Faida na hasara nilizozipata kutokana na CASINO za mtandaoni

Faida na hasara nilizozipata kutokana na CASINO za mtandaoni

Nasubiri.....
Screenshot_20210101-093845.png


Ushahidi 2 :
Kila siku unakiri ya kuwa wewe ni mwanamke na picha zako huthibitisha hilo(Unazo tuwekea humu) kadhalika unayo yaandika yanathibitisha hilo.

Ushahidi 3 :
Huu utakuja kuwaambia umma mwenyewe, ikitokea tukakutana mimi na wewe man to man.

Ushahidi 4 :
Kuliweka wazi jambo ambalo liko wazi ni kuzua tatizo lingine bali ni kuihujumu akili.

Ushahidi 5 :
Usiweke chakula juu ya chakula kingine.

Ushahidi 6 :
Tuthibitishie kama wewe si Mwanamke.
 
View attachment 1664511

Ushahidi 2 :
Kila siku unakiri ya kuwa wewe ni mwanamke na picha zako huthibitisha hilo(Unazo tuwekea humu) kadhalika unayo yaandika yanathibitisha hilo.

Ushahidi 3 :
Huu utakuja kuwaambia umma mwenyewe, ikitokea tukakutana mimi na wewe man to man.

Ushahidi 4 :
Kuliweka wazi jambo ambalo liko wazi ni kuzua tatizo lingine bali ni kuihujumu akili.

Ushahidi 5 :
Usiweke chakula juu ya chakula kingine.

Ushahidi 6 :
Tuthibitishie kama wewe si Mwanamke.
Unathibitishaje jinsia ya mtu kwenye maandishi? Hayo ni maandishi hata kwenye kanga yapo,

Picha zangu unajuaje kama ni zangu?

Bado hujathibitisha kama mimi ni 'Bibie'

Jaribu tena.
 
Unathibitishaje jinsia ya mtu kwenye maandishi? Hayo ni maandishi hata kwenye kanga yapo,

Picha zangu unajuaje kama ni zangu?

Bado hujathibitisha kama mimi ni 'Bibie'

Jaribu tena.

Haaa duniani kuna vituko, yaani ujiandike mwanamke wakati mwanaume? Uweke picha za mwanamke ukijitambulisha hivyo kumbe mwanaume?? Acha utani bhna mrembo
 
Unathibitishaje jinsia ya mtu kwenye maandishi? Hayo ni maandishi hata kwenye kanga yapo,
Sababu ushahidi wa kwanza ni ushahidi wa nafsi yako. Kinyume chake tuthibitishie ya kuwa wewe ni katika sisi.
Picha zangu unajuaje kama ni zangu?
Sababu huwa unasema ni wewe. Au huwa unatudanganya bibie ? Na kwanini utudanganye ?
Bado hujathibitisha kama mimi ni 'Bibie'
Tuthibitishie ya kuwa wewe ni mimi ? Ukiweza mimi nafunga hii ID na wewe utakuwa shahidi wa hili.
Jaribu tena.
Mimi kazi yangu nimemaliza. Kilichobaki ni wewe ukanushe ya kuwa si bibie.
 
Haaa duniani kuna vituko, yaani ujiandike mwanamke wakati mwanaume? Uweke picha za mwanamke ukijitambulisha hivyo kumbe mwanaume?? Acha utani bhna mrembo
Huyu niliwahi kumuomba awe mke wa tatu alikataa ila hakukanusha ya kuwa yeye si Mwanamke.

Kuna muda ukifikiria sana unahitimisha ya kuwa ana matatizo ya akili, japo yeye anaona yuko sawa, na hili ni maarufu sana, kama mtu mjinga mara nyingi hupenda kuambiwa ana elimu na akafurahia hilo au hujinasibu na elimu.

Almuhimu mimi nampa udhuru huyu bibie.
 
Sababu ushahidi wa kwanza ni ushahidi wa nafsi yako. Kinyume chake tuthibitishie ya kuwa wewe ni katika sisi.

Sababu huwa unasema ni wewe. Au huwa unatudanganya bibie ? Na kwanini utudanganye ?

Tuthibitishie ya kuwa wewe ni mimi ? Ukiweza mimi nafunga hii ID na wewe utakuwa shahidi wa hili.

