivyo, huu ni mradi kama BRT tu, by the way huwezi jua km umeathirika within 72 hours unless otherwise uwe unafahamu kama uliyefanya nae mapenzi ni muathirka. is ol I knw
Pamoja na HIV AIDS kuwa mradi; ukweli ni kuwa UPO uwezekano wa kujua kama una HIV ndani ya masaa 72, hata chini ya masaa hayo ! Changamoto ni kuwa watu hawaambiwi kipimo hicho sababu ni vichache na gharama kubwa sana! Nchini hupatikani hospital ya Taifa na BMC!
 
Back
Top Bottom