ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Daaah yamenikuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona jamaa yako anakushirikisha hadi jinsi alivyofanya Oral Sex!No Siyo mimi Mkuu
Seriously huu ndio UkweliMmmnh...Kwanza kuwa mkweli...Uzi wako kuna kitu unaficha.!
Tulia tu mkuu mpaka siku 30 ziishe utamuharibu huyo binti mwingine Kuna mechanism behind ufanyaji kazi wa pep ambao kuelezea ni muda ila kwa asilimia kubwa sio salama kwako na kwake tulia na pep na ule sana bila kuzidishia muda wa kutumia dawa.Kwa Sababu alivyokuja kuomba Ushauri nilimbana anieleze ukweli wa mazingira yaliyokuwepo ili niweze kumshauri cha Kufanya
Nitamfikishia Ushauri huu MkuuTulia tu mkuu mpaka siku 30 ziishe utamuharibu uyo binti mwingine
Kuna mechanism behind ufanyaji kazi wa pep ambao kuelezea ni muda ila kwa asilimia kubwa sio salama kwako na kwake tulia na pep na ule sana bila kuzidishia muda wa kutumia dawa
Angalia usije kujuta mjuba ..
...[emoji4][emoji23] kwamba yawezekana kapigwa pira yeye mwenyewe?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mmmnh...Kwanza kuwa mkweli...Uzi wako kuna kitu unaficha.!
[emoji1][emoji1][emoji1]Naona jamaa yako anakushirikisha hadi jinsi alivyofanya Oral Sex!
Sawa, sasa huyo dada amegundua kuwa Positive jana hiyohiyo ??
Vipi alipokuambia anangoma. Hukumuamin mpaka ulipomwaga ndo akili ikarudi?Wakuu Salama! Kuna Jamaa yangu ameanza Doze ya PEP Siku Moja iliyopita baada ya Kujihisi yupo hatarini.
Lakini hakufanya Ngono ya Kumuingilia Huyo mdada, Isipokuwa alifanya Oral Sex tu, ambayo haikuchukua hata Dakika 2..
DuhWatanzania akili zenu sijui mnapeleka wapi aisee,sasa kama anatumia PEP ,kilichompelekea afanye tena ngono kabla ya dozi kuisha ni nini? Anyway hapo lolote linaweza kutokea,kama huo uzinzi bado haujazidi masa 24,nashauri huyo mzinzi mwenzie akachukue doI za PEP pia