Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,082
Mkuu umefunga PM?Nenda chrome andika play Master jiunge, simple tu. Ukijiunga niambie nikupe ujanja ili usiishie kutoa sadaka tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umefunga PM?Nenda chrome andika play Master jiunge, simple tu. Ukijiunga niambie nikupe ujanja ili usiishie kutoa sadaka tu
Yaani uliweka sh.ngapi na ulicheza dau la sh.ngapi per spin?Nimeijaribu hii ya golden sevens kwa 300 imeleta 46000 mkuu
Nimgefungua pm watu wangejua kuwa ninalengo la kuleta utapeli, kumtangaza business n.k , yaani hata muda wa mujibu post za watu sina, naupata kwa taabuMkuu umefunga PM?
Mkuu umefunga Pm?Nenda chrome andika play Master jiunge, simple tu. Ukijiunga niambie nikupe ujanja ili usiishie kutoa sadaka tu
Hapana ndugu, fungua tu tujr utupe maujanja, ukiweka hapa hao wenye website za betting watazidaka na kubadilisha settings zao, game litazidi kuwa gumu, bora Pm.Nimgefungua pm watu wangejua kuwa ninalengo la kuleta utapeli, kumtangaza business n.k , yaani hata muda wa mujibu post za watu sina, naupata kwa taabu
Kumbe wewe Ni zurri yule mbishi jukwaa la dini[emoji1787][emoji1787]Nimekupa swali rahisi sana, lakini hujalijibu na nina jua huwezi kujibi mpaka unakufa.
Tuthibitishie ya kuwa wewe ni Mwanaume.
Au twende kwa mtindo huu. Mimo katika vitu ambavyo huwa navitamani sana, nahisi kama nimewahi kukwambia natamani sana uwe mke wangu wa nne, hakika nitafurahi sana.
Yaani mimi Ustadh Zurri/Jurjani nakupenda wewe bibie, leo hii watu wajue.
Ndio zipi hizoMkuu hata hizi online virtula za sport zina pesa sana
Zote addiction zangu hiziUnga,betting,pombe,sigara,nyapu, punyeto na ushabiki wa mpira Ni ngumu Sana kuacha!!
Kati ya watu 100 anatokaga huko mmoja tu
Bora bangi hata
Mpeane location jamani [emoji1]Mikwara huku unatetemeka,
Sema nikupe location uje, halafu utawahadithia wenzio.
Mkuu nipunguzie hata mmoja tu aisee Nina ugwadu mbaya[emoji1]Wazee vipi mbona mnanilazimisha niwe mwanamke?
Kuna uhaba wa wanawake nini?
Me ninao 7 naweza wapunguzia aisee.
Na mnajua kuroga sana na mnajua kufunga wakeze kwa majinnBibie sikufichi wanaume tuna sifa zetu, wewe huwezi kuwa Mwanaume.
Mimi nakupenda wewe na hili nilishakwambia ila unaogopa ogopa. Sababu wewe ni mwanamke tena binti mrembo.
Uzuri Maustadh tunajua kupenda na huwa ving'ang'anizi sana, na tunapenda sana.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]laki 5Mkuu nacheza John hunter and Mayan gods aisee Jana imenibabimiza kisawa sawa Kama laki 5 hivi..
Nipo hapa napanga majeshi nirudi tena vitani no retreat...
Naona jamaa amekuja ongeza walevi wenzieKi elf 5 changu kimeliwa najuta ningekula hata chips kidali [emoji24][emoji24][emoji24]
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Umetisha arifZote addition zangu hizi
Endelea kumfaidisha kanji😂😂Nitaacha betting siku nikifa
Mkuu hata hizi online virtula za sport zina pesa sana
Nilipigwa sana kipindi cha corona hizo virtual.Mkuu hata hizi online virtula za sport zina pesa sana
Mpeane location jamani [emoji1]
Pochi yako imetuna au unataka kumuambukiza njaa mrembo wa watu?Mkuu nipunguzie hata mmoja tu aisee Nina ugwadu mbaya[emoji1]
We jamaa inaonekana unamatatizo wewe.!Pochi yako imetuna au unataka kumuambukiza njaa mrembo wa watu?