Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

Huyu jamaa ni tapeli per se! Ole wenu mnaokubali kutapeliwa mchana kweupe tena kwa jambo lililo dhahiri. Nina uhakika fedha zenu zitapotea na hamtakuwa na namna ya kumshtaki kwani anafanya utapeli wa kisayansi! Anafuata sheria zote na mwisho wake jibu litakuja kuwa ''kampuni ilifikilisika kama biashara yoyote inavyoweza kufilisika''. Na sheria itakuwa upande wake kwani ninyi wawekezaji mmejiunga kwa hiyari baada ya kuafiki katiba na kanuni za kampuni ikiwemo kufilisika.
Utapeli wake uko wapi?

Ana mwaka wa tatu akiendesha mradi wake kwa mfumo huohuo, je ana rekodi ya kumtapeli mtu yeyote?

Uwekezaji ni lazika uwe wa kampuni za soda, beer au na bank? Kwamba uwezekaji kwenye ufugaji sio sahihi?

Je, kampuni kubwa ambazo watu wanawekeza huwa hazifilisiki?

Huyu bwana angehukumiwa kwa matumizi ya pesa za wawekezaji na sio kuweka general comments kwamba ni tapeli bila kueleza utapeli wake. Mbona hii mifumo inafanyika hata kwenye vikundi vyetu (formal na informal). Tunachangishana pesa na kuwekeza kwenye kilimo na miradi mingine kisha tunagawana faida.

Je, pesa anayokusanya anaiwekeza kwenye miradi inayohusiana na kuku au hakuna biashara yoyote ya Kuku na anafanya PONZI SCHEME?

Huyu bwana hayuko Ulaya, yuko Kigamboni na ana ofisi plus mashamba ya kuku, YENYE KUKU. Kabla hujaharibu biashara na miradi ya watu mtandaoni uende kwaza ukajiridhishe. GNLD na FOREVER LIVING nao walitukanwa sana kwamba wanafanya utapeli lakini mpaka leo wapo wanapiga mzigo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii bei ni bei elekezi kwa mikuku yote hiyo isiyowika.
Hakuna cha competitive price hapo.
Labda angekuwa anauza 4,500.
Hizi ni Tuhuma tu na nyuma ya Tuhuma kuna mambo mengi na fitna zinaendelea. Tusiwe wepesi kutuhumu na kuita watu matapeli kwa kusoma tu JF. Hawa jamaa mie nawajua. Sijaweka pesa zangu lakini wana miradi ya kuku na wanauza sana. Toka nimesikia hizi habari za account zao kuzuiliwa kwa kufanya Upatu sijaelewa kabisa. Wanauza Kuku kwa wingi sana na bei zao ni rahisi mno. Mimi kila mwezi nanunua Kuku kwao na ukienda kununulia shambani unauziwa kila Kuku Sh5,500 na kuku ni mkubwa, very compepetive prices.

Uchunguzi ufanyike haki ipatikane, kama matapeli basi wapate haki yao na kama si matapeli waachiwe mradi wao sababu wameajiri vijana wengi sana wanajipatia kipato halali na kuna wananchi wamewekeza pesa zao.

Haki ndio kitu cha muhimu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utapeli wake uko wapi?

Ana mwaka wa tatu akiendesha mradi wake kwa mfumo huohuo, je ana rekodi ya kumtapeli mtu yeyote?

Uwekezaji ni lazika uwe wa kampuni za soda, beer au na bank? Kwamba uwezekaji kwenye ufugaji sio sahihi?

Je, kampuni kubwa ambazo watu wanawekeza huwa hazifilisiki?

Huyu bwana angehukumiwa kwa matumizi ya pesa za wawekezaji na sio kuweka general comments kwamba ni tapeli bila kueleza utapeli wake. Mbona hii mifumo inafanyika hata kwenye vikundi vyetu (formal na informal). Tunachangishana pesa na kuwekeza kwenye kilimo na miradi mingine kisha tunagawana faida.

Je, pesa anayokusanya anaiwekeza kwenye miradi inayohusiana na kuku au hakuna biashara yoyote ya Kuku na anafanya PONZI SCHEME?

