Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Watanzania akili zenu sijui mnapeleka wapi aisee,sasa kama anatumia PEP ,kilichompelekea afanye tena ngono kabla ya dozi kuisha ni nini? Anyway hapo lolote linaweza kutokea,kama huo uzinzi bado haujazidi masa 24,nashauri huyo mzinzi mwenzie akachukue doI za PEP pia

Kama huyu jamaa aliyejiprick na sindano alipimwa alikuwa negative, ndipo akaanza kutumia PEP kama kizuizi cha kusambaa na kuongezeka kwa kimelea wa UKIMWI basi yule aliyesex naye atakuwa safe au nafasi ndogo sana kupata maambukizi.

Wewe uliye kwenye PEP endelea dose yako mpaka siku 30 zitimie. Na baada ya hapo hakikisha unapima tena kuangalia kama PEP yako imefanikisha kufubaza kimelea cha HIV. Yule anayepaswa kuwa hofu sana ni yule uliyesex naye bila kinga,ikiwa tu wewe ulikuwa mgonjwa kabla ya kujichoma sindano.

Kama ile sindano ilikuwa na vimelea na ulianza PEP ndani ya masaa 72 na UKAWA UNATUMIA SAWA SAWA NA MASHARTI YAKE, viral load itakuwa chini sana kiasi kwamba uwezekano wa kumuabukiza mwingine ni mdogo mnooo. Ondoa shaka, hakikisha tu unatumia kinga unapofanya ngono na upime tena baada ya zile siku thelathini ili kujua kama dawa imefanya kazi au imeshindwa.

Pole na asubuhi njema kwako
 
Habari wadau, ndugu watanzania wangwana wana jf, naomba mchango wenu. Natumia PEP kama nilivyoshauriwa na wana jf baada ya mkasa fulani, naomba kujua side effects zake na nin nifanye kiafya, naamini wapo wataalamu na mawazo tofaut tofaut humu. Asante
Vp kiongoz nitafute nikupe details
 
Nimechanganyikiwa mana nimepasukiwa na condom wakati tukifanya mapenzi ikabidi tukapime nikakuta kumbe mwenzangu ana VVU wamenipa dawa PEP. Imetokea leo asubuhi hayajapita masaa 24 nimemeza PEP

Je kweli zitanikinga?

Update
======

Nimepima tarehe 6/10/2017 nipo HIV negative, nina furaha saana maana nilitembelea rim, nimejifunza jambo kubwa saana katika maisha yangu....


================================
Ilivyokuwa

====!!!!!=====
Alikuja kunitembelea toka mkoani tarehe 21 June 2017, tunagegedana kwa kinga, siku hiyo ya tarehe 21 mara mbili kisha tukalala, Asubuhi kabla sijatoka tunagegedana, nikiwa nakaribia kufika climax condom ikapasuka, nikamalizia, Nilipomaliza nikapata hofu maana sikuwa najua status yake.

Nikamwambia tukapime alikubali tukaenda hospital kupima. Nikaona ana hofu japo amekubali ikabidi nisisitize kwenda ,tukaenda dispensary kupima.

Tulipofika tukatoa damu tukaambiwa tusubiri, Baada ya dakika 10-15 akaitwa akatolewa damu tena. Nikaanza kupata hofu.

Muda wa majibu ulipofika tukaitwa, kufika ndani baada ya mazungumzo na yule mtoa Ushauri yaliyodumu kwa nusu saa akauliza mpo tayari kupokea majibu!? Tukasema ndio, akasema "kaka hongera sana majibu yako ni mazuri hauna maambukizi, Dada unaishi na maambukizi ya virus vya UKIMWI".

Nikajieleza juu ya mkasa wa kupasukiwa na condom, wakanipa dose ya pep for 28 days.

Hizo dawa ni kali vibaya mno, zinalevya hatari yaani Unachoka unajihisi kuumwa, mawenge na ndoto za ajabu ajabu kila siku. Asee asikuambie mtu ni dawa strong sana.

Yule binti alikataa kuanza clinic, akadai yeye Si Mgonjwa hana maambukizi
Duu hatari sana
 
PEP inatolewa kabla ya masaa 72 tangu umetembea na mtu ambaye ameathirika au kujichoma sindano au vifaa vya ncha kali toka kwa mtu ambaye ameathirika sasa kwa story yako hujatuambia ulipewa PEP ulishatembea na huyo mtu je kama ulishatembea nae unauhakika mpk unapewa PEP masaa 72 yalikua hayajaisha kama yalishaisha posibility yako yakupona inategemea haukupata mchubuko wowote na si vinginevyo so please ukimaliza PEP unatakiwa upime palepale na utakaa muda kidogo urudie tena lakini masaa 72 ndio mwongozo wako muhimu hapo
Hii PEP ni kitu gan mkuu
 
Laana ya Mke hiyo inaitwa. Ungelivagaa sijui ungemwambiaje mkeo
 
Wasiwasi wako tu,
endelea kutafuta mtoto
ukimwi hata kama upo sio tishio kivile,una miaka 28,ukiupata leo utaanza kuchoka miaka 30 ijayo,si tayari hata kama sio ukimwi safari ya kwenda mbinguni huwa ishaanza.

Huyo uliempima sijui yuko positive,anaweza kuku outlive ndo ubaki unashangaa.
nimesoma mara 2-2 ulicho andika, ni vile hauna ama ujapitia mapito hatarishi hili dude linatish balaa kwa mawazo tu huwezi maliza mwaka.
 
