Faida na hasara nilizozipata kutokana na CASINO za mtandaoni

Faida na hasara nilizozipata kutokana na CASINO za mtandaoni

Kwanza lazima ujue unahitaji sh.ngapi
Huwezi kusema nahitaji milioni 5 huku umeweka mtaji wa buku 10.
Mbona huweki hayo may janja hapa. Kunasiku nilijaribu kucheza ya huko ugaibuni wakanila pesa. Nikaacha. Chakushangaza baada ya mda waka charge kadi yangu. Nilikuwa nimekaa nashangaa benji wananipigia simu kama nime authorise huo muamala.

Toka siku hiyo nikaacha japo nina hamu kubwa
 
Sio kweli.
Kampuni za betting zenyewe zinasubiri hela zako .
Kumbuka pale unacheza na computer.
COMPUTER INA AKILI NYINGI KUKUSHINDA WEWE.
usidhani kila siku unaweza ukaishinda computer .
Na kuna kiwango Chao Cha computer kuliwa wakiona unaipiga Sana wanakugeuzia kibao.
unatafuta kianzio kama kweli hiyo betting ni kitu cha uhakika
 
Chezeni casino kujifurahisha.
Ila isiwe chanzo chako Cha mapato.
hakuna kampuni ya betting inayopenda wewe ule.
Mbona huweki hayo may janja hapa. Kunasiku nilijaribu kucheza ya huko ugaibuni wakanila pesa. Nikaacha. Chakushangaza baada ya mda waka charge kadi yangu. Nilikuwa nimekaa nashangaa benji wananipigia simu kama nime authorise huo muamala.

Toka siku hiyo nikaacha japo nina hamu kubwa
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ina maana kumbe ule mchezo wa betting haiko free yaani kwamba hao wachezeshaji wanaamua kuadjust muda wowote wanaotaka?Kama ni hivyo kumbe haina maana.
Sio kweli.
Kampuni za betting zenyewe zinasubiri hela zako .
Kumbuka pale unacheza na computer.
COMPUTER INA AKILI NYINGI KUKUSHINDA WEWE.
usidhani kila siku unaweza ukaishinda computer .
Na kuna kiwango Chao Cha computer kuliwa wakiona unaipiga Sana wanakugeuzia kibao.
 
Chezeni casino kujifurahisha.
Ila isiwe chanzo chako Cha mapato.
hakuna kampuni ya betting inayopenda wewe ule.
Kuna sehemu umeona nimeandika kuwa nataka kucheza kama chanzo changu cha kipato ili nipate kula?
 
Hivi unadhani kila ukiingia online casino unatoka na mihela tu.si kampuni si zingefirisika?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ina maana kumbe ule mchezo wa betting haiko free yaani kwamba hao wachezeshaji wanaamua kuadjust muda wowote wanaotaka?Kama ni hivyo kumbe haina maana.
 
Unga, betting, pombe, sigara, nyapu, punyeto na ushabiki wa mpira Ni ngumu Sana kuacha!

Kati ya watu 100 anatokaga huko mmoja tu.

Bora bangi hata
Ukioma we Mwanaume huna ulevi mmoja wapo kati ya hii hapo. Mshukuru Mungu
 
Faida nilizozipata ni hizi:
1. Muda wa kufanya uzinzi umepungua. Niko busy na gamble.
2. Kwenye utafutaji pesa sina masihara
3. Point nambari 2 imenipelekea kujenga kwa haraka na kununua vyombo vya moto(usafiri).
4. Nimekuwa nikiwasaidia ndugu, marafiki na wazazi kwenye mambo ya pesa kwani kila nikipata pesa nyingi kidogo naona kama nimepata bure.

Hasara nilizozipata:
1. Uraibu. Nimefikia hatua mpaka nisipocheza casino sina raha. Mpaka kazini niko ofisini nacheza casino.
2. Sometimes napoteza pesa nyingi nilizozipata kwenye mishe zingine au nilizozipata kwenye mshahara au posho.
3. Kujamiiana kwangu ni adimu. Kujamiiana ni ile ya kushare mambo mbalimbali na jamii na si kufanya sex.
4. Akili yangu na mtazamo wangu vinaniambia maisha ni bahati, kitu ambacho si kweli.
5. Wito wangu wa mambo ya kiroho unadidimia.
 
Faida nilizozipata ni hizi:
1. Muda wa kufanya uzinzi umepungua. Niko busy na gamble.
2. Kwenye utafutaji pesa sina masihara
3. Point nambari 2 imenipelekea kujenga kwa haraka na kununua vyombo vya moto(usafiri).
4. Nimekuwa nikiwasaidia ndugu, marafiki na wazazi kwenye mambo ya pesa kwani kila nikipata pesa nyingi kidogo naona kama nimepata bure.

Hasara nilizozipata:
1. Uraibu. Nimefikia hatua mpaka nisipocheza casino sina raha. Mpaka kazini niko ofisini nacheza casino.
2. Sometimes napoteza pesa nyingi nilizozipata kwenye mishe zingine au nilizozipata kwenye mshahara au posho.
3. Kujamiiana kwangu ni adimu. Kujamiiana ni ile ya kushare mambo mbalimbali na jamii na si kufanya sex.
4. Akili yangu na mtazamo wangu vinaniambia maisha ni bahati, kitu ambacho si kweli.
5. Wito wangu wa mambo ya kiroho unadidimia.
Faida zipo 4, hasara zipo 5...
 
Back
Top Bottom