Huyu bwana hayuko Ulaya, yuko Kigamboni na ana ofisi plus mashamba ya kuku, YENYE KUKU. Kabla hujaharibu biashara na miradi ya watu mtandaoni uende kwaza ukajiridhishe. GNLD na FOREVER LIVING nao walitukanwa sana kwamba wanafanya utapeli lakini mpaka leo wapo wanapiga mzigo.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja kama hizi utawadanganya nazo hao wajinga wajinga wanaowaletea ninyi fedha zao na siyo mimi! Maisha yangekuwa rahisi namna hii mnayodanganya hii dunia isingekuwa na maskini. Ni suala la muda tu lakini ukweli utajulikana na wajinga wanaowapa fedha zao watabaki wanalia na kuomboleza.
 
Hoja kama hizi utawadanganya nazo hao wajinga wajinga wanaowaletea ninyi fedha zao na siyo mimi! Maisha yangekuwa rahisi namna hii mnayodanganya hii dunia isingekuwa na maskini. Ni suala la muda tu lakini ukweli utajulikana na wajinga wanaowapa fedha zao watabaki wanalia na kuomboleza.
Tumia akili, usiwe mjinga.
Jifunze, elewa ndio ukosoe. Tatizo lenu wajuaji wa JF huwa mnakimbilia kukosoa kabla hata ya kuelewa. Ni ujinga!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia akili, usiwe mjinga.
Jifunze, elewa ndio ukosoe. Tatizo lenu wajuaji wa JF huwa mnakimbilia kukosoa kabla hata ya kuelewa. Ni ujinga!

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea kinyume. Hapa unaniambie niwe mjinga ili unitapeli. Nimekumbia mtawapata hao hao wajinga wapenda vya mtelemko lakini siyo mimi. Mnakotaka kulalia ndiko nilikoamkia. Nina uhakika wa 100% ni suala la muda tu lakini watu mtaliza watu. Nimekuwa karibu na wafugaji kuku wa grade ya juu na wenye mtaji mkubwa kuliko huu mnaotapeli watu na sijaona mfugaji analipata faida kama hii mnayoahidi hapa.
 
na wanaoingiza hela kwa kununua hisa za makampuni makubwa km amazon na Facebook wanaingiza hela wakiwa wanafanyeje?

Mkuu umeelewa mfumo wa Mr Kuku lakini...!!?? Ni weka hela,, upate Hela. No any calculation, No any risk... Yaani Mfano ukiweka Laki na Nusu lazima upate Laki tatu. haijalishi biashara itaenda vipi...

Hakuna investiment isiyokuwa na Risk Mkuu,,,
Thank me later
 
Nimegundua kitu very simple logic...
Kwa kawaida Broilers wanakuwa kwa wiki 5 ambazo ni sawa na siku 35, sasa unaambiwa wekeza halafu unalipwa baada ya siku 180, Je simple mathematics katika 180 kuna 35 ngapi? Regardless ya cost atakayotumia katika kuwafuga, kuwatunza broilers hakosi faida nono .... Submitting.
 
Nimegundua kitu very simple logic...
Kwa kawaida Broilers wanakuwa kwa wiki 5 ambazo ni sawa na siku 35, sasa unaambiwa wekeza halafu unalipwa baada ya siku 180, Je simple mathematics katika 180 kuna 35 ngapi? Regardless ya cost atakayotumia katika kuwafuga, kuwatunza broilers hakosi faida nono .... Submitting.
Hii logic inaweza kuwa sawa ama isiwe sawa je hawa kukua anawauza kwenye soko gani na je umeshaajiuliza yeye atapata wapi pesa za kuwalipa watu endapo lets say watu ml5 wakiamua kujiunga kwa kila siku let say watu laki mbili mbili ataweza kupata wapi iyo pesa ya kuwalipa double times hawa watu laki mbili lets wote hawa laki mbili mbili kila mmoja amewekeza may be ml2 mbili mbili je unajua ni sh ngap jamaa atatakiwa kuwa nayo kwa kila siku ili awalipe hawa watu? Je ni kweli hii kampuni inauwezo wa kufanya production yenye uwezo wa kutengeneza iyo pesa per day na bado yeye akabaki na faida plus production cost nayo ikabaki alafu akalipa hawa watu kila siku?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa ni tapeli per se! Ole wenu mnaokubali kutapeliwa mchana kweupe tena kwa jambo lililo dhahiri. Nina uhakika fedha zenu zitapotea na hamtakuwa na namna ya kumshtaki kwani anafanya utapeli wa kisayansi! Anafuata sheria zote na mwisho wake jibu litakuja kuwa ''kampuni ilifikilisika kama biashara yoyote inavyoweza kufilisika''. Na sheria itakuwa upande wake kwani ninyi wawekezaji mmejiunga kwa hiyari baada ya kuafiki katiba na kanuni za kampuni ikiwemo kufilisika.