PEP inatolewa kabla ya masaa 72 tangu umetembea na mtu ambaye ameathirika au kujichoma sindano au vifaa vya ncha kali toka kwa mtu ambaye ameathirika sasa kwa story yako hujatuambia ulipewa PEP ulishatembea na huyo mtu je kama ulishatembea nae unauhakika mpk unapewa PEP masaa 72 yalikua hayajaisha kama yalishaisha posibility yako yakupona inategemea haukupata mchubuko wowote na si vinginevyo so please ukimaliza PEP unatakiwa upime palepale na utakaa muda kidogo urudie tena lakini masaa 72 ndio mwongozo wako muhimu hapo
Alizingatia taratibu zote,mda na matumizi ya dawa kwa usahihi over.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 688059

Kama View attachment 688061

Habari zenu wanaJF,

Mwezi mmoja uliopita nilileta uzi kuhusiana na kutembea na binti mwenye VVU,

Lengo kuu la kutembea na huyo binti ilikuwa ni tamaa ya kutaka kupata mtoto hata nje ya ndoa kwani mke wangu hana uwezo wa kupata ujauzito! Nimeishi nae toka 2010 lakini mpaka sasa hajawahi kupata ujauzito.

Tulienda hospital zifuatazo kutaka kupata tiba na suluhisho lakini imeshindikana. Saint Gasper Itigi, Upendo hospital (Dodoma), Agha Khan (Dodoma), General hospital (Dodoma), CF (Mwanza), Kamanga (Mwanza), Sekuture (Mwanza), Bugando (Mwanza) kwa Dkt Mwaka ( mtaalamu wa tiba mbadala- Ilala Bungoni)

Huko kote sio tu alikuwa anapatiwa peke ake matibabu, lah hasha hata mimi nilikuwa napimwa sperm analysis, nakuonekana niko poa.

Kisa cha mke wangu kutopata ujauzito ndio kilichonipelekea kutoka nje ya ndoa.

Mara baada ya kutembea na huyu mdada niliamua kwenda kumpima ili tuanze rasmi safari ya kutafuta mtoto tukiwa tunajiamini sote.

Tulipoenda maabara, huyu binti aligundulika kuwa +, sikuamini, nikamchukua kwenda maabara nyingine, majibu yalikuwa yale yale tu yaani she was HIV positive.

Immediately nikaamua kwenda Angaza, nikapewa hizo (PEP) nikaambiwa nizitumie mwezi mzima kisha nipime tena baada ya kumaliza hiyo dozi.

Kiukweli dawa hizi zinamaudhi sana mwanzoni, ndoto za ajabu, njaa kuumua kupita kiasi na kichefuchefu.

Doz hiyo nimemaliza juzi, so nilikuwa najishauri kwenda kupima huku moyo mwingine ukisita lakini nikaamua bora niende tu liwalo na liwe, maana hakuna kitachobadilika kama nitakuwa nimeathirika ni bora nijijue mapema tu! Basi bwana, nikaenda maabara, nimepimwa na kukutwa mzima (negative), hakika sikuamini ilibidi nimwelezee huyo aliyenipima situation ilivyokuwa, akasema hiyo inawezekana ukatembea na mwenye HIV kama kutakuwa na maandilizi ya kutosha na kusitokee mchubuko basi ni nadra zana kuambukizwa kwa mtu aliye negative.


Napenda kumshukuru mungu kwa kuniepusha na hili janga, na safari yangu ya kutafuta mtoto nje ya ndoa, nimeifuta rasmi.

Najua nawachosha lakini hiyo ndio hali halisi.

Hapa chini ni kopo la hizo dawa na majibu yangu, Mara baada ya kupima Leo.


Onyo! UKIMWI HAUJARIBIWI!KONDOM NI MUHIMU SANA!
nimesoma mara 2-2 ulicho andika, ni vile hauna ama ujapitia mapito hatarishi hili dude linatish balaa kwa mawazo tu huwezi maliza mwaka.
Babu ww ushatumia hiyo pep
 
Kwahyo swala la kupata mtoto limeishia wapi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Unajuwa unaweza ukawa hujaandikiwa kupata mtoto Bas kufoc foc nako n kubaya! Its better to stay calm! Nitafanya mpango wa kuwa natembelea vituo vya Watoto yatima ili kumaliza kiu yangu ya Watoto, ila siyo kuzaa nje tena

Acha uoga... tafuta dem pima nae kwanza, ndio muanze harakati za kutafuta mtoto..

Ww ni champion hutakiwi ku loose fight


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
USIKATE TAMAA YA KUPATA MTOTO KWA MKEO,JARIBU KUMTAFUTA POPOTE ALIPO DR MMOJA NADHANI JINA NI PROF:MAJINGE, sina hakika kama jina nimelipatia vizuri....naamini tatizo lako atalimudu vizuri tu.
 
Ukiwa unatumia hzo PEP ukaanza kukohoa kidogo unajihisi kama mambo tayari dah achanaga na mambo ya ngono isiyo salama kabisa sio poa wadau
 
Hicho kichefu chefu kitaendelea si mnajifai mabingwa wa kudanga kila binti mzuri mnataka kuzama pm

Sent using i phone x
 
Back
Top Bottom