Unasumbuka tu boss hakuna betting app playstore....search meridian apk kwenye browser....ila unabidi uallow unknown sources kwenye setting ya simu yako ili uweze kuistall hiyo app!Haimalizi inaishia hapo. What happened? View attachment 1664967
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasumbuka tu boss hakuna betting app playstore....search meridian apk kwenye browser....ila unabidi uallow unknown sources kwenye setting ya simu yako ili uweze kuistall hiyo app!Haimalizi inaishia hapo. What happened? View attachment 1664967
Usijaribu.... Umasikini upo unakunyemelea mlangoni... Walakini yakupasa uushinde..We jamaa najua uko busy,basi nikuone live unipe maujanja. Nataka kuwa addicted na kitu ambacho kitanichangamsha akili mara kwa mara,lakini kinaniingizia kitu
Ok basi sawa mkuu.Unasumbuka tu boss hakuna betting app playstore....search meridian apk kwenye browser....ila unabidi uallow unknown sources kwenye setting ya simu yako ili uweze kuistall hiyo app!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....! Unamaanishaje mkuu? Nisijaribu hizo ndude zao?Usijaribu.... Umasikini upo unakunyemelea mlangoni... Walakini yakupasa uushinde..
Nimehamia kwenye European roulete kidogo nashinda shinda japo games nyingi chance ni 50/50Hiyo sportpesa nilichezaga 2018 nikaacha.
Cha msingi kabla hujavamia game yoyote lazima upige hesabu ujue asilimia zako za kushinda ni ngapi, hapo ukijua hiyo unaingia hatua ya kupiga hesabu ya pesa na muda unaopanga kutimia bila kusahau lengo la mwisho(kiasi unachokitafuta)
Dah hebu nifundishe tafadhaliYaani nazungumzia kwa siku moja. Kwahiyo hapo unaweza kukuta siku tatu mfululizo unapiga M na ushee kila siku.
Tupeni basi hizo mbinuHii kitu ikishaingia kwenye damu usiombee huachi kirahisi
Babe wangu 😘, happy new year!Mimi sio bibie,
Wanawake wananiita 'bwana wangu'
Yaani bonge la umasikini hili dubwasha siyo zuri kabisa,,, yamejaa mpaka vilabuni wameyawekaDubu ni mashine zile za kichina zenye utapeli na wizi mkubwa.
Zimejaa Tanzania kila kona serikali imekaa kimya
Happy New Year sweetdarlin,Babe wangu [emoji8], happy new year!
SanteeeHappy New Year sweetdarlin,
[emoji8][emoji8]
Mkuu nikuulize kitu.Mimi ni mlevi wa online CASINO hasa kutoka play Master na Meridian Bet.
Nimeanza kuzicheza 2018 hivi.
Nilizikuta tu mtandaoni bila kuelekezwa na mtu, nikajiunga na kuanza kucheza kwa dau dogo dogo la mia mia ila sasa hivi nacheza dau kubwakubwa.
Faida nilizozipata ni hizi:
1. Muda wa kufanya uzinzi umepungua. Niko busy na gamble.
2. Kwenye utafutaji pesa sina masihara
3. Point nambari 2 imenipelekea kujenga kwa haraka na kununua vyombo vya moto(usafiri).
4. Nimekuwa nikiwasaidia ndugu, marafiki na wazazi kwenye mambo ya pesa kwani kila nikipata pesa nyingi kidogo naona kama nimepata bure.
Hasara nilizozipata:
1. Uraibu. Nimefikia hatua mpaka nisipocheza casino sina raha. Mpaka kazini niko ofisini nacheza casino.
2. Sometimes napoteza pesa nyingi nilizozipata kwenye mishe zingine au nilizozipata kwenye mshahara au posho.
3. Kujamiiana kwangu ni adimu. Kujamiiana ni ile ya kushare mambo mbalimbali na jamii na si kufanya sex.
4. Akili yangu na mtazamo wangu vinaniambia maisha ni bahati, kitu ambacho si kweli.
5. Wito wangu wa mambo ya kiroho unadidimia.
Nilipanga niache 30 Nov 2020, nimeshindwa. Nilipanga niache 31. December yaani leo nimeshindwa pia. Ila wife ananiambia nisiache kwakuwa anaona pesa ndani hazikauki. Mimi sitaki hii hali maana ni ulevi kamili.
Siku nikipata pesa nyingi huko casino nitaacha rasmi.
Niombeeni nizipate ili niache
Ili utoboe mtaji unaanzia kiasi gani?Milioni na ushehe. Kuna wakati upepo ukiwa mzuri napata laki moja hadi tatu kwa siku mfululizo. Yaani kwakweli karibu kila siku lazima nishinde laki au niliwe laki ndio natulia
Kuna maujinga mengi zaidi yake dubu kuna michezo yake cassino karibu 25 ... Ni noma ... Bora kubet soka au kikapu utakuwa baada yake mechi kuisha yaani almost lisaa 'na nusu ila cassino kila baada yake dakika mbili unaliwa ...Mkuu kwani dubu ndo casino?
Akili yako tu... mimi nilikuwa mlevi, mcheza kamari na mvuta sigara lkn niliposema naacha nikaacha na sasa ni mchamungu tu.
Sasa wewe unataka uthibitishiwe je hayo aliyoyaweka yanatoshaNimekwambia thibitisha kua mimi ni 'Bibie'
Acha blah blah,
Nipo hapa nasubiri unithibitishie
Kaweka nini?Sasa wewe unataka uthibitishiwe je hayo aliyoyaweka yanatosha