Faida na hasara nilizozipata kutokana na CASINO za mtandaoni

Faida na hasara nilizozipata kutokana na CASINO za mtandaoni

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ina maana kumbe ule mchezo wa betting haiko free yaani kwamba hao wachezeshaji wanaamua kuadjust muda wowote wanaotaka?Kama ni hivyo kumbe haina maana.
Virtual game hzo ni noma sana sitaki hata kuzisikia mkuu😂😂😂
 
Mimi ni mlevi wa online CASINO hasa kutoka play Master na Meridian Bet.

Nimeanza kuzicheza 2018 hivi.

Nilizikuta tu mtandaoni bila kuelekezwa na mtu, nikajiunga na kuanza kucheza kwa dau dogo dogo la mia mia ila sasa hivi nacheza dau kubwakubwa.

Faida nilizozipata ni hizi:
1. Muda wa kufanya uzinzi umepungua. Niko busy na gamble.
2. Kwenye utafutaji pesa sina masihara
3. Point nambari 2 imenipelekea kujenga kwa haraka na kununua vyombo vya moto(usafiri).
4. Nimekuwa nikiwasaidia ndugu, marafiki na wazazi kwenye mambo ya pesa kwani kila nikipata pesa nyingi kidogo naona kama nimepata bure.

Hasara nilizozipata:
1. Uraibu. Nimefikia hatua mpaka nisipocheza casino sina raha. Mpaka kazini niko ofisini nacheza casino.
2. Sometimes napoteza pesa nyingi nilizozipata kwenye mishe zingine au nilizozipata kwenye mshahara au posho.
3. Kujamiiana kwangu ni adimu. Kujamiiana ni ile ya kushare mambo mbalimbali na jamii na si kufanya sex.
4. Akili yangu na mtazamo wangu vinaniambia maisha ni bahati, kitu ambacho si kweli.
5. Wito wangu wa mambo ya kiroho unadidimia.

Nilipanga niache 30 Nov 2020, nimeshindwa. Nilipanga niache 31. December yaani leo nimeshindwa pia. Ila wife ananiambia nisiache kwakuwa anaona pesa ndani hazikauki. Mimi sitaki hii hali maana ni ulevi kamili.

Siku nikipata pesa nyingi huko casino nitaacha rasmi.

Niombeeni nizipate ili niache
Hapa hamna kiti zaidi ya chai tu kama watu wengi naowajua waocheza hizi betting za mipira na casino za online.

Wengi ni waongo waongo sana kujisifia wanashinda na hili nilihakikisha.

Nilikuwa nikiazima simu zao au laptop zao, chap chap naingia ile sehem zilikotunzwa password za mitandao wanayoingia, nazipiga picha kwa simu yangu alafu baadae naingia kucheki walichotoa.

Hahahah huwezi amini wale wote waliokuwa wanajisifia walikuwa wanapigwa si kitoto, mtu kama ni betting mikeka mingiiii sana imechanika hivyo hivyo kwa wanaocheza casino online.

Uongo ni moja ya tabia za hawa watu.

Leta ushahidi wa hata hizo milioni unazoshindaga twende sambamba.

Sishauri mtu acheze hii michezo hasa hizo casino maana hizo ndio mbaya zaidi, unashindana na computer ambayo ina akili nyingi ya kula pesa yako, imesetiwa vitu vingi sana inaweza kukuonjesha buku 2 ili ujione we mjanja na kujiamini uweke pesa nyingi alafu ina fyeka, haina utofauti na yale mamashine ya wachina
 
Hapa hamna kiti zaidi ya chai tu kama watu wengi naowajua waocheza hizi betting za mipira na casino za online.

Wengi ni waongo waongo sana kujisifia wanashinda na hili nilihakikisha.

Nilikuwa nikiazima simu zao au laptop zao, chap chap naingia ile sehem zilikotunzwa password za mitandao wanayoingia, nazipiga picha kwa simu yangu alafu baadae naingia kucheki walichotoa.

