Mungu gani ameshindwa na anashindwa kutoa uhai/uzima kwa maelfu ya watoto wachanga na wanawake wanaokufa kwa njaa, vita, magonjwa na majanga mbalimbali ya asili maeneo mbalimbali duniani!!!
Vita huko Gaza zimeua maelfu ya watoto na wanawake na huyo Mungu wenu mchovu, mdhaifu na mjinga hajasaidia chochote!!
View attachment 3188907
Kimbunga Chido, kimeua Maelfu ya watu Msumbiji na Kisiwa cha Mayotte. Na huyo Mungu wenu mchovu na mdhaifu hajasaidia chochote. Halafu mnakuja hapa kumpa sifa uchwara Mungu mkatili, muuaji, muovu na bandidu asiye na msaada wowote kwa watu wake!!!
View attachment 3188909View attachment 3188910
Huyo Mungu kama yupo hafai kabisa anastahili kufurushwa!!!!