Faida na hasara nilizozipata kutokana na CASINO za mtandaoni

Faida na hasara nilizozipata kutokana na CASINO za mtandaoni

We jamaa najua uko busy,basi nikuone live unipe maujanja. Nataka kuwa addicted na kitu ambacho kitanichangamsha akili mara kwa mara,lakini kinaniingizia kitu
Usijaribu.... Umasikini upo unakunyemelea mlangoni... Walakini yakupasa uushinde..
 
Unasumbuka tu boss hakuna betting app playstore....search meridian apk kwenye browser....ila unabidi uallow unknown sources kwenye setting ya simu yako ili uweze kuistall hiyo app!
Ok basi sawa mkuu.
 
Hiyo sportpesa nilichezaga 2018 nikaacha.
Cha msingi kabla hujavamia game yoyote lazima upige hesabu ujue asilimia zako za kushinda ni ngapi, hapo ukijua hiyo unaingia hatua ya kupiga hesabu ya pesa na muda unaopanga kutimia bila kusahau lengo la mwisho(kiasi unachokitafuta)
Nimehamia kwenye European roulete kidogo nashinda shinda japo games nyingi chance ni 50/50
 
Mimi ni mlevi wa online CASINO hasa kutoka play Master na Meridian Bet.

Nimeanza kuzicheza 2018 hivi.

Nilizikuta tu mtandaoni bila kuelekezwa na mtu, nikajiunga na kuanza kucheza kwa dau dogo dogo la mia mia ila sasa hivi nacheza dau kubwakubwa.

Faida nilizozipata ni hizi:
1. Muda wa kufanya uzinzi umepungua. Niko busy na gamble.
2. Kwenye utafutaji pesa sina masihara
3. Point nambari 2 imenipelekea kujenga kwa haraka na kununua vyombo vya moto(usafiri).
4. Nimekuwa nikiwasaidia ndugu, marafiki na wazazi kwenye mambo ya pesa kwani kila nikipata pesa nyingi kidogo naona kama nimepata bure.

Hasara nilizozipata:
1. Uraibu. Nimefikia hatua mpaka nisipocheza casino sina raha. Mpaka kazini niko ofisini nacheza casino.
2. Sometimes napoteza pesa nyingi nilizozipata kwenye mishe zingine au nilizozipata kwenye mshahara au posho.
3. Kujamiiana kwangu ni adimu. Kujamiiana ni ile ya kushare mambo mbalimbali na jamii na si kufanya sex.
4. Akili yangu na mtazamo wangu vinaniambia maisha ni bahati, kitu ambacho si kweli.
5. Wito wangu wa mambo ya kiroho unadidimia.

Nilipanga niache 30 Nov 2020, nimeshindwa. Nilipanga niache 31. December yaani leo nimeshindwa pia. Ila wife ananiambia nisiache kwakuwa anaona pesa ndani hazikauki. Mimi sitaki hii hali maana ni ulevi kamili.

Siku nikipata pesa nyingi huko casino nitaacha rasmi.

Niombeeni nizipate ili niache
Mkuu nikuulize kitu.
Kwa maelezo yako nilivyoyasoma je inawezekana mtu kutoboa maisha kwa kufanya gambling tu bila kufanya kazi/biashara nyingine?
 
Mkuu kwani dubu ndo casino?
Kuna maujinga mengi zaidi yake dubu kuna michezo yake cassino karibu 25 ... Ni noma ... Bora kubet soka au kikapu utakuwa baada yake mechi kuisha yaani almost lisaa 'na nusu ila cassino kila baada yake dakika mbili unaliwa ...
 
Bora nicheze lottery mzee kuliko hayo mambo mengine unapigwa kila siku.
 
Back
Top Bottom