Nasubiri.....
Ushahidi 2 :
Kila siku unakiri ya kuwa wewe ni mwanamke na picha zako huthibitisha hilo(Unazo tuwekea humu) kadhalika unayo yaandika yanathibitisha hilo.
Ushahidi 3 :
Huu utakuja kuwaambia umma mwenyewe, ikitokea tukakutana mimi na wewe man to man.
Ushahidi 4 :
Kuliweka wazi jambo ambalo liko wazi ni kuzua tatizo lingine bali ni kuihujumu akili.
Ushahidi 5 :
Usiweke chakula juu ya chakula kingine.
Ushahidi 6 :
Tuthibitishie kama wewe si Mwanamke.