Zinafilisika stock markets uje kuwa kuku!

Hakuna uwekezaji audio na risk. The higher the risk the higher the return.

Kama umeamua kiwekeza popote na chochote jua uwezekano wa kupata na kukosa ni 50/50.

Ni kwamba kwenye kuwekeza kuna 50% chance ya kupata faida na 50% chance ya kupata hasara.
 
Kwa kweli ukubwa wa faida anaounadi ndio unaostua
Habari wana chamvi, nimesoma uzi kuhusu mada tajwa hapo juu nami nataka kushirikishana uzoefu wangu kuhusu huyo 'mwekezaji".

Huyo bwana anaitwa Tariq, mwaka juzi 2018 nilisoma bandiko lake fb kuhusu mradi wa kilimo cha nyanya cha umwagiliaji, ahadi ilikuwa nzuri kuhusu faidi ambapo kiwango cha chini cha hisa ilikuwa 36 na kila hisa 5000/= hivyo unapata 180,000 /=

Baada ya miezi mitatu unapata 360,000/= nilitamani kuwekeza japo nilikuwa na shaka, niliongea nae akanielewesha kwamba uwekezaji ni kupitia vikundi vya watu 15, hivyo akaniunganisha na wadau tukawa na kikundi cha What App tulikuwa mikoa tofauti ila mm niliiona na advantage kwa kuwa mradi ungefanyika jirani.

Tukaanza taratibu za katiba usajili wa kikundi, kabla ya kusajili kikundi akasema tutume fedha ili mradi uanze kuendana na wakati ili kuwahi soko la nyanya.

Baada ya kutoa fedha tulipitia ubabaishaji mwingi sana, mara mradi wa arusha hauwezekani kuna shamba moro, wadau wakataka kwenda moro baada ya muda akasema kule eneo linapitiwa na reli mradi utakuwa Tanga akatutumia vi picha vya eneo na ka tank. Wadau wakalazimisha wakaenda Tanga kufika hakuna kinachendelea.

Tukaanza harakati za kukamilisha katiba na mkataba ili tujipange kwa hatua zaidi. Baada ya muda sana akasema amepata hasara hivyo fedha iliyobaki atawekeza mradi wa kuku uliopa kigamboni. Tukaendelea kupambana na kufuatilia.

Baada ya mwaka baada ya kuwa na maamuzi ya kwenda vgombo vya sheria ndo akaturudishia mitaji yetu na kuahidi faida baada ya muda. Baada tu ya kurudisha mitaji hakuwa anapokea simu wala kujibu hoja za group la What App ambalo tulianzisha. Baada ya kuanza tena harakati za kutaka kufuatilia faida akatoka katika kundi kwa jazba na kusema tufanye tunavyotaka hayupo tayari kuendelea na sisi.

Kama ambavyo mmeona tangazo lake ndivyo alivyo huwa hajibu wala kutoa ufafanuzi wa kina kuhusu hoja.

Pamoja na kwamba uoga wako ndo umaskini wako ila kwa wawekezaji wa kibongo bora kuwa mwoga. "invest on your own risk"

Nawatakia wakati mwema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zinafilisika stock markets uje kuwa kuku!

Hakuna uwekezaji audio na risk. The higher the risk the higher the return.

Kama umeamua kiwekeza popote na chochote jua uwezekano wa kupata na kukosa ni 50/50.

Ni kwamba kwenye kuwekeza kuna 50% chance ya kupata faida na 50% chance ya kupata hasara.
Utapeli unafanisha ni stock markets? You are kidding me! Tusitaniane ndugu. Nasema hivi: Huo mradi wa kuku ni utapeli kwa asilimia zote na hakuna namna utafanikiwa. Narudia tena: Ni utapeli na hakuna namna yoyote kuwa utafanikiwa. Waibieni hao hao mazezeta wapenda mteremko lakini watu wenye akili zao hamuwapati.
 
Back
Top Bottom