Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

Tuhuma ya kutakatisha fedha na kufanya upatu na sio biashara
Hizi ni Tuhuma tu na nyuma ya Tuhuma kuna mambo mengi na fitna zinaendelea. Tusiwe wepesi kutuhumu na kuita watu matapeli kwa kusoma tu JF. Hawa jamaa mie nawajua. Sijaweka pesa zangu lakini wana miradi ya kuku na wanauza sana. Toka nimesikia hizi habari za account zao kuzuiliwa kwa kufanya Upatu sijaelewa kabisa. Wanauza Kuku kwa wingi sana na bei zao ni rahisi mno. Mimi kila mwezi nanunua Kuku kwao na ukienda kununulia shambani unauziwa kila Kuku Sh5,500 na kuku ni mkubwa, very compepetive prices.

Uchunguzi ufanyike haki ipatikane, kama matapeli basi wapate haki yao na kama si matapeli waachiwe mradi wao sababu wameajiri vijana wengi sana wanajipatia kipato halali na kuna wananchi wamewekeza pesa zao.

Haki ndio kitu cha muhimu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ni Tuhuma tu na nyuma ya Tuhuma kuna mambo mengi na fitna zinaendelea. Tusiwe wepesi kutuhumu na kuita watu matapeli kwa kusoma tu JF. Hawa jamaa mie nawajua. Sijaweka pesa zangu lakini wana miradi ya kuku na wanauza sana. Toka nimesikia hizi habari za account zao kuzuiliwa kwa kufanya Upatu sijaelewa kabisa. Wanauza Kuku kwa wingi sana na bei zao ni rahisi mno. Mimi kila mwezi nanunua Kuku kwao na ukienda kununulia shambani unauziwa kila Kuku Sh5,500 na kuku ni mkubwa, very compepetive prices.

Uchunguzi ufanyike haki ipatikane, kama matapeli basi wapate haki yao na kama si matapeli waachiwe mradi wao sababu wameajiri vijana wengi sana wanajipatia kipato halali na kuna wananchi wamewekeza pesa zao.

Haki ndio kitu cha muhimu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa hawana tofauti na Namaingo acha kuwatetea...
 
Bora mtu kama unaamua kuwekeza wekeza kivyako usimame ww kama ww, miaka ya nyuma kuna watu walikuja wasema unanua sungura mmoja laki moja wanakuwa wanakufugia wao ! Ww unakua unaenda kukagua sungura wako wanaendeleaje, mm nlivyosikia hadithi hzoo nikasema hapa kuna upigaji, nikaachanao, nasikia huko nako watu waligwa, nilivyoona ya mr kuku nikajua ndo yale yale
 
[emoji16][emoji16][emoji16].
Wewe utakuwa ni muhusika mmoja wapo.
Hizi ni Tuhuma tu na nyuma ya Tuhuma kuna mambo mengi na fitna zinaendelea. Tusiwe wepesi kutuhumu na kuita watu matapeli kwa kusoma tu JF. Hawa jamaa mie nawajua. Sijaweka pesa zangu lakini wana miradi ya kuku na wanauza sana. Toka nimesikia hizi habari za account zao kuzuiliwa kwa kufanya Upatu sijaelewa kabisa. Wanauza Kuku kwa wingi sana na bei zao ni rahisi mno. Mimi kila mwezi nanunua Kuku kwao na ukienda kununulia shambani unauziwa kila Kuku Sh5,500 na kuku ni mkubwa, very compepetive prices.

Uchunguzi ufanyike haki ipatikane, kama matapeli basi wapate haki yao na kama si matapeli waachiwe mradi wao sababu wameajiri vijana wengi sana wanajipatia kipato halali na kuna wananchi wamewekeza pesa zao.

Haki ndio kitu cha muhimu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Bora mtu kama unaamua kuwekeza wekeza kivyako usimame ww kama ww, miaka ya nyuma kuna watu walikuja wasema unanua sungura mmoja laki moja wanakuwa wanakufugia wao ! Ww unakua unaenda kukagua sungura wako wanaendeleaje, mm nlivyosikia hadithi hzoo nikasema hapa kuna upigaji, nikaachanao, nasikia huko nako watu waligwa, nilivyoona ya mr kuku nikajua ndo yale yale
Dunia inabidilika na mifumo ya kibiashara na uendeshaji wake inabadilika. Hawa mfumo wao ni mgeni hapa Tz lakini unafahamika duniani. Leo nimesikiliza hii video iliwekwa youtube ndio nimejifunza kuna huu mfumo waitwa Crowd Farming.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Huyu jamaa ni tapeli per se! Ole wenu mnaokubali kutapeliwa mchana kweupe tena kwa jambo lililo dhahiri. Nina uhakika fedha zenu zitapotea na hamtakuwa na namna ya kumshtaki kwani anafanya utapeli wa kisayansi! Anafuata sheria zote na mwisho wake jibu litakuja kuwa ''kampuni ilifikilisika kama biashara yoyote inavyoweza kufilisika''. Na sheria itakuwa upande wake kwani ninyi wawekezaji mmejiunga kwa hiyari baada ya kuafiki katiba na kanuni za kampuni ikiwemo kufilisika.
 
Back
Top Bottom