Mimi kazi yangu nimemaliza. Kilichobaki ni wewe ukanushe ya kuwa si bibie.
Mimi sio bibie,
Wanawake wananiita 'bwana wangu'
 
Unga,betting,pombe,sigara,nyapu, punyeto na ushabiki wa mpira Ni ngumu Sana kuacha!!
Kati ya watu 100 anatokaga huko mmoja tu

Bora bangi hata
nikiona mtu anaacha kuvuta bangi huwa namdharau, kama upo karibu yangu naweza hata kukunasa kofi. unaache bange kwa mfano?....eboo!!.

unless iwe umeshauriwakwa na daktari wako.
 
Mimi sio bibie,
Wanawake wananiita 'bwana wangu'
Nimekupa swali rahisi sana, lakini hujalijibu na nina jua huwezi kujibi mpaka unakufa.

Tuthibitishie ya kuwa wewe ni Mwanaume.

Au twende kwa mtindo huu. Mimo katika vitu ambavyo huwa navitamani sana, nahisi kama nimewahi kukwambia natamani sana uwe mke wangu wa nne, hakika nitafurahi sana.

Yaani mimi Ustadh Zurri/Jurjani nakupenda wewe bibie, leo hii watu wajue.
 
Mimi ni mlevi wa online CASINO hasa kutoka play Master na Meridian bet.
Nimeanza kuzicheza 2018 hivi.
Nilizikuta tu mtandaoni bila kuelekezwa na mtu, nikajiunga na kuanza kucheza kwa dau dogo dogo la mia mia ila sasa hivi nacheza dau kubwakubwa.
Faida nilizozipata ni hizi;
1. Muda wa kufanya uzinzi umepungua. Niko busy na gamble.
2. Kwenye utafutaji pesa sina masihara
3. Point nambari 2 imenipelekea kujenga kwa haraka na kununua vyombo vya moto(usafiri).
4. Nimekuwa nikiwasaidia ndugu, marafiki na wazazi kwenye mambo ya pesa kwani kila nikipata pesa nyingi kidogo naona kama nimepata bure.
Hasara nilizozipata;
1.Uraibu. nimefikia hatua mpaka nisipocheza casino sina raha. Mpaka kazini niko ofisini nacheza casino.
2. Sometimes napoteza pesa nyingi nilizozipata kwenye mishe zingine au nilizozipata kwenye mshahara au posho.
3.Kujamiiana kwangu ni adimu. Kujamiiana ni ile ya kushare mambo mbalimbali na jamii na si kufanya sex.
4. Akili yangu na mtazamo wangu vinaniambia maisha ni bahati kitu ambacho si kweli.
5. Wito wangu wa mambo ya kiroho unadidimia.
Nilipanga niache 30 Nov 2020, nimeshindwa. Nilipanga niache 31. December yaani leo nimeshindwa pia. Ila wife ananiambia nisiache kwakuwa anaona pesa ndani hazikauki. Mimi sitaki hii hali maana ni ulevi kamili.
Siku nikipata pesa nyingi huko casino nitaacha rasmi.
Niombeeni nizipate ili niache
Hebu nifundishe na mimi mkuu. Sometimes nakuwa na kiasi fulani humu kwa simu,niwe najaa huko. Ila sihitaji ile beting ya mikeka ya timu. Huko kumenishinda
 
nikiona mtu anaacha kuvuta bangi huwa namdharau, kama upo karibu yangu naweza hata kukunasa kofi. unaache bange kwa mfano?....eboo!!.

unless iwe umeshauriwakwa na daktari wako.
Bangi haina uraibu mkuu unless labda unavuta mixer! Sio sawa na hayo makamari ambayo mtu hawezi acha akikosa pesa auze hata masofa
 
Nimekupa swali rahisi sana, lakini hujalijibu na nina jua huwezi kujibi mpaka unakufa.

Tuthibitishie ya kuwa wewe ni Mwanaume.

Au twende kwa mtindo huu. Mimo katika vitu ambavyo huwa navitamani sana, nahisi kama nimewahi kukwambia natamani sana uwe mke wangu wa nne, hakika nitafurahi sana.

Yaani mimi Ustadh Zurri/Jurjani nakupenda wewe bibie, leo hii watu wajue.
Nimekwambia thibitisha kua mimi ni 'Bibie'

Acha blah blah,

Nipo hapa nasubiri unithibitishie
 
Ila mkuu kwa jinsi unavyoshindwa kuwathibitishia,ndio wanazidi kujiongezea point!

Na mwisho wakuu tunaeza amini we KE ukashangaa Pm imejaa


Jitahidi uwathibitishie we dume la mbegu[emoji1787]
Nithibitishie mimi ni Ke,

Nipo hapa nasubiri
 
Back
Top Bottom