Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Hivi kwann watu hua mna viherehere sana au unajifunza ku quote watu?We jamaa inaonekana unamatatizo wewe.!
Lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwann watu hua mna viherehere sana au unajifunza ku quote watu?We jamaa inaonekana unamatatizo wewe.!
Ndiyo mimi nataka nichukue chombo hiki.Kumbe wewe Ni zurri yule mbishi jukwaa la dini[emoji1787][emoji1787]
Ushahidi wa hili unalo ?Na mnajua kuroga sana na mnajua kufunga wakeze kwa majinn
Chrome kwangu kama haipo hiviNenda chrome andika play Master jiunge, simple tu. Ukijiunga niambie nikupe ujanja ili usiishie kutoa sadaka tu
Nidokoe ipi hapo mkuu?Kwa atakayejiunga playmaster au meridian Tanzania nitamsaidia kumpa hints
Acha kujifanya taita,hakuna sifa hapa,hakuna hata mbu jike atakae kufata pm,yaan wew hata angesema anakulaga mil 100 bado ungedharauMkuu unamaanisha milioni na ushee ndo kiasi kikubwa ulichowahi kushinda? Ok tufanye milioni 2, kwaiyo hiki ndio kiasi kikubwa ulichowahi kushinda au umekosea kuandika mkuu?
Sina budi kujibishana na wewe, naona ulikuja JF kuwatafuta wa kukupumulia kisogoni. SITUMII MASHOGA.Hivi kwann watu hua mna viherehere sana au unajifunza ku quote watu?
Lol
Slay queen kapanic baada ya kunyimwa pesa ya wigi, lolSina budi kujibishana na wewe, naona ulikuja JF kuwatafuta wa kukupumulia kisogoni. SITUMII MASHOGA.
Kama unataka mwanaume wa kukuoa sema nikutafutie. Lakini najiuliza ni mwanaume gani huyo atakaeoa SHOGA/ PUNGA...[emoji848][emoji848][emoji848]Slay queen kapanic baada ya kunyimwa pesa ya wigi, lol
Relax bidada maisha mafupi haya.
Haimalizi inaishia hapo. What happened?Nimgefungua pm watu wangejua kuwa ninalengo la kuleta utapeli, kumtangaza business n.k , yaani hata muda wa mujibu post za watu sina, naupata kwa taabu
We jamaa najua uko busy,basi nikuone live unipe maujanja. Nataka kuwa addicted na kitu ambacho kitanichangamsha akili mara kwa mara,lakini kinaniingizia kituNimgefungua pm watu wangejua kuwa ninalengo la kuleta utapeli, kumtangaza business n.k , yaani hata muda wa mujibu post za watu sina, naupata kwa taabu
Sijasikia,Kama unataka mwanaume wa kukuoa sema nikutafutie. Lakini najiuliza ni mwanaume gani huyo atakaeoa SHOGA/ PUNGA...[emoji848][emoji848][emoji848]
Hilo sio tatizo kila mtu ana njaa duniani .Pochi yako imetuna au unataka kumuambukiza njaa mrembo wa watu?
Futa caches itafunguka. Na si lazima utumie app yaoHaimalizi inaishia hapo. What happened? View attachment 1664967
Ngoja nimpe wife fimbo mbili then tarudi kukupa maujanjaWe jamaa najua uko busy,basi nikuone live unipe maujanja. Nataka kuwa addicted na kitu ambacho kitanichangamsha akili mara kwa mara,lakini kinaniingizia kitu
Hiyo sportpesa nilichezaga 2018 nikaacha.Mkuu mimi sina muda mrefu casino gambling ila nimekuwa mlevi ndani ya huu muda mfupi.Huwa nacheza casino ya sportpesa Diamond king kwa dau dogo.Nimegundua muda mzuri kushinda ni usiku mara nyingi huwa nashinda.inaonekana una ujuzi sana mkuu naomba unipe mwongozo