Faida na hasara nilizozipata kutokana na CASINO za mtandaoni

Faida na hasara nilizozipata kutokana na CASINO za mtandaoni

Kijana anayelalamika asome hapa kwanza
Ebu toa elimu kijana tutest vitu.
Kujaribu si kushindwa
Screenshot_20210101-194848.jpg
 
Mkuu unamaanisha milioni na ushee ndo kiasi kikubwa ulichowahi kushinda? Ok tufanye milioni 2, kwaiyo hiki ndio kiasi kikubwa ulichowahi kushinda au umekosea kuandika mkuu?
Acha kujifanya taita,hakuna sifa hapa,hakuna hata mbu jike atakae kufata pm,yaan wew hata angesema anakulaga mil 100 bado ungedharau
 
Slay queen kapanic baada ya kunyimwa pesa ya wigi, lol

Relax bidada maisha mafupi haya.
Kama unataka mwanaume wa kukuoa sema nikutafutie. Lakini najiuliza ni mwanaume gani huyo atakaeoa SHOGA/ PUNGA...[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Mkuu mimi sina muda mrefu casino gambling ila nimekuwa mlevi ndani ya huu muda mfupi.Huwa nacheza casino ya sportpesa Diamond king kwa dau dogo.Nimegundua muda mzuri kushinda ni usiku mara nyingi huwa nashinda.inaonekana una ujuzi sana mkuu naomba unipe mwongozo
 
Nimgefungua pm watu wangejua kuwa ninalengo la kuleta utapeli, kumtangaza business n.k , yaani hata muda wa mujibu post za watu sina, naupata kwa taabu
Haimalizi inaishia hapo. What happened?
Screenshot_20210101-202749_Google%20Play%20Store.jpg
 
Nimgefungua pm watu wangejua kuwa ninalengo la kuleta utapeli, kumtangaza business n.k , yaani hata muda wa mujibu post za watu sina, naupata kwa taabu
We jamaa najua uko busy,basi nikuone live unipe maujanja. Nataka kuwa addicted na kitu ambacho kitanichangamsha akili mara kwa mara,lakini kinaniingizia kitu
 
We jamaa najua uko busy,basi nikuone live unipe maujanja. Nataka kuwa addicted na kitu ambacho kitanichangamsha akili mara kwa mara,lakini kinaniingizia kitu
Ngoja nimpe wife fimbo mbili then tarudi kukupa maujanja
 
Mkuu mimi sina muda mrefu casino gambling ila nimekuwa mlevi ndani ya huu muda mfupi.Huwa nacheza casino ya sportpesa Diamond king kwa dau dogo.Nimegundua muda mzuri kushinda ni usiku mara nyingi huwa nashinda.inaonekana una ujuzi sana mkuu naomba unipe mwongozo
Hiyo sportpesa nilichezaga 2018 nikaacha.
Cha msingi kabla hujavamia game yoyote lazima upige hesabu ujue asilimia zako za kushinda ni ngapi, hapo ukijua hiyo unaingia hatua ya kupiga hesabu ya pesa na muda unaopanga kutimia bila kusahau lengo la mwisho(kiasi unachokitafuta)
 
Back
Top Bottom