Sawa sasa shukuru kivyako hukoo usituleteee bangi zakoNilete ushahidi wa nini mzee umeambiwa mimi wakili wa Mungu?
Wewe kama huamini sawa na mimi kama naamini sawa as longer as kila mmoja ana nafsi yake ana ufahamu wake siioni haja ya mimi kukushikia kidedea uamini uwepo wake
Nathibitishaje ni maneno ya kiimani yasiyo na uthibitisho?Useme kabisa hayo ni maneno ya kiimani tu kwa wale wanao amini pasipo uthibitisho
Mkuu japo sio yangu ila Unaposema kitu hasa humu ujue sio kanisani ama msikiti lazima kihojojiwe tu , tatzo la nyie waumini mnatakiwa kuamini tu pasipo uthibitisho humo makanisani na misikitini kwa sababu ndio hivyo imani iliyo hakuna uhakika ni kuamini tu .Ukishataka katikati ya watu kutaka wakuthibitishie kile wanachokiamini wao huku ukijua kabisa siyo fantasy yako huko tayari ni kukosa amani,wewe huna amani na hutokaa uwe na amani kwa sababu unajisikia hatia kila likitajwa neno ”Mungu”
Nikimwambia mwenzangu kwamba Mungu kweli yupo ana amejionyesha kwangu tukaonyesha kufurahia wewe kinakuuma nini hadi utufate tuthibitishe uwepo wake?
🤝🏾Sawa sasa shukuru kivyako hukoo usituleteee bangi zako
Uwepo wa mungu ni nadharia tu unapaswa kuamini hivyo , ukidai ni kwel thibitisha, hauwezi kufa na imani yako hakuna tatizo.Nathibitishaje ni maneno ya kiimani yasiyo na uthibitisho?
Mf:wewe hapo ukiwaza kichwani kwamba lile deal tulilozungumza leo kesho lina-tick nikakwambia thibitisha kama ni kweli utaweza kuthibitisha?
Conclusion kwamba hakuna uhakika unaitoa wapi wakati wewe siyo mtu wa dini?Mkuu japo sio yangu ila Unaposema kitu hasa humu ujue sio kanisani ama msikiti lazima kihojojiwe tu , tatzo la nyie waumini mnatakiwa kuamini tu pasipo uthibitisho humo makanisani na misikitini kwa sababu ndio hivyo imani iliyo hakuna uhakika ni kuamini tu .
Toa uhakika kama mtu wa dini ili tusiite imani tena tujue kabisa.Conclusion kwamba hakuna uhakika unaitoa wapi wakati wewe siyo mtu wa dini?
Hapa ndipo naposhindwa kuwaelewa atheist wa kibongo.
Kweli kabisa🙏Tarehe 31 Desemba ni siku ambayo watu wengi hukusanyika makanisani kumshukuru Mungu. Zifuatazo ni faida 10 za kumshukuru Mungu:
1. Huimarisha Imani: Kumshukuru Mungu hutufundisha kutambua uaminifu Wake na kuimarisha imani yetu, tukijua kwamba anafanya kazi kwa manufaa yetu.
2. Hutupa Amani ya Moyoni: Shukrani huondoa mawazo ya wasiwasi na huzuni, na kutuachia amani ya kiroho inayotokana na kumtegemea Mungu.
3. Huongeza Furaha: Watu wanaoshukuru wana furaha zaidi kwa sababu wanathamini hata mambo madogo ambayo Mungu amewatendea.
4. Hutuleta Karibu na Mungu: Shukrani huimarisha uhusiano wetu na Mungu kwa kutufanya tutambue ukuu na upendo Wake maishani mwetu.
5. Huinua Nafsi Zetu: Kumshukuru Mungu hutusaidia kuona maisha katika mtazamo chanya, hata katika changamoto, na hutufanya tujihisi wenye thamani.
6. Hulinda Moyo Usipotoshwe: Moyo wa shukrani hutusaidia kuepuka kiburi na kujiona kuwa sisi ndio chanzo cha mafanikio yetu, badala ya kumtambua Mungu.
7. Hufungua Milango ya Baraka: Shukrani ni kitendo cha imani kinachomfanya Mungu kufungua milango ya baraka zaidi maishani mwetu.
8. Hutuongezea Uvumilivu: Tunaposhukuru kwa yale tuliyonayo, tunapata nguvu za kustahimili majaribu huku tukisubiri Mungu kutimiza ahadi Zake.
9. Hutufundisha Roho ya Unyenyekevu: Shukrani hutufundisha kuwa wanyenyekevu kwa kutambua kwamba kila kitu tunachopata kinatoka kwa Mungu.
10. Ni Njia ya Kutoa Ushuhuda kwa Wengine: Tunapomshukuru Mungu hadharani, tunawashawishi wengine kumwamini na kumtumikia Mungu kwa kuona jinsi alivyotutendea mema.
"Shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu." (1 Wathesalonike 5:18).
Baada ya kuzijua faida hizo, naamini kesho utajiunga na Wakristo wengine kumshukuru Mungu kwa mambo mengi aliyotutendea mwaka huu. Sio kesho tu, siku zote kumbuka kumshukuru Mungu, ujionee faida hizo.
Daktari anapokuambia katumie dawa flani kwa ugonjwa wako ili upone.Utaiamini dawa au daktari? Hatusubiri matokeo kuwa na imani.Thibitisha unachokisema na sio maneno haya ya kiimani tu ambayo tuliletewa kama kitangulizi cha ukoloni.
La! Mungu akurehemuMungu gani ameshindwa na anashindwa kutoa uhai/uzima kwa maelfu ya watoto wachanga na wanawake wanaokufa kwa njaa, vita, magonjwa na majanga mbalimbali ya asili maeneo mbalimbali duniani!!!
Vita huko Gaza zimeua maelfu ya watoto na wanawake na huyo Mungu wenu mchovu, mdhaifu na mjinga hajasaidia chochote!!View attachment 3188907
Kimbunga Chido, kimeua Maelfu ya watu Msumbiji na Kisiwa cha Mayotte. Na huyo Mungu wenu mchovu na mdhaifu hajasaidia chochote. Halafu mnakuja hapa kumpa sifa uchwara Mungu mkatili, muuaji, muovu na bandidu asiye na msaada wowote kwa watu wake!!!View attachment 3188909View attachment 3188910
Huyo Mungu kama yupo hafai kabisa anastahili kufurushwa!!!!
Huyo Mungu hayupo.La! Mungu akurehemu
Kabisaa MtumishiMUNGU YUPO na kama wewe huamini kuwa Mungu yupo, baki na imani yako, ila usitake kupotosha na wengine,kila mtu abaki na imani yake bila kuingilia uhuru wa imani ya watu wengine.
Huu ujinga tulishaujibu tatafuta mada za hivi ukarudie majibu huko.Daktari anapokuambia katumie dawa flani kwa ugonjwa wako ili upone.Utaiamini dawa au daktari? Hatusubiri matokeo kuwa na imani.