Faida 10 za kumshukuru Mungu

Nilete ushahidi wa nini mzee umeambiwa mimi wakili wa Mungu?

Wewe kama huamini sawa na mimi kama naamini sawa as longer as kila mmoja ana nafsi yake ana ufahamu wake siioni haja ya mimi kukushikia kidedea uamini uwepo wake
Sawa sasa shukuru kivyako hukoo usituleteee bangi zako
 
Mkuu japo sio yangu ila Unaposema kitu hasa humu ujue sio kanisani ama msikiti lazima kihojojiwe tu , tatzo la nyie waumini mnatakiwa kuamini tu pasipo uthibitisho humo makanisani na misikitini kwa sababu ndio hivyo imani iliyo hakuna uhakika ni kuamini tu .
 
Nathibitishaje ni maneno ya kiimani yasiyo na uthibitisho?

Mf:wewe hapo ukiwaza kichwani kwamba lile deal tulilozungumza leo kesho lina-tick nikakwambia thibitisha kama ni kweli utaweza kuthibitisha?
Uwepo wa mungu ni nadharia tu unapaswa kuamini hivyo , ukidai ni kwel thibitisha, hauwezi kufa na imani yako hakuna tatizo.
 
Conclusion kwamba hakuna uhakika unaitoa wapi wakati wewe siyo mtu wa dini?

Hapa ndipo naposhindwa kuwaelewa atheist wa kibongo.
 
Conclusion kwamba hakuna uhakika unaitoa wapi wakati wewe siyo mtu wa dini?

Hapa ndipo naposhindwa kuwaelewa atheist wa kibongo.
Toa uhakika kama mtu wa dini ili tusiite imani tena tujue kabisa.
 
Kweli kabisa🙏
 
Thibitisha unachokisema na sio maneno haya ya kiimani tu ambayo tuliletewa kama kitangulizi cha ukoloni.
Daktari anapokuambia katumie dawa flani kwa ugonjwa wako ili upone.Utaiamini dawa au daktari? Hatusubiri matokeo kuwa na imani.
 
La! Mungu akurehemu
 
Daktari anapokuambia katumie dawa flani kwa ugonjwa wako ili upone.Utaiamini dawa au daktari? Hatusubiri matokeo kuwa na imani.
Huu ujinga tulishaujibu tatafuta mada za hivi ukarudie majibu huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…