Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Ok poa Boss
Hizi dawa hupati kwenye Phramacy maana haziuzwii...!! Zinatolewa bure na serikali. Nenda kituo cha afya au hospital yoyote iliyo karibu utapimwaa kujua status yako kwanza then utapewa Hizo dawa utumie kwa mwezi mzima. wahi kabla ya Masaa 72 hajaishaa.
 
Hizi dawa hupati kwenye Phramacy maana haziuzwii...!! Zinatolewa bure na serikali. Nenda kituo cha afya au hospital yoyote iliyo karibu utapimwaa kujua status yako kwanza then utapewa Hizo dawa utumie kwa mwezi mzima. wahi kabla ya Masaa 72 hajaishaa.
Shukrani
 
Samahani naomba Sana msaada ni wapi naweza pata hizi dawa zinaitwa PreP condom ilipasuka kazini

Naweza pata wapi nimetembea phamarcy mbili nimekosea Mimi Niko mwanza

Nisaidie wajuba Hali ngumu
Ulifanikiwa kupata?
 
Samahani naomba Sana msaada ni wapi naweza pata hizi dawa zinaitwa PreP condom ilipasuka kazini

Naweza pata wapi nimetembea phamarcy mbili nimekosea Mimi Niko mwanza

Nisaidie wajuba Hali ngumu
Huwezi kupata phamarcy hata iweje. Nenda Kituo cha Afya au Hospitali iliyo karibu na wewe. Ushauri wangu ukifika, pima VVU kwanza. Ukionekana +ve, safari yako ya kupata PEP itakuwa imekufa rasmi, labda uanze utaratibu wa kupata ARV.

Lakini kama utaonekana negative, waambie hiyo situation ya yako ya kwanza hapo juu kuwa ulipasukiwa na mpira au ulikula dry, watakuelekeza sehemu ya kwenda.

Ukifika hapo (uwe na uthibitisho wa majibu yanayoonesha kuwa huna maambukizi), waambie ulipasukiwa na tairi kwa bahati mbaya, ukisema ulitembelea rim kabisa watakusema sana.

Hapo watachukua maelezo yako kama vile jina, makazi, umri nk.

Baada ya hapo utapewa kopo la PEP la kutumia mwezi mmoja bila kukosa.

TUJIHADHARI, UKIMWI UPO!
 
Samahani naomba Sana msaada ni wapi naweza pata hizi dawa zinaitwa PreP condom ilipasuka kazini

Naweza pata wapi nimetembea phamarcy mbili nimekosea Mimi Niko mwanza

Nisaidie wajuba Hali ngumu
Pharmacy huwezi kuzikuta hizo ni dawa za msaada halafu kama uliwahi ndani ya saa 72 ndio effective otherwise yakupasa kufuata utaratibu mwingine sijui kama Tanzania walibadili sera hiyo au vipi
 
Je virusi vya ukimwi hutokeaje? Na je mtu anaetumia dawa anawezaje kumuambukiza mwingine, na je unaweza fanya mapenzi na mwathirika asikuambukize ili hali hatumii dawa?
 
Hayo maswali yako yashawajadiliwa katika nyuzi zilizopita...tena zipo nyuzi nyingi mno zinazoelezea HIV kwa undani zaidi... Tafuta
 
Punguza presha brother, utakondeshwa na mawazo uje useme ni UKIMWI. Just relax, hutaishi milele hata hivyo, unaweza kukosa UKIMWI ukaja kufa kwa Malaria.
 
Habarini Wana Jf

Nana kuuliza na kusaidia kwa haraka kuhusu PEP, maana nasikia ikitokea umezini na mtu ambaye haumjui au wasiwasi nae afu ukameza PEP kama Ni muathirika unaweza okoka kupata VVU/UKIMWI.

Msada wa haraka tafadhali nikujua pia Bei na mahala zinapopatikana ntashukuru.
 
Wahi kabla ya masaa 72 kwenye vituo vya afya utapata maelezo zaidi.
 
Back
Top Bottom