Hahahah huwezi amini wale wote waliokuwa wanajisifia walikuwa wanapigwa si kitoto, mtu kama ni betting mikeka mingiiii sana imechanika hivyo hivyo kwa wanaocheza casino online.

Uongo ni moja ya tabia za hawa watu.

Leta ushahidi wa hata hizo milioni unazoshindaga twende sambamba.

Sishauri mtu acheze hii michezo hasa hizo casino maana hizo ndio mbaya zaidi, unashindana na computer ambayo ina akili nyingi ya kula pesa yako, imesetiwa vitu vingi sana inaweza kukuonjesha buku 2 ili ujione we mjanja na kujiamini uweke pesa nyingi alafu ina fyeka, haina utofauti na yale mamashine ya wachina
Unaongea jambo ambalo hujalifahamu bado. Casino za mtandaoni zinahitaji utaalamu au uzoefu mkubwa. Yawezekana hao ma friend zako wanapigika kila leo lakini kwangu imenisaidia.
So kwamba sipigwa ila namimi nawapiga.
Hapa sitangazi biashara ya kampuni yoyote ndio maana sijaegemea kudadavua kampuni fulani.
 
Unaongea jambo ambalo hujalifahamu bado. Casino za mtandaoni zinahitaji utaalamu au uzoefu mkubwa. Yawezekana hao ma friend zako wanapigika kila leo lakini kwangu imenisaidia.
So kwamba sipigwa ila namimi nawapiga.
Hapa sitangazi biashara ya kampuni yoyote ndio maana sijaegemea kudadavua kampuni fulani.
Unaongea sana bila picha mkuu, weka hapa hata picha za winnings kama sita tu ulizoshinda zikiwemo hizo za milioni.

Kama wino upo tuandikie mate ya nini.

Hakuna cha formula wala cha nini, watu wanagwa sana , unajikosha utadhan ni Carmichael 😁.

Tia ushahidi hapa
 
Unaongea sana bila picha mkuu, weka hapa hata picha za winnings kama sita tu ulizoshinda zikiwemo hizo za milioni.

Kama wino upo tuandikie mate ya nini.

Hakuna cha formula wala cha nini, watu wanagwa sana , unajikosha utadhan ni Carmichael 😁.

Tia ushahidi hapa
Wait
 
Unaongea jambo ambalo hujalifahamu bado. Casino za mtandaoni zinahitaji utaalamu au uzoefu mkubwa. Yawezekana hao ma friend zako wanapigika kila leo lakini kwangu imenisaidia.
So kwamba sipigwa ila namimi nawapiga.
Hapa sitangazi biashara ya kampuni yoyote ndio maana sijaegemea kudadavua kampuni fulani.
Mkuu nimeangalia comment huko juu, kwenye Amatic na playson unacheza zaidi magemu gani.
 
Mkuu nimeangalia comment huko juu, kwenye Amatic na playson unacheza zaidi magemu gani.
Amatic zamani nilicheza lucky 7 na 2 ila nina mwaka sasa sijacheza hayo magame. Kwasasa linalotema ni Allways fruits .
Na kwenye playson ni Seven and Fruits la kwanza kabisa.
Kuna siri nitakupa free of charge itakusaidia kujua ucheze game gani maana jamaa wana mchezo wa kubadili gear angani.
 
Amatic zamani nilicheza lucky 7 na 2 ila nina mwaka sasa sijacheza hayo magame. Kwasasa linalotema ni Allways fruits .
Na kwenye playson ni Seven and Fruits la kwanza kabisa.
Kuna siri nitakupa free of charge itakusaidia kujua ucheze game gani maana jamaa wana mchezo wa kubadili gear angani.
Fanya hivyo mkuu.
 
Jamaa yangu kajenga nyumba kwa betting,mi nimecheza hizo online betting,nakula mara naliwa.
Leo nimeamua kuacha,ntakua maskini.
 
Back
Top